Hakuna kitu,Ukubwa au udogo wa deni la nje haudetermine strength ya uchumi,hio ni factor minor sana,Factor kubwa ni pato ghafi la ndani au GDP hii ndo inaongesha uhalisia ni jinsi gani watu wanazalisha na kununua vitu ili kuchangia uchumi.Kwa hapa Russia ni wa kawaida sana,Hata Southi Korea hamkamati,ndo akaitishe USA.Nchi pekee inayoiumiza kichwa USA kiuchumi ni China peke yake,hawa wengine ni swala tu.Ukiangalia worlds' biggest markets ambazo zinaweza ku shake na kuathiri uchumi wa Dunia,Wala Russia hawamo kabisaa.Hapa utazikua USA,China na Japan.Hawa wengine ni wa kawaida sana.