Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,674
Mungu ndio aliumba dhambi na ndiye alimuumba shetani so kwa nini mkitenda dhambi mnamsingizia shetani na sio Mungu ambaye ndio chanzo cha kila kitu
🤣Kwahiyo chama chetu cha CHAPUTA kife? Dogo usitujaribu
mkuu jitahidi kuziboua ubongo kwa kuafanya mazoezi utakuja kuuelewa uzi wangu baadae
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Angewaua tu hao mashetani ili sisi wanae tuishi vizuri tu. Yaani ametuumba tuje kuteseka na maelekezo meeengi.Mungu ndio aliumba dhambi na ndiye alimuumba shetani so kwa nini mkitenda dhambi mnamsingizia shetani na sio Mungu ambaye ndio chanzo cha kila kitu
Unajichukulia sheria mkononi @palina?😅😅Baada ya kupiga kimoja
Kuna sehemu. Ipo, tena MUNGU alimuua huyo jamaa but nimeisahauOnce in a while hata sio issue, hata hivyo sinaona popote kwenye Bible walikataza kujichukulia sheria mkononi.
Mara moja moja mkuu, sio mbaya ukafanya self survey 😃😃😃Unajichukulia sheria mkononi @palina?😅😅
Watu wanaongoza kwa punyeto na kufa kwa kujichua duniani ni Ujerumani... Sasa sijui kama ujerumani ni Africa hadi nikaangalie kwenye ramani ndiyo nitapata jibu sahihi..Na huyu ASMODEUS anawaandama zaidi Waafrika kuliko wazungu maana huwa anapenda watu wenye matatizo mengi zaidi. Kwa wazungu hana ubavu!
Itafute unipe reference mkuu, manake once in while usipojipa raha wa kukupa hayupo😅Kuna sehemu. Ipo, tena MUNGU alimuua huyo jamaa but nimeisahau
Mbona tumejaa mkuu, hututendei haki wala.Mara moja moja mkuu, sio mbaya ukafanya swlf survey 😃😃😃
Mazoezi yana uhusiano gani na kupiga punyeto, mimi nafanya mazoezi kila dakika na punyeto napiga, naokoa pesa, muda na magonjwa.mkuu jitahidi kuziboua ubongo kwa kuafanya mazoezi utakuja kuuelewa uzi wangu baadae
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
aisee😅😅Mara moja moja mkuu, sio mbaya ukafanya swlf survey 😃😃😃