EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
- Thread starter
- #221
[emoji851][emoji851]Wanashida gani labda gas inakuwa haba au mafuta hawa urus kitu gani ngalamsyabu
[emoji851][emoji851]Wanashida gani labda gas inakuwa haba au mafuta hawa urus kitu gani ngalamsyabu
Shida ipo wapi?angalia hicho ulichokua umeandika na unachotoa tafasiri yake hapo
Mimi sikukuelewaShida ipo wapi?
Sasa umeelewa au bado kunashida?Mimi sikukuelewa
rekebisha ili wengine wasipate mkwamo kama niliopata mimiSasa umeelewa au bado kunashida?
Asante mkuu nshaonarekebisha ili wengine wasipate mkwamo kama niliopata mimi
Kama mambo magumu huko, fanya urudi. nyumbani kumenogaUmekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
unaruka ruka humaliz sub_topic , nahis bado utot upo in btn your medullaUkikua utaelewa kwanini Russia hataki Ukraine ajiunge NATO
sawa kama hujui mbali na hapoNinachokijua kwamba UKRAINE hajahusika na hilo jambo No moooo
We jamaa hata sikuelewi nikekuambia weka link ya ulichokiona CNN [emoji851][emoji851][emoji851]unaruka ruka humaliz sub_topic , nahis bado utot upo in btn your medulla
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] labda arudi TandahimbaKama mambo magumu huko, fanya urudi. nyumbani kumenoga
Muongo weweUmekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Pole mkuu .umesema ukweli Achana na kuwekewa vikwazo vya uchumi .Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
andika uongo wakeMuongo wewe
Acha fix wewe...upo Urusi ya kijijini kwenu labda 🚮🚮🚮Umekaa na k-vant yako umeegemea kiti alafu unatunga upuuzi kama huu aisee wabongo muwe mnanyanyambua mambo ,hujui ni jinsi gani uchumi wa Russian umeporomoka,hujui hasara gan waliyopata urusi kwenye hii vita! hujui lolote kuhusu biashara za kimataifa na mikataba yake,mzee jitambue maisha siyo rahis kama unavyoona ,Mimi Niko urusi hapa mambo magumu sana
Unaota ukitokea wapi dogo?Hakuna unachokijua mweupe tuu wewe Kama kuta za ikulu Bora ukae kimya huko urusi watu wanatafutana wanataka wakimbie nchi wanazuiliwa, wanajeshi wenyewe wameshachezea kichapo wanatafuta namna ya kukimbia wewe unajamba Jamba tu kwenye key board yako huko
Russia ana malighafi na technologies za kuzalisha kila kitu west wanazalisha hivyo acha kuwewesekaNinawahakikishia hii ya Putin ni nguvu ya soda na muda mfupi ujao ni mateso kwa urusi kiuchumi!
Dogo babu yako...kiazi weweUnaota ukitokea wapi dogo?
wewe nani[emoji848][emoji848][emoji848]Ninawahakikishia hii ya Putin ni nguvu ya soda na muda mfupi ujao ni mateso kwa urusi kiuchumi!