Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,609
- 8,303
Wewe unamezeshwa tu taarifa,huna tofauti na kinda LA ndege. Tulia dunia ipige hatua. Nyie endeleeni kuitwa kisiwa cha amani. Duniani toka enzi na enzi imekuwa ikipiga hatua kutokana na vita.Sababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Huko kwenu LabdA ndo hawaongelei operation hii. Westen media % pengine 50+ sku hizi stories zao Ni hiziVita ya kipumbavu, wenye akili wame mpuuza ndio maana sasa hivi hakuna anae iongelea
Kwahiyo Marekani ana mawazo ya ki Napoleon coz anaikalia Syria kimabavuSasa wewe rusia ana mawazo ya karne ya 19 wakati watu washatoka huko. Habari za kuvamia nnchi nyingine na kuchukua arthi yao ni mambo ya kina Napoleon
Nani alikwambia hiyo ndio sababu? Muwe mnaficha ujinga wenu mbele ya watuSababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Nani alikwambia hiyo ndio sababu? Muwe mnaficha ujinga wenu mbele ya watuSababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Hili zoezi halitakwisha mpaka kiama kisimameSasa wewe rusia ana mawazo ya karne ya 19 wakati watu washatoka huko. Habari za kuvamia nnchi nyingine na kuchukua arthi yao ni mambo ya kina Napoleon
Jipige kifua sema mimi sijui chochote kuhusu operation hii.Vita ya kipumbavu, wenye akili wame mpuuza ndio maana sasa hivi hakuna anae iongelea
Kama msemaji wa pro nato naomba jf watoe hii picha inatushtua na inatusababishia msongo wa mawazoMwamba kama mwamba
Nafuta hiyo, naweka hii๐ ๐Kama msemaji wa pro nato naomba jf watoe hii picha inatushtua na inatusababishia msongo wa mawazo
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
Inashangaza sana.... Wameanza kuingilia mpaka life binafsi yaani mtu arudi kwake/ofisini ghafla tayari washatokwa jashoSasa raisi kurudi ikulu ghafla sini kwake hapo anaenda nyie mnashangaa nini mtu kurudi nyumbani kwake ghafla
Mbona alaska ni marekani na kuna mpaka kati ya alaska na rusia?Cuba mbaliiii let say waweke kambi Canada au Alasaka vile
Dogo kanyonye maziwa ulale.Vita ya kipumbavu, wenye akili wame mpuuza ndio maana sasa hivi hakuna anae iongelea
Hii itakua imeeditiwa...haiwezekani zelensky ashike mkuyengeNafuta hiyo, naweka hii๐ ๐
Basi naweka hiiHii itakua imeeditiwa...haiwezekani zelensky ashike mkuyenge
Kwa kuendekeza kwake hizi tabia za kishoga, wacha Putin amnyooshe tu.Nafuta hiyo, naweka hii๐ ๐