R.I.P beautiful young gal

R.I.P beautiful young gal

Kwahiyo kumbe Field yake alikuwa anaifanyia mjini na katika Madaladala badala ya huko Bagamoyo kama ambavyo alisema? Kazi ipo hakyanani!
Yawezekana aliaga labda juzi, au alikuwa anadanga kidogo mitaa ya kinondoni.
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Chuo NIT
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
NIT bwana.Raha ya milele umpatie eeh Bwana.............
 
R.I.P
10a9bb36d889208529b8482d51048f87.jpg
Kama mzazi na kaka nimeumia sana sana damu yako usiye na hatia na iwe juu yao
 
Wakuu ebu nielezeeni nini kimemsibu binti wa watu make mi naona maphotography
 
Aliyeleta taarifa wa Kwanza kabisa kwa ' Kiherehere ' chake alituaminisha kabisa kwamba alikuwa ni Mwanafunzi wa UDSM na nina wasiwasi muda si mrefu kuna Watu watakuja na kusema ni Mwanafunzi wa TEOFILO Kisanji na wengine VETA Keko na hata wa KAM College.
Leo umekuwa mgeni wa mitandao akati na wew unakurupukaga na vitaarfa vyako vya uchochoroni
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.

Ukishaju itakusaidia nini?
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Utakua hauko sawah so bure
 
Back
Top Bottom