Purchase on line

Yasser5

JF-Expert Member
Mar 15, 2012
207
17
Ndugu wana JF naomba udadavuzi wa jambo langu hili kwa mwenye uelewa wa kutosha na jambo lenyewe
katika kukua kwa science na Techlonogia tuna shuhudia mtu anaweza kununa na kuuza kwa kutumia mtanadao na mtu akapata bidhaa yake swafii
Swali langu katika kuperuzi ndani ya mtandao unaweza kukuta either soft wer au kitabu au kitu chochote may be game ili kukipata hicho kitu wana kwambia ulipie may ba dolla kadhaa kwa kutumia either master card ,visa card au card yeyte inayo tambulika kimataifa je njia hii ni salam ? Na je transaction hii bank zetu zinatambua na je pakitokea loss nani yuko reliable?
Nimewahi kusikia electronics money transfer kuwa mtu akigundua a/c yako hata ikawa kwa Obama anaweza kukukomba ukiwa hapa hapa yeye yuko hukohuko
Nitoeni kwenye kashimo hako great thinker wa JF
 
unahitaji kujua e.commercee na cybercrimes ni topic ndefu sana na pia unahitaji kufahamu online dispute enforcement
naona una nia ya kusoma ICT.
nashindwa kukujibu kwani itahitaji mda kukupa infor, soma What is Cyber Crime? jua Tanzania hatuna cybecrime law.hatuna electronic commerce law.pitia pitia gogle ujue kwa wenzetu Ulaya na marekani wanaregulate vipi cyberspace na online business soma ELECTRONIC COMMERCE DIRECTIVE, CONSUMER RIGHTS DIRECTIVE zipo online utaziona utajifunza mengi. suala la ,,tu kufahamu account yako afu akuibie kila kitu sio kweli ingawa inafanyika lakini kuna kitu wanaita PRIVATE KEYs na other securities unapewa unapofungua acccount ambayo ni onlune.
 
Yesser5, Baada ya kufuatilia maelezo aliyokupa Lokisa..utagundua kwamba online purchase/shopping ni salama iwapo utazingatia mambo yafuatayo:
1. Seller (Muuzaji) anaaminika ( credible na ni certified e-vendor/reseller agent)..soma reviews za wanunzi wengine ili kujua kama hutupi pesa yako kwenye shimo.... ogopa stringmails zinazosema... I have been buying these products at very cheap price na wakakuwekea link ya kununua.
2. Thibitisha kama seller atakusafirishia mzigo wako mpa ulipo say Urambo..- yaani kama unanunua vitu say UK au USA au
kwingineko ni vizuri kujua kama postage/courier/shipping charges za kuleta package yako Urambo zimeeleweka maana wengine
hawasafirishi nje ya nchi au mabara waliko.
3. Ni lazima utumie credit card kwa usalama wa pesa zako na sio debit card
4. Unapoingiza taarifa zako hakikisha ziko secure kwa kutazama --"secure verisign" yenye alama ya kufuli kwenye browserline.
5. Na jambo muhimu la kuzingatia kabla hujaibofya kuweka hio order ya bidhaa utakazo..soma Terms of Service kama
zinakulinda ipasavyo.

Enjoy e-commerce.
 
Ndugu wana JF naomba udadavuzi wa jambo langu hili kwa mwenye uelewa wa kutosha na jambo lenyewe
katika kukua kwa science na Techlonogia tuna shuhudia mtu anaweza kununa na kuuza kwa kutumia mtanadao na mtu akapata bidhaa yake swafii
Swali langu katika kuperuzi ndani ya mtandao unaweza kukuta either soft wer au kitabu au kitu chochote may be game ili kukipata hicho kitu wana kwambia ulipie may ba dolla kadhaa kwa kutumia either master card ,visa card au card yeyte inayo tambulika kimataifa je njia hii ni salam ? Na je transaction hii bank zetu zinatambua na je pakitokea loss nani yuko reliable?
Nimewahi kusikia electronics money transfer kuwa mtu akigundua a/c yako hata ikawa kwa Obama anaweza kukukomba ukiwa hapa hapa yeye yuko hukohuko
Nitoeni kwenye kashimo hako great thinker wa JF
Naomba samahani kama nitakuudhi lakini huu ndio ukweli wenyewe. Wewe unaonekana ni mshamba kabisa wa mambo ya computer na internet kwa ujumla. Wewe ni type ya wale watu wanaolizwa na Wanaigeria. Jaribu kukaa na mtu mwenye uzoefu akueleshe na kamwe usikimbilie kufanya manunuzi kwenye mtandao kabla hujawa mzoefu... kwani hata ulivyouliza hapa vipanga wameshakujua na weshaanza kukunyemelea......
 
Naomba samahani kama nitakuudhi lakini huu ndio ukweli wenyewe. Wewe unaonekana ni mshamba kabisa wa mambo ya computer na internet kwa ujumla. Wewe ni type ya wale watu wanaolizwa na Wanaigeria. Jaribu kukaa na mtu mwenye uzoefu akueleshe na kamwe usikimbilie kufanya manunuzi kwenye mtandao kabla hujawa mzoefu... kwani hata ulivyouliza hapa vipanga wameshakujua na weshaanza kukunyemelea......

dhuu majibu mengne bhana sasa kama ulikuwa huna yaa kunielekeza ungepita tuu
 
umeuliza maswali mengi sana, ntakujibu ntakavyoweza kutokana na uzoefu nlionao kwenye suala zima la online purchase. kwanza kabisa njia safi ya kununua kitu online is via paypal, hapo akaunti yako itakuwa safe mara mia zaidi. ikishindikana kabisa waweza tumia visa/master card number though its risky. pili dont assume, read word by word na urudie tena usije lizwa kihalali, kwani kama kitu kina mapungufu huwa wanaweka info za hayo mapungufu ila kimaficho sana na kwa lugha ya kuficha ficha. nmefanya sana hi kitu na nishalizwa so naitambua fika. NEVER GIVE YOUR CARD NUMBER AND SCV NUMBER TO ANY ONE. ukimpa mtu tu hizo umeibiwa kirahisi sana, ndio maana nimekushauri utumie paypal, sababu utapotumia viza/master card utatoa hizo info kwa muuzaji, so anaweza zitumia vibaya.
 
umeuliza maswali mengi sana, ntakujibu ntakavyoweza kutokana na uzoefu nlionao kwenye suala zima la online purchase. kwanza kabisa njia safi ya kununua kitu online is via paypal, hapo akaunti yako itakuwa safe mara mia zaidi. ikishindikana kabisa waweza tumia visa/master card number though its risky. pili dont assume, read word by word na urudie tena usije lizwa kihalali, kwani kama kitu kina mapungufu huwa wanaweka info za hayo mapungufu ila kimaficho sana na kwa lugha ya kuficha ficha. nmefanya sana hi kitu na nishalizwa so naitambua fika. NEVER GIVE YOUR CARD NUMBER AND SCV NUMBER TO ANY ONE. ukimpa mtu tu hizo umeibiwa kirahisi sana, ndio maana nimekushauri utumie paypal, sababu utapotumia viza/master card utatoa hizo info kwa muuzaji, so anaweza zitumia vibaya.

thanks
 
Back
Top Bottom