Morocco forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,121
- 6,879
serikali za kidikteta kila kitu kinapikwa
Serikali ya marekani sio yakidiktetaz?
serikali za kidikteta kila kitu kinapikwa
Huo ni mtazamo wako kulingana na uwezo wako wa kufikiri! Mimi nimezungumza uhalisia ambao huitaji kuwa genius kuelewa hili!!! Hata Tanzania, kuna wakati hali ya uchumi inakuwa mbaya, watu wanalia hela haionekani lakini wakati wewe unalia jirani yako anaagiza Range Rover!!! Ndivyo maisha yalivyo!mwenzio amefeel life la urusi , ww upo kuzungumza hadith za kufikirika
Hao ni mashabiki uchwara! Wepesi sana kuamini kila wanachoambiwa!Nawe umeamini anaishi urusi kweli? Unawajua wabongo lakini?
Hao ni mashabiki uchwara! Wepesi sana kuamini kila wanachoambiwa!
[emoji28][emoji28]Nawe umeamini anaishi urusi kweli? Unawajua wabongo lakini?
Putin ni mtu mmoja hatari sana mwenye akili nyingi sana na mbobezi haswaa wa intelligence ex-KGB.
Hii vita ya kuivamia Ukraine, ilikuwa ni mkakati wa kuinua uchumi wa Russia.
Baada ya kuzichanga karata zake vema na kusoma kila post-events za vita.
Akazama kazini mzee baba, EU kupitia NATO na US wakazama mtegoni.
Wakaweka vijikwazo vyao, jamaa anawaangalia tu.
Wakashikilia mali zao jamaa anawacheki kwa dharaaau[emoji28][emoji28][emoji28].
Wakazuia asitumie Dollar wala Euro, akatabasamu akijisemea hawa pimbi hawanijui?
Alipoona wanamchosha, akaamua now its time for action, its my turn [emoji41][emoji41][emoji41]
Mzee baba akakata gesi, wakajidai wana-alternative akatulia kimyaa! Wakakaza.
Jamaa akaendelea na mambo yake hana habari.
Bei za mafuta zikapaa wakaanza kutafutana na kumpigia simu kisirisi. Hii inaitwa "weka ugoko naweka nondo"
Sasa jamaa kakaza lazima malipo ya gesi na mafuta lazima yafanyike kwa pesa ya Russia, kama hamtaki kokeni moto majumbani, mpaki magari msafiri kwa baiskeli
Sasa sarafu ya Russia inapaa.
Nawasilisha nikiwa hapa cremlin jirani kabisa na mwamba 😎😎View attachment 2171528
The ruble has recouped most of its losses and become the top-performing currency globally. It continues to gain and is up 60 per cent against the US dollar from its lows in the first week of March.
The ruble appreciated to 83 to the dollar intraday on Tuesday against a record low of 139 on March 7. Thanks to the recent rally, the ruble is only about 10 per cent lower than what it was before the Russian invasion of Ukraine on February 24. The ruble was trading at around 76 before the invasion, according to the data from Bloomberg.
Analysts, however, say the recovery in the ruble suggests the impact of the West’s economic sanctions are much lower than anticipated initially. “The sanctions and curbs had created insolvency risks for the Russian economy, leading to a big sell-off in the ruble.
Kwa taarifa zaidi kutoka WASHINGTON POST soma hii
Na hii kutoka US
We ni mtoto nimekuwekewa habari zilizoandikwa na WASHINGTON POST na US. NEWS we unaleta ujinga wa BBC haya leta chanzo kingine huruView attachment 2172712
Kitu kimewaka uko ndani ya urusi wewe unakata mabuno tu, matunda ya kazi yake ndio haya, ngoma zinadondoka russia sasa sio Kyiv tena, Kyiv watoto wameanza kwenda shule sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamekana wenyeweView attachment 2172712
Kitu kimewaka uko ndani ya urusi wewe unakata mabuno tu, matunda ya kazi yake ndio haya, ngoma zinadondoka russia sasa sio Kyiv tena, Kyiv watoto wameanza kwenda shule sasa
sijui unaishi dunia gani mpaka hili la kushambuliwa urusi bado akili yako inawaza chanzo, ambapo mpaka urusi wenyewe wamethibitisha na kusema mazungumzo waliyoanzisha huenda yakaathiriwa na hichi kichapoWe ni mtoto nimekuwekewa habari zilizoandikwa na WASHINGTON POST na US. NEWS we unaleta ujinga wa BBC haya leta chanzo kingine huru
Hii imeiona? Au unaifumbia macho?sijui unaishi dunia gani mpaka hili la kushambuliwa urusi bado akili yako inawaza chanzo, ambapo mpaka urusi wenyewe wamethibitisha na kusema mazungumzo waliyoanzisha huenda yakaathiriwa na hichi kichapo
Usipanic kakaSijadiliane na wewe tena
Hapendi facts anataka propaganda za westernsUsipanic kaka
Watasema UKRAINE wanadanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamekana wenyeweView attachment 2172729
Upo Urusi unakula uyoga au sio.Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Kakimbia saivi kajichimbia sehem anatafuta upepo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watasema UKRAINE wanadanganya
Watoto waajabu sana hawa US beibe[emoji3][emoji3][emoji3]Hapendi facts anataka propaganda za westerns
[emoji28][emoji28][emoji28]Watoto waajabu sana hawa US beibe[emoji3][emoji3][emoji3]
Lazma asepe hawaupendi ukweliKakimbia saivi kajichimbia sehem anatafuta upepo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960] mabogaUpo Urusi unakula uyoga au sio.
Hio haimuhusu mrusi, wao watoe ruzuku tu kwa wananchi waoBei iko juu kuliko ya Urusi sababu ya gharama za juu za usafirishaji ila Serikali ya ujerumani wamesema wata subsidize ili wananchi wake wasiumie kwa bei kubwa ya gesi itakayoagizwa nje