EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Putin ni mtu mmoja hatari sana mwenye akili nyingi sana na mbobezi haswaa wa intelligence ex-KGB.
Hii vita ya kuivamia Ukraine, ilikuwa ni mkakati wa kuinua uchumi wa Russia.
Baada ya kuzichanga karata zake vema na kusoma kila post-events za vita.
Akazama kazini mzee baba, EU kupitia NATO na US wakazama mtegoni.
Wakaweka vijikwazo vyao, jamaa anawaangalia tu.
Wakashikilia mali zao jamaa anawacheki kwa dharaaau[emoji28][emoji28][emoji28].
Wakazuia asitumie Dollar wala Euro, akatabasamu akijisemea hawa pimbi hawanijui?
Alipoona wanamchosha, akaamua now its time for action, its my turn [emoji41][emoji41][emoji41]
Mzee baba akakata gesi, wakajidai wana-alternative akatulia kimyaa! Wakakaza.
Jamaa akaendelea na mambo yake hana habari.
Bei za mafuta zikapaa wakaanza kutafutana na kumpigia simu kisirisi. Hii inaitwa "weka ugoko naweka nondo"
Sasa jamaa kakaza lazima malipo ya gesi na mafuta lazima yafanyike kwa pesa ya Russia, kama hamtaki kokeni moto majumbani, mpaki magari msafiri kwa baiskeli
Sasa sarafu ya Russia inapaa.
Nawasilisha nikiwa hapa Kremlin jirani kabisa na mwamba 😎😎
The ruble has recouped most of its losses and become the top-performing currency globally. It continues to gain and is up 60 per cent against the US dollar from its lows in the first week of March.
The ruble appreciated to 83 to the dollar intraday on Tuesday against a record low of 139 on March 7. Thanks to the recent rally, the ruble is only about 10 per cent lower than what it was before the Russian invasion of Ukraine on February 24. The ruble was trading at around 76 before the invasion, according to the data from Bloomberg.
Analysts, however, say the recovery in the ruble suggests the impact of the West’s economic sanctions are much lower than anticipated initially. “The sanctions and curbs had created insolvency risks for the Russian economy, leading to a big sell-off in the ruble.
Kwa taarifa zaidi kutoka WASHINGTON POST soma hii
Na hii kutoka US_NEWS
Hii vita ya kuivamia Ukraine, ilikuwa ni mkakati wa kuinua uchumi wa Russia.
Baada ya kuzichanga karata zake vema na kusoma kila post-events za vita.
Akazama kazini mzee baba, EU kupitia NATO na US wakazama mtegoni.
Wakaweka vijikwazo vyao, jamaa anawaangalia tu.
Wakashikilia mali zao jamaa anawacheki kwa dharaaau[emoji28][emoji28][emoji28].
Wakazuia asitumie Dollar wala Euro, akatabasamu akijisemea hawa pimbi hawanijui?
Alipoona wanamchosha, akaamua now its time for action, its my turn [emoji41][emoji41][emoji41]
Mzee baba akakata gesi, wakajidai wana-alternative akatulia kimyaa! Wakakaza.
Jamaa akaendelea na mambo yake hana habari.
Bei za mafuta zikapaa wakaanza kutafutana na kumpigia simu kisirisi. Hii inaitwa "weka ugoko naweka nondo"
Sasa jamaa kakaza lazima malipo ya gesi na mafuta lazima yafanyike kwa pesa ya Russia, kama hamtaki kokeni moto majumbani, mpaki magari msafiri kwa baiskeli
Sasa sarafu ya Russia inapaa.
Nawasilisha nikiwa hapa Kremlin jirani kabisa na mwamba 😎😎
The ruble has recouped most of its losses and become the top-performing currency globally. It continues to gain and is up 60 per cent against the US dollar from its lows in the first week of March.
The ruble appreciated to 83 to the dollar intraday on Tuesday against a record low of 139 on March 7. Thanks to the recent rally, the ruble is only about 10 per cent lower than what it was before the Russian invasion of Ukraine on February 24. The ruble was trading at around 76 before the invasion, according to the data from Bloomberg.
Analysts, however, say the recovery in the ruble suggests the impact of the West’s economic sanctions are much lower than anticipated initially. “The sanctions and curbs had created insolvency risks for the Russian economy, leading to a big sell-off in the ruble.
Kwa taarifa zaidi kutoka WASHINGTON POST soma hii
Na hii kutoka US_NEWS