Putin kakanyaga pabaya

kura za ki ccm unaziamin? kwamba warusi wangeunga mkono ile mobilisation ingeleta impact ila bado mnaamin tu siass chafu za kiafrika zinazofanywa na Putin
 
Waliahindwa kumkamata yule wa Sudan wataweza kumkatmata Putin? Kuweni serious wakuu.

Hata hivyo, Ukraine amekuwa uwanja wa majaribio ya silaha kwa warusi, NATO na
, its very unfortunate kwamba Zelencky aliamua kuuza watu wake in the expense of War ambayo kiuhalisia hata sio yeye anayepigana, silaha zote ni za Nato na usa.
 
asign asisign watamshika tu , yeye ni sehem ya dunia na matendo yake ni sehem ya uhalifu hapa dunian , atakamatwa tu hata na raia wake kisha wampeleke akajibu kesi zake
 
yaani na akili zako za kunyolea nywele unaamini kabisa porojo za ICC,haya tuambie sasa nani ataenda kumkamata huyo gwiji, kama sio unataka another ww,
wamarekani wa kona ya bwiru kwenye issu serious mmeanza kuleta propaganda zenu
wew na ICC nan tumsikilize ? pambana utambulike Tz kwanza ndo uanze biashana na walemwengu
 
Putin anaizamisha Urusi shimoni....labda wampindue au afe mapema ndio pona yao.
 
ttzo mna pupa , hamuna mipango ya long-term ndio maana huelew ICC
 
keep dreaming
 
Mkuu urusi hajaanza kutumia silaha zake. Alikuwa anatumia silaha za kizamani zilizobakia ww2, hakuna mwanajeshi mzoefu wa urusi aliyeenda front hata mmoja, kyv anahangaika na madogo wa mtaani na wale wa weigner.
wale majenero ni wa mtaani?
 
Vita imekuea ngumu kwa puttin sababu anapiga kwa kuvizia coz wanajeshi wa kyv wamejichanganya kwa raia na wanapambana wakiwa na ngao ya civillians, wameweka makombora shuleni, hospitali na sehem za watu. Vinginevyo vita ingeshaisha
duh had Kherson peny warusi wengi?
 
ttzo mna pupa , hamuna mipango ya long-term ndio maana huelew ICC
Ha ha ha ha ha ha sielewi ICC. Nikueleze tu mkuu International Criminal Law imelala hapa. Hiyo kitu imebaki takataka tu kama takataka zingine. Hao mbwa Putin siyo Level yao babu!
 
Wewe Umesoma Kweli mambo ya Kimataifa?
 
kwamb ww na akili yako ya BRN ndo uwazid ICC?
Mnaoshabikia wote hiyo kitu ni kwa vile ni mbumbumbu. Hamjui chochote kuhusu Hilo jambo. Taja Nchi yoyote duniani yenye uwezo wa kumkamata Putin. Hata hao US nakuhakikishia hawana uwezo wa kumkamata Mwamba
 
Sawa lakin sasa Putin anaishi kwa wasiwasi haamin kiumbe chochote ulinzi umeongezeka yaan hata nchini kwake pia hapapo salama kwake just imagine yaan wamempa mzgo wa matatizo ili mwisho aanguke
Seems we ni mgeni sana kwenye hii vita maana unachambua vitu visivyoeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…