Ndugu wana JF naomba udadavuzi wa jambo langu hili kwa mwenye uelewa wa kutosha na jambo lenyewe
katika kukua kwa science na Techlonogia tuna shuhudia mtu anaweza kununa na kuuza kwa kutumia mtanadao na mtu akapata bidhaa yake swafii
Swali langu katika kuperuzi ndani ya mtandao unaweza kukuta either soft wer au kitabu au kitu chochote may be game ili kukipata hicho kitu wana kwambia ulipie may ba dolla kadhaa kwa kutumia either master card ,visa card au card yeyte inayo tambulika kimataifa je njia hii ni salam ? Na je transaction hii bank zetu zinatambua na je pakitokea loss nani yuko reliable?
Nimewahi kusikia electronics money transfer kuwa mtu akigundua a/c yako hata ikawa kwa Obama anaweza kukukomba ukiwa hapa hapa yeye yuko hukohuko
Nitoeni kwenye kashimo hako great thinker wa JF
katika kukua kwa science na Techlonogia tuna shuhudia mtu anaweza kununa na kuuza kwa kutumia mtanadao na mtu akapata bidhaa yake swafii
Swali langu katika kuperuzi ndani ya mtandao unaweza kukuta either soft wer au kitabu au kitu chochote may be game ili kukipata hicho kitu wana kwambia ulipie may ba dolla kadhaa kwa kutumia either master card ,visa card au card yeyte inayo tambulika kimataifa je njia hii ni salam ? Na je transaction hii bank zetu zinatambua na je pakitokea loss nani yuko reliable?
Nimewahi kusikia electronics money transfer kuwa mtu akigundua a/c yako hata ikawa kwa Obama anaweza kukukomba ukiwa hapa hapa yeye yuko hukohuko
Nitoeni kwenye kashimo hako great thinker wa JF