Putin ameanza kuvuna matunda ya kazi yake

Putin ameanza kuvuna matunda ya kazi yake

Urusi na China ndizo nchi pekee duniani ambazo thamani za pesa zao husimamiwa na Serikali

China yenyewe kutwa huwa inapunguza thamani ya pesa yake ili iuze sana bidhaa zake nje .Mchina ni mbobezi kwenye devaluation ya pesa yake

Sasa naona mrusi kaingia kubobea kwenye kupandisha thamani ya pesa yake kwenye ofisi ya Kremlin!! Mauzo ya Russia ya gesi na mafuta yameshuka kwa sababu ya vikwazo pesa yake inapandaje thamani jiulize swali dogo
Unajua Exchange rate?? ukijua utaelewa
 
Iko hivi
Mwarabu anarudi kusupply mafuta kama miaka ya nyuma
Amerika Kaskazini kuna mafuta na gas ya kutosha
Kilimo cha ngano mahindi kitaendelea kushamiri huko Kwa hivi nani atapata hasara hapa unadhani
Put In kaingia kwenye shimo la choo
Maisha yaendelee
Huruma ni kupoteza maisha ya innocent souls
Putin akitoboa na ruble hao wote uliowataja wataiga alichofanya Putin na ndio maana US hataki kwani ni hatari kwa dollar,hivi hujiulizi kwa nini kwenye huu mgogoro huyo mwarabu yupo neutral.
 
Sasa nadhani unaanza kunielewa nchi inaweza ku-devaluate tu. Soko (Exportation) ina appreciate and not vice verse
Ok.urusi soko limeshuka ,exports ziko chini kwa nini kipindi hiki pesa yake ipande thamani kama sio Serikali ndio imepandisha thamani.Logic ndogo.Yaani mauzo ya bidhaa nje yashuke halafu thamani ya pesa iwe juu ni propaganda za kitoto
 
Ok.urusi solo limeshuka ,exports ziko chini kwa nini kipindi hiki pesa yake ipande thamani kama sio Serikali ndio imepandisha thamani.Logic ndogo.Yaani mauzo ya bidhaa nje yashuke halafu thamani ya pesa iwe juu ni propaganda za kitoto
Saivi anauza both mafuta na pesa(through exchange)
 
Saivi anauza both mafuta na pesa(through exchange)
Profit ndogo mno nenda duka lolote la pesa za kigeni uangalie rate ya kununua na kuuza
Lakini hiyo mipesa wanayopata ya kirusi ni ya kuzungusha ndani tu akitaka bidhaa nje itahitajika ku exchange kwa mipesa mingi ya Ruble sababu wenyewe wanataka dola sio Ruble. Ni biashara kichaa!! Unajaza mi pesa ya kirusi magodown ya mabenki ambayo haiwezi kununua hata pipi ya dollar moja au Euro moja toka nje ya nchi inakusaidia nini wakati kuna vikwazo vya wewe kutonunua bidhaa yoyote nje ?

Sawa lipwa hata kwa rate ya dollar moja sawa na Ruble laki moja ukalipwa matrilioni ya mi Ruble inakusaidia nini? Kupiga picha na hiyo mipesa au
 
Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Weka ushahidi wacha porojo,kuwepo Russia isiwe sababu kwanza hujaulizwa upo wapi🤣
 
Profit ndogo mno nenda duka lolote la pesa za kigeni uangalie rate ya kununua na kuuza
Lakini hiyo mipesa wanayopata ya kirusi ni ya kuzungusha ndani tu akitaka bidhaa nje itahitajika ku exchange kwa mipesa mingi ya Ruble sababu wenyewe wanataka dola sio Ruble. Ni biashara kichaa!! Unajaza mi pesa ya kirusi magodown ya mabenki ambayo haiwezi kununua hata pipi ya dollar moja au Euro moja toka nje ya nchi inakusaidia nini wakati kuna vikwazo vya wewe kutonunua bidhaa yoyote nje ?

Sawa lipwa hata kwa rate ya dollar moja sawa na Ruble laki moja ukalipwa matrilioni ya mi Ruble inakusaidia nini? Kupiga picha na hiyo mipesa au
Kwani wanabadilisha laki1?
Ni milions of money mzee baba
 
Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Urusi ya nyoko
 
Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
wasalimie igulusi -usangu mbeya apo
 
Profit ndogo mno nenda duka lolote la pesa za kigeni uangalie rate ya kununua na kuuza
Lakini hiyo mipesa wanayopata ya kirusi ni ya kuzungusha ndani tu akitaka bidhaa nje itahitajika ku exchange kwa mipesa mingi ya Ruble sababu wenyewe wanataka dola sio Ruble. Ni biashara kichaa!! Unajaza mi pesa ya kirusi magodown ya mabenki ambayo haiwezi kununua hata pipi ya dollar moja au Euro moja toka nje ya nchi inakusaidia nini wakati kuna vikwazo vya wewe kutonunua bidhaa yoyote nje ?

Sawa lipwa hata kwa rate ya dollar moja sawa na Ruble laki moja ukalipwa matrilioni ya mi Ruble inakusaidia nini? Kupiga picha na hiyo mipesa au
Duuuuh, mkuu naomba nikurekebishe kidogo kitu chochote kinapanda thamani kutokana na kuadimika sokoni, yaani kuna wanunuzi wengi kuliko bidhaa, Kwa maana hiyo mahitaji ya rubles ni makubwa kuliko upatikanaji wa rubles automatically thamani ya rubles itapanda
 
Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Urusi gani! upo Chamwino wwe pimbi!
 
Duuuuh, mkuu naomba nikurekebishe kidogo kitu chochote kinapanda thamani kutokana na kuadimika sokoni, yaani kuna wanunuzi wengi kuliko bidhaa, Kwa maana hiyo mahitaji ya rubles ni makubwa kuliko upatikanaji wa rubles automatically thamani ya rubles itapanda
Ruble mfano hela ya kirusi nani anaihitaji?
European union hawaihitaji,Marekani na Uingereza na Japan bhawaihitaji Afrika tukiwemo Tanzania hatuihitaji kabisaaaaaa ulishawahi iona hata hiyo Ruble ya kirusi inafananaje au ukaiona duka lolote la pesa za kigeni Tanzania linauza?

Hiyo propaganda ya kusema imepanda ni hewa ni Serikali ndio imefix
 
Back
Top Bottom