Kabisa ndugu maana ukimwaga ugali wanaweza kuuzoazoa wakaufuta wakaula hivyo hivyo mkavu.Huyu putin ana PUT IN kweli kweli, japo atasafa ila si pekee yake upande wa pili nao wataisoma namba.
America mnafiki, yeye baada ya kuona mbolea inakuwa ishu kwake, kaextend vikwazo vya mbolea toka kwa mrusi, sasa putin nae awaambie walipie kwa rubles ndio nasubiri kuona hili jambo, ifike hatua tuheshimiane tu.
Ukimwaga mboga naondoka na sufuria ya ugali.