Wala mimi sishangai, Trump kigehu gehu sana, mimi nilisha mshitukia siku nyingi kwamba hana nia thabiti ya kumaliza mgogoro WA Ukraine, alichokuwa anafanya ni kumpigia simu Putin mara kwa mara lakini sio kutaka kukutana na Putin ana tangu aigie White House, cha ajabu Trump amekwisha kutaka na Zelensky ana kwa ana zaidi ya mara TATU au nne!! Baada ya kugudua hilo ndiyo nikaona Trump anampigia pigia simu Putin akiwa na lengo la kumchota akili tu lakini Trump, Waziri mkuu wa Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Poland na baadhi ya Mataifa ya Ulaya(ie some NATO members wamepania kuanzisha vita na Urusi - wamepania kweli kweli, lakini hata iweje Urusi ataeashinda tu, Urusi si mchezo walisha jipanga kuhusu kukabiliana na mahasimu wao wakubwa (NATO), na Putin alisha waonya siku nyingi kwamba akipata taarifa ya kintelijensia kwamba Taifa la Urusi linatishiwa na Mataifa ya NATO akasema huo ndiyo utakuwa ndiyo mwisho wa Dunia na atanii.
Binafsi namshauri Putin atangaze vita na Ukraine mapema iwezekanavyo, bila ya kujali nchi za Ulaya zita react vipi hata ikiwemo Merikani yenyewe, bila ya Putin kufikia uhamuzi huo Zelezensky na wapambe wake watamsumbuwa sana Putin.