Putin ameanza kuvuna matunda ya kazi yake

Putin ameanza kuvuna matunda ya kazi yake

Hzo chopa zinaruka wapi mbele ya s400 huyo Russia anatafuta sababu tu ya kuendelea kumbonda jamaa ndio maana yy Russia katangaza kashambuliwa Ukraine anakataa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ushawahi kusoma hata introduction ya uchumi?hyo pesa ya urusi imepanda thamani sababu demand yake sokoni imekuwa kubwa kwa watu wanaotaka kununua bidhaa urusi sio km Russia kajiamulia tu kupandisha mbona hajaamua toka zamani kuipandisha
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960] hajui hata ppp, DFI msamehe bure anachojua ni kuvaa shati la kijani, mjuwa [emoji536][emoji2389][emoji2388]
 
Kwani unaumia kutokea wapi?
Urusi kayataka alipoanzisha vita alitarajia nini?
Angepigana mwisho wa siku apanue soko la bidhaa zake hapo sawa.

Vita za sasa hivi ni za kiuchumi unatakiwa ujue hiyo vita mwisho wa siku itakuacha kiuchumi uko hali gani soko la bidhaa zako lako litakuwa hali gani baada ya vita kabla ya kutoa Amri majeshi waanze kurusha risasi

NATO na Marekani walisimama pamoja sababu wana soko la pamoja kila mmoja anaona nikijitenga niungane na mrusi soko la bidhaa zangu litaporomoka sana kwa vikwazo vya wateja nchi zingine

Urusi magenerali tu wa vita ndio walioamua Urusi iingie vitani mashamba.Vita ya sasa hivi kabla kuingia lazima kushirikisha wachumi,wafanyabiashara wakubwa sana na taasisi za fedha.Putin hakushirikisha alikaa tu na magenerali wa Jeshi mabwege wakasema twende vitani tukawatwange!

Soko la bidhaa za Urusi linadorora,uchumi unadorora mmarekani kateka soko la Urusi kiulaini tu sababu anajua kupigana vita za kiuchumi Urusi hajui ana bado mambo ya kishamba ya kizamani kuwa vita ni kuvurumisha mabomu na makombora. Tu
 
Iko hivi
Mwarabu anarudi kusupply mafuta kama miaka ya nyuma
Amerika Kaskazini kuna mafuta na gas ya kutosha
Kilimo cha ngano mahindi kitaendelea kushamiri huko Kwa hivi nani atapata hasara hapa unadhani
Put In kaingia kwenye shimo la choo
Maisha yaendelee
Huruma ni kupoteza maisha ya innocent souls
Yani unaongea kama vile gas na mafuta ni kama kilimo cha mchicha.uwekezaji wa miundombinu ya gesi sio mchezo ndugu na sio jambo la muda mfupi.
Mbadala wa gesi ya Urusi alikuwa ni Qatar.ila changamoto ikawa ni njia ya bomba lenyewe la gesi.bomba lilitakiwa kupita Syria,Assad akakataa kupitisha bomba maana yeye na Urusi ni marafiki kwa iyo ngoma ikawa ngumu
 
Yani unaongea kama vile gas na mafuta ni kama kilimo cha mchicha.uwekezaji wa miundombinu ya gesi sio mchezo ndugu na sio jambo la muda mfupi.
Mbadala wa gesi ya Urusi alikuwa ni Qatar.ila changamoto ikawa ni njia ya bomba lenyewe la gesi.bomba lilitakiwa kupita Syria,Assad akakataa kupitisha bomba maana yeye na Urusi ni marafiki kwa iyo ngoma ikawa ngumu
Wapitishe baharini liende misri litokee Italy
 
Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
NATO wanalalamika wananchi wao ko wanatudanganya sasa kuwa Hari ya uchumi inakuwa mbaya gas imepanda mafuta balahaaa na msimu wa baridi unaingia

We mbongo wa wapi kanyeleleuuuukalo deee
 
hii nini?
Uwe unatumia bando kusoma sio kutongozea madem
Screenshot_20220403-073144_Google.jpg
 
NATO wanalalamika wananchi wao ko wanatudanganya sasa kuwa Hari ya uchumi inakuwa mbaya gas imepanda mafuta balahaaa na msimu wa baridi unaingia

We mbongo wa wapi kanyeleleuuuukalo deee
,[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Hakuna unachokijua mweupe tuu wewe Kama kuta za ikulu Bora ukae kimya huko urusi watu wanatafutana wanataka wakimbie nchi wanazuiliwa, wanajeshi wenyewe wameshachezea kichapo wanatafuta namna ya kukimbia wewe unajamba Jamba tu kwenye key board yako huko
Wanashida gani labda gas inakuwa haba au mafuta hawa urus kitu gani ngalamsyabu
 
Back
Top Bottom