Putin kakanyaga pabaya


Yaani mleta mada ni jitu zima ovyooooo hajui hii vita hata kitone [emoji35]
 
Urusi siyi Libya boss 😀😀😀
 
Kama Omar Al Bashir tu hakukamatwa licha ya kuwepo hiyo warrant toka 2009 itakuwa Putin?
 
Mi nikajuwa una taarifa yeyote rasmi kumbe stori zaki sawa nimekusikia.
 
Hiyo poll matokeo ni hayo yanayotangazwa toka Kremlin,,fuatilia kuhusu warusi wanaokimbia nchi
 
Sawa lakin sasa Putin anaishi kwa wasiwasi haamin kiumbe chochote ulinzi umeongezeka yaan hata nchini kwake pia hapapo salama kwake just imagine yaan wamempa mzgo wa matatizo ili mwisho aanguke
Km Omar Al Bashir ilishindikana nadhani kwa PUT IN ni mapema na asubuhi tayari wanae.
 
Yaani mleta mada ni jitu zima ovyooooo hajui hii vita hata kitone [emoji35]

Kumbuka wao wapo zaidi ya 50 yeye yupo peke ake hata awe na nguvu kiasi gan mpango ulisukwa muda tu west wanataka vita ikae muds mrefu imuumize jamaa
 

Sawa. N suala la muda tu mm nilikua upande wa urusi sana tu ila kuna stage inabd ukae katikati tu
 
Umeongea hisia zako tu mkuu.
 
We jipange na mashosti wenzio wa NATO mkae mkao mkisubiri PUTIN akamatwe ili mipango yenu ya kishoga iendelee. Nakuhakikishia hio siku hamtakaa muione 😀😀😀
 
Tuliwa wambia kuwa usicheze na state ya washngton ni hatari.Urusi inaenda kufilisika mdogo mdogo wenzake ndio wanasonga mbele maana vita sio vyao.Siku ikifilisika ndio kugawanyika kwa urusi
 
Tuliwa wambia kuwa usicheze na state ya washngton ni hatari.Urusi inaenda kufilisika mdogo mdogo wenzake ndio wanasonga mbele maana vita sio vyao.Siku ikifilisika ndio kugawanyika kwa urusi
Urusi sio Zimbabwe wewe 🤣 siku ya Urusi kufilisika ni baada ya USA kuwa Nuked up. Atafilisika kwa kukosa mabomu ya maangamizi baada ya kuyatumia.
 
Ukitaja kujua akili zako umeandika thread nzima bila kuweka nukta, yani thread nzima ina sentensi moja.
 
Na huo ndiyo mtego ulipo, wanataka anguko la Putin litoke ndani ya nchi yake.
Watanasa wao, kabla ya hilo kukamilika nakuhakikishia Putin atawapa suprise kabambe sana ndio utajua maana ya jasusi mbobezi ni nini. Huko ICC haendi na hao wamarekani litawakuta jambo kiasi kwamba hata huko kumpeleka ICC hawatakuwa na hamu nako tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…