Putin ameanza kuvuna matunda ya kazi yake

Putin ameanza kuvuna matunda ya kazi yake

Hii imeiona? Au unaifumbia macho?View attachment 2172740

BBC Swahili wanachukua habari kutoka shirika la utangazaji la Reuters
nani msemakweli?

Ukikua utaelewa
Mkuu ukiambiwa na wewe jiongeze sasaivi katika hali ya kawaida ni kwa vipi nchi nyengine ikaishambulie russia? wakati kwenye meza ni vita ya Russia dhidi ya Ukraine? Ukren kwenye hili shambulio hawajakataa kabis akabisa jana nimeona CNN "Ukraine wanasema hawawezi kuthibitisha lakini hawawezi kukataa"
 
Mkuu ukiambiwa na wewe jiongeze sasaivi katika hali ya kawaida ni kwa vipi nchi nyengine ikaishambulie russia? wakati kwenye meza ni vita ya Russia dhidi ya Ukraine? Ukren kwenye hili shambulio hawajakataa kabis akabisa jana nimeona CNN "Ukraine wanasema hawawezi kuthibitisha lakini hawawezi kukataa"
Nimekuwekea Reuters niwekee CNN
 
Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Tuchambulia ameathirikaje kiuchumi
 
Huo ni mtazamo wako kulingana na uwezo wako wa kufikiri! Mimi nimezungumza uhalisia ambao huitaji kuwa genius kuelewa hili!!! Hata Tanzania, kuna wakati hali ya uchumi inakuwa mbaya, watu wanalia hela haionekani lakini wakati wewe unalia jirani yako anaagiza Range Rover!!! Ndivyo maisha yalivyo!

Vivyo hivyo hata hapo Urusi inawezekana yeye akapitia hali ngumu lakini ukashangaa jirani wanafurahia maisha! Hizi siyo hadithi za kufikirika! Ndiyo uhalisia wa maisha! Hatulingani na hatutakaa tulingane! Wakati unalia, Kuna mwingine anacheka!

Una uhakika gani alichozungumza siyo hadithi za kufikirika?
mafunzo ya nadharia yameharibu sana akil zetu , kila kitu tunataka kukifanya kama tunavyojibu essay za why scramble for partition of africa , vitu vingine unazungumza kwa fact na si kuifuata akili yako inavyotaka
 
mafunzo ya nadharia yameharibu sana akil zetu , kila kitu tunataka kukifanya kama tunavyojibu essay za why scramble for partition of africa , vitu vingine unazungumza kwa fact na si kuifuata akili yako inavyotaka
..... Upo sahihi! Kwa hili nakuunga mkono kwa 100%! Hata kama umedhamiria kuniponda mimi lakini upo sahihi kwa 100%! Ni kweli.
 
We ni mtoto nimekuwekewa habari zilizoandikwa na WASHINGTON POST na US. NEWS we unaleta ujinga wa BBC haya leta chanzo kingine huru
hahaaa chanzo huru ni kile unachokipenda ? ambacho hakituonesh maandamano ya warusi waliowekwa selo kwa kupinga uvamiz ndan ya ukraine
 
hahaaa chanzo huru ni kile unachokipenda ? ambacho hakituonesh maandamano ya warusi waliowekwa selo kwa kupinga uvamiz ndan ya ukraine
Hivi, Washington Post, USnews, Reuters wanaweza kuisemea mazuri Russia?

Hebu kua basi hata kidoooogo kiakili
 
Back
Top Bottom