EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
- Thread starter
- #41
Ukute kakopa bando songeshaWatu kama ninyi hamkosekani kuja kuleta Propaganda zenu, mkuu@Tafakari yetu kama amejua mtakuja tuu š¤£
Ukute kakopa bando songeshaWatu kama ninyi hamkosekani kuja kuleta Propaganda zenu, mkuu@Tafakari yetu kama amejua mtakuja tuu š¤£
Hii nchi ina vilaza wengi mno mkuu..!!šš mtoa mada na yeye huwa wanamwaminia kwenye kijiwe Chao akiwa anawalisha matango poriHakuna unachokijua mweupe tuu wewe Kama kuta za ikulu Bora ukae kimya huko urusi watu wanatafutana wanataka wakimbie nchi wanazuiliwa, wanajeshi wenyewe wameshachezea kichapo wanatafuta namna ya kukimbia wewe unajamba Jamba tu kwenye key board yako huko
Hii nchi ina vilaza wengi mno mkuu..!!šš mtoa mada na yeye huwa wanamwaminia kwenye kijiwe Chao akiwa anawalisha matango pori
Urusi kayataka alipoanzisha vita alitarajia nini?Sasa mkuu kusubsdize for how long?, hapa US kawapambanisha ili auze mafuta yake ila chamoto wanakiona
Soma hii article kutoka gazeti pendwa la USAUrusi kayataka alipoanzisha vita alitarajia nini?
Angepigana mwisho wa siku apanue soko la bidhaa zake hapo sawa.
Vita za sasa hivi ni za kiuchumi unatakiwa ujue hiyo vita mwisho wa siku itakuacha kiuchumi uko hali gani soko la bidhaa zako lako litakuwa hali gani baada ya vita kabla ya kutoa Amri majeshi waanze kurusha risasi
NATO na Marekani walisimama pamoja saba wana soko la pamoja kila mmoja anaona nikijitenga niungane na mrusi soko la bidhaa zangu litaporomoka sana kwa vikwazo vya wateja nchi zingine
Urusi magenerali tu wa vita ndio walioamua Urusi iingie vitani mashamba.Vita ya sasa hivi kabla kuingia lazima kushirikisha wachumi,wafanyabiashara wakubwa sana na taasisi za fedha.Putin hakushirikisha alikaa tu na magenerali wa Jeshi mabwege wakasema twende vitani tukawatwange!
Soko la bidhaa za Urusi linadorora,uchumi unadorora mmarekani kateka soko la Urusi kiulaini tu sababu anajua kupigana vita za kiuchumi Urusi hajui ana bado mambo ya kishamba ya kizamani kuwa vita ni kuvurumisha mabomu na makombora. Tu
Mkuu usihangaike thamani ya pesa ya Urusi hupangwa na Serikali sio soko kama dollar, Euro au Japanese YenSoma hii article kutoka gazeti pendwa la USA
Washington Post wamenuwa wasemaji wa Putin?Hiyo thamani sio realistic ni Serikali ya Urusi imetamka !!
Ni kawaida yao haoWashington Post wamenuwa wasemaji wa Putin?
Je umeshuhudia yote hayo ukiwa wapi?Hakuna unachokijua mweupe tuu wewe Kama kuta za ikulu Bora ukae kimya huko urusi watu wanatafutana wanataka wakimbie nchi wanazuiliwa, wanajeshi wenyewe wameshachezea kichapo wanatafuta namna ya kukimbia wewe unajamba Jamba tu kwenye key board yako huko
Mkuu kuna kupanda kwa thamani ya fedha kunategemeana sana na soko, ukiuza sana nje export automatically thamin ya fedha yako lazima ipande.Mkuu usihangaike thamani ya pesa ya Urusi hupangwa na Serikali sio soko kama dollar, Euro au Japanese Yen
Vita ni process mkuuPutin anachonikera ni kutokumaliza vita fasta
Lini nordstream 2 ilianza kufanya kazi?Mgao ni wa muda mfupi Meli ziko njiani toka Marekani zimebeba gesi kupeleka ujerumani
Marekani ndie mzalishaji gesi namba moja kamuacha mrusi mbali mno
Ujerumani imechukua measures nyingi ikiwemo kuwaua mitambo ya kuzalisha umeme itumiayo makaa ya mawe ,na nishati mbadala zote ili kuondoa utegemezi wa gesi ya Urusi. Kati ya mabomba makubwa mawili mapeleka gesi toka Urusi kwenda ujerumani ,moja ujerumani wameshalifunga la stream 2 kuwwawekea Urusi vikwazo.Urusi sasa ina pump gesi bomba moja tu
Mtogole kwa Bi MinyauJe umeshuhudia yote hayo ukiwa wapi?
Urusi na China ndizo nchi pekee duniani ambazo thamani za pesa zao husimamiwa na SerikaliMkuu kuna kupanda kwa thamani ya fedha kunategemeana sana na soko, ukiuza sana nje export automatically thamin ya fedha yako lazima ipande.
2. kuna kushusha thamani ya fedha ya nchi makusudi ina uuze zaidi nje. na unazuia importation ili kulinda soko la ndani.
Huwezi kuappreciate thamani kwa makusudi bila soko.
Ok ilikuwa iongeze kupeleka gas imepigiwa stop mabilioni ya dollar mrusi alitumia kujenga imetumbukia shimo.la choo Kremlin. Hakuna business ni white elephant projectLini nordstream 2 ilianza kufanya kazi?
Sasa nadhani unaanza kunielewa nchi inaweza ku-devaluate tu. Soko (Exportation) ina appreciate and not vice verseSasa naona mrusi kaingia kubobea kwenye kupandisha thamani ya pesa yake kwenye ofisi ya Kremlin!! Mauzo ya Russia ya gesi na mafuta yameshuka kwa ajili ya vikwazo pesa yake inapandaje thamani jiulize swali dogo
Hyo nord sream iljengwa na mrusi pekee? Elimu elimu elimuOk ilikuwa iongeze kupeleka gas nimepigiwa stop mabilioni ya dollar mrusi alitumia kujenga imetumbukia shimo.la choo Kremlin. Hakuna business ni white elephant project