Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,126
- 62,117
Miaka minne yote ya nini?, huo ni udhaifu.
Ukiwa MpimbweWala mimi sishangai, Trump kigehu gehu sana, mimi nilisha mshitukia siku nyingi kwamba hana nia thabiti ya kumaliza mgogoro WA Ukraine, alichokuwa anafanya ni kumpigia simu Putin mara kwa mara lakini sio kutaka kukutana na Putin ana tangu aigie White House, cha ajabu Trump amekwisha kutaka na Zelensky ana kwa ana zaidi ya mara TATU au nne!! Baada ya kugudua hilo ndiyo nikaona Trump anampigia pigia simu Putin akiwa na lengo la kumchota akili tu lakini Trump, Waziri mkuu wa Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Poland na baadhi ya Mataifa ya Ulaya(ie some NATO members wamepania kuanzisha vita na Urusi - wamepania kweli kweli, lakini hata iweje Urusi ataeashinda tu, Urusi si mchezo walisha jipanga kuhusu kukabiliana na mahasimu wao wakubwa (NATO), na Putin alisha waonya siku nyingi kwamba akipata taarifa ya kintelijensia kwamba Taifa la Urusi linatishiwa na Mataifa ya NATO akasema huo ndiyo utakuwa ndiyo mwisho wa Dunia na atanii.
Binafsi namshauri Putin atangaze vita na Ukraine mapema iwezekanavyo, bila ya kujali nchi za Ulaya zita react vipi hata ikiwemo Merikani yenyewe, bila ya Putin kufikia uhamuzi huo Zelezensky na wapambe wake watamsumbuwa sana Putin.
hakuna vita israeli akapigana halafu akashinda,usitudanganyeUkitaka kujua unyama wa Israel angalia hizi Raman hapa Kila mmoja kapata dose Kwa muda wake
View attachment 3399710View attachment 3399711
mnasahau mlisema marekani anairefusha vita ili kumchosha mrusi cha kushangaza jamaa anazidi kuimarikaUrusi na Iran hawana tofauti kabisa katika mbinu za kivita mwaka wa 4 unaenda unapigana vita na kanchi kadogo sasa wewe ni superpower au supapawa?
Surrounded by terrorist organization made by Israel for its survival in the stollen land.Ukitaka kujua unyama wa Israel angalia hizi Raman hapa Kila mmoja kapata dose Kwa muda wake
View attachment 3399710View attachment 3399711
Masikini wameungana tuuuBRICS imefikia wapi?
Kabla hujaropoka tambua Urusi inakalia mikoa mitano ya Ukraine na sasa inautafuta mkoa wa sita.Hana lolote.
Miaka mitatu anahangaika na Ukraine bila kushinda.
SI macho YOTE yanatumika sawasawa MENGINE hayaoni mkuu.Kabla hujaropoka tambua Urusi inakalia mikoa mitano ya Ukraine na sasa inautafuta mkoa wa sita.
Mwingine huyu😂😂😂😂We kama mwenzako unasoma ila huelewi maana ya ulichosoma.
Akili fupi wewe.Mwingine huyu😂😂😂😂
Warumi 8:5-8Alichoongea mwenzako umekielewa?
Kuna kusoma na kuelewa,naona huna ubongo wa kuelewa.
Unadhani hao jamaa wakitumia nuclear weapons dunia itakua salama!?
UNAONGEA KISHABIKI SANA UNAJUA HUYO IRAN ALICHOFANYIWA KAMTAFUTE KIREMBA MUYLIZE KWA NINI MPAKA SASA YUMO SHIMONI KAMA PANYAYaani dunia nzima haikutegemea Iran atafanya alichofanya
Alikaa kimya watu wakiuwawa Gaza na alikaa kimya wakati Saudia anavamia Yemen na baadae kuwapa marubani 100 wa Saudia kila mmoja RR
Iran alikubali wanasayansi wauwawe na akajibu kidogo tu
Ila akaapa kuwa atalipa kwa nguvu kubwa
Israel wakadhani anawaogopa kwa kuwa wanalindwa na US na pia EU wanamchukia sana Iran.
Ila alipopiga zile zilikuwa ngumi za Tyson aiseee, piga siku 12 tu mpaka wakaomba poo
Ila hata humu wale waliokuwa wanasema ni Taifa teule au land of promise na atakae laani alaaniwe, hatukuwasikia tena.
Kila mmoja Wetu alipata msgangao
Wazungu wanasema wa Israel wanaenda kutengeneza Taifa lingine hapo Cyprus na wamejazana haswa.
Hawatarudi tena Israel hata wapewe ahadi gani tena
Ila waarabu wote wamefyata mikia kwa Iran
Wanampa shikamoo Khamenei bila kuomba
Niliwahi kumsikia Waziri wa ulinzi WA Merikani akisema kwamba kumbe Warusi walisha jita risha kwa miaka mingi hivyo wana idadi kubwa ya silaha ya kuweza kupigana kwa muda mrefu sana bila ya kitetereka.mnasahau mlisema marekani anairefusha vita ili kumchosha mrusi cha kushangaza jamaa anazidi kuimarika
Hivi analysis ya hayo mapigano ya Israel na Iran mmeifanyaje? Mnaqwza mkan8saidia kujua ni upande upi ambao umepata hasara? Kivipi?Putin ameona adabu aliyoshikishwa Israel na Iran kwa kupiga bila huruma.
Sasa na yeye ameona huyu Zele ni wa kuchapwa kwa hasira zote ili aombe poo
Trump hana lolote kwa Putin
Jamaa kachukua Crimea kibabe na hakuna wa kumzuia
Huyu sio Saddam eti
Mkuu, hata ajali ikitokea na mashuhuda wakiwa wengi, basi pindi wanapotawanyika kila mmoja ataongea yake ingawa ajali ni moja tuHivi analysia ya hayo mapigano ya Israel na Iran mmeifanyaje? Mnaqwza mkan8saidia kujua ni upande upi ambao umepata hasara? Kivipi?