Punyeto ni ushetani

Punyeto ni ushetani

Hapo ni mentality yako tu! Kwanza tatizo linaanza pale unapoichukulia nyeto kwamba ni dhambi. Nyeto ni njia ya kukabiliana na mihemko ya mwili kwa wale walio singo. Sasa wewe unaichukulia kama dhambi hapo ndiyo tatizo linapoanzia.

Kwahiyo ukimuangalia mtu anapokula kiepe ukatamani, hapo ni pepo gani litakuwa limekuongia?😂

Kutamani kitu kizuri baada ya kukiona sio suala la pepo au shetani fulani kukuingia, hilo ni suala la asili kabisa la kimaumbile.

Ko Lucifer alipokuwa mbinguni akatamani kuabudiwa kama MUNGU ni shetani gani alikuwa amemuingia?😅😅

Kutaka kuacha nyeto wakati uko singo ni sawa na kuingia kwenye vita ambavyo hutavishinda, utakaa kwa mie,i kadhaa tu baadaye utarudi mzigoni tena kwa mar nyingine! 🤣🤣🤣

Halafu mbona umeangalia upande wa hasara za nyeto tu? Faida zake katika jamii mbona hujaziangalia? Mbali na kwamba nyeto ina madhara lakini faida zake ni nyingi zaidi ukitaka nikutajie utaniambia.
 
Hapo ni mentality yako tu! Kwanza tatizo linaanza pale unapoichukulia nyeto kwamba ni dhambi. Nyeto ni njia ya kukabiliana na mihemko ya mwili kwa wale walio singo. Sasa wewe unaichukulia kama dhambi hapo ndiyo tatizo linapoanzia.

Kwahiyo ukimuangalia mtu anapokula kiepe ukatamani, hapo ni pepo gani litakuwa limekuongia?😂

Kutamani kitu kizuri baada ya kukiona sio suala la pepo au shetani fulani kukuingia, hilo ni suala la asili kabisa la kimaumbile.

Ko Lucifer alipokuwa mbinguni akatamani kuabudiwa kama MUNGU ni shetani gani alikuwa amemuingia?😅😅

Kutaka kuacha nyeto wakati uko singo ni sawa na kuingia kwenye vita ambavyo hutavishinda, utakaa kwa mie,i kadhaa tu baadaye utarudi mzigoni tena kwa mar nyingine! 🤣🤣🤣

Halafu mbona umeangalia upande wa hasara za nyeto tu? Faida zake katika jamii mbona hujaziangalia? Mbali na kwamba nyeto ina madhara lakini faida zake ni nyingi zaidi ukitaka nikutajie utaniambia.
Faida moja kubwa ya nyeto ni kuondoa stress, ila kwa ambao wamekuwa addicted na punyeto sidhani kama wanaweza kuona hii faida.
 
Bila ya kupoteza muda naomva niende moja kwa moja kwenye mada.

Mada yangu inachochewa na utafiti mdogo ambao nimeufanya kuhusiana na hii kitu ya kuitwa punyeto. punyeto ni kitu mbaya sana linapokuja swala la spiritual issues.

kuna kipindi nimewah kuandika mada inayohusu uraibu wa kupiga punyeto na mim nilikuwa ni muhanga mkubwa na muhusika mkuu kwenye huo uzi ambao niliouandika miezi kadhaa iliyopita. Kwakweli nilipata ushauri kadhaa kwa members wa humu na nilianza mazoezi ya kuacha.

sasa nilichogundua kuhusu hii punyeto kwenye angle ya uraibu niligundua kwamba siyo psychological issue pekee kwenye scientific fact lakini pia kuna spiritual factor pia ambazo kwa utafiti wangu ndo zilikuwa very dominant. Nilijaribu kufanya correlation ili nipate mizani ya ninachokifikiria lakini bado mzani uliegemea kwenye msukumo wa ushetani, na hapa nitatoa ufafanuzi kidogo.

Kwa takribani miaka 10 nilikuwa kwenye game ya punyeto lakini kwa miaka takribani 4 nilikuwa nikipambana kuacha punheto kwa njia ya kawaida, yaan kufuata njia za kawaida za kisaikolojia lakini mafanikio yalikuwa ni zero. nilipambana sana, niliomba ushauri kwa baadhi ya marafiki zangu ambao wengi wao walikuwa ni madaktar lakini wap matokeo yalikuwa ni sifur bin sifuri mpaka kuna kipindi nilikata tamaa nikasema mimi, nimeshatengwa na MUNGU na heaven ndo basi tena, kwasababu kwangu dhambi kuu ilikuwa ni punyeto.

MUNGU alinirudia.

Naweza kusema this is testimony, kuna siku nikiwa kwenye pitapita mitandaoni kama kawaida nikakutana na mada iliyokuwa inahusiana na "uhusiano kati ya upigaji punyeto na ushetani" yaan soul ties ya binadamu na shetani wa punyeto.

It was a very interesting topic kwasabub I was really tired and my plan was to get out of this mess. kwenye hii mada walimzungumzia shetani wa kuitwa asmodeus, yule jamaa alimzungumzia vizur sana huyu shetani na namna anavyo ingia kwenye mwili wa binadamu na jinsi anavyo-kucontrol. Yule jamaa alielezea na namna ya kumshinda huyo shetani, yaani jinsi ya kuondokana nae. nitaelezea kwa ufupi lakini nitachukua pointi muhimu.

Asmodeus.

Huyu ni shetani ambayo ni very powerful demon, huyu shetani ni mmoja lakin anaposess four souls. Huyu shetani ndo mmiliki mkuu wa ponograph na kila aina ya ngono zisizo rasmi. Asmodius hapendi utakatifu, yaan hapendi mtu anayemcha MUNGU na huyu demon ni mvurugaji kwelikweli, hapendi amani hata kidogo, kama wew umeoa na unapiga punyeto atafanya kila linalowezekana ili awafarakanishe, and you will see everyday kwenye ndoa yako ni mvuragano tu.

Lakin pia huyu demon anahusika sana kwenye kufunga milango ya baraka(it shut open doors) unaweza kuwa umepata deal fulan and lately you find yourself forgotten na pindi linapotokea swala kama hilo wala hupati muda wa kufight mambo ya maana yaan ni utawaza kwa muda tu na utakumbuka kuwa kuna faraja ambayo ni punyeto, ndivyo unavyoendelea kuangamia.

JINSI ASMODEUS ANAVYOKUINGIA
Asmodeus anaingia kwa urahisi sana mwilini mwako kwa kutumia gate of soul ambayo ni macho yako. iko hivi unapowatch porn ndipo unapomfungulia mlango huyu shetani kukuingia na pindi anapoingia tu anakuarrest na hapo unakuwa ni mtumwa wake, utawatch porn baada ya hapo utaingia kwenye hatua ya punyeto.

nimesema ni very powerful demon nafikir tunafahamu jinsi wafuasi wa porn walivyozidi kwenye huu ulimwengu and they never quit, siyo wao ni asmodeus demon ndiyo incharge, very sad

JINSI YA KUONDOKANA NA ASMODEUS
Ili uweze kuvunja mkataba na huyu shetani, jinsi ambavyo uliweza kuingia naye mkataba, maana yangu ni kwamba kama uliamua kutafuta porn site kwa bidii na kuanza kuwatch au kama ulishawishiwa na marafiki principle is very simple(hapa ni individual effort)

1. Achana na marafiki wanaojihusisha na porn, au ikiwezekana anza kuwakaripia na kuwashauri kuacha kuangalia porn, tafuta ugomvi na marafiki wapenzi wa porn, na hapo utaanza kugombana na huyo shetani na utaona hasira zake. usijal kuhusu hasira zake kwasababu wew ni kuimbe wa MUNGU it will not harm you.

Moja kwa moja utaona unaanza kugombana na rafiki zako, utaona wanaanza kukutenga, yaan watauona kama miyeyusho flan but don't give up keep moving the slave road is coming to an end.

2. Kama zilikuwa ni jubudi zako kuanza kuwatch porn there's need individual effort (participatory deliverance) lazima uwe willing kuchange behavior, ni kama ulivyo kuwa willing kuingia kwenye porn. Hapa kunahitajika nguvu sana, yaani unatakiwa kuikana nafsi yako ambayo ndo silaha anayoitumia huyu demon kuharibu soul yako. hapa unahitaji na maombi sana kwasababu haya ni mambo ya kiroho, silaha nyingine ni kama umeshafahamu jina la huyu shetani, kupitia maombi inaweza kuwa rahisi kumtoa.

Nilisukumwa leo kuandika hii makala japo ni ndefu lakini natumaini itakuwa msaada kwa wengine. Naomba niendelee na majukumu mengine.

Niwatakie mchana mwema

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
hii ASMODEUS nilifikiri ni jina la timu ya mpira
 
Nyetology ikiwa kama sayansi mwitu yenye kumponya maumivu ya kihisia kijana au Mzee wa hovyo asiye na ujanja wa kuomba uchi.
1662961436081.jpg

Kwako Afisa Nyeto Ofisi ya Raisi Mahusiano na Uzalendo.
dronedrake
 
Bila ya kupoteza muda naomva niende moja kwa moja kwenye mada.

Mada yangu inachochewa na utafiti mdogo ambao nimeufanya kuhusiana na hii kitu ya kuitwa punyeto. punyeto ni kitu mbaya sana linapokuja swala la spiritual issues.

kuna kipindi nimewah kuandika mada inayohusu uraibu wa kupiga punyeto na mim nilikuwa ni muhanga mkubwa na muhusika mkuu kwenye huo uzi ambao niliouandika miezi kadhaa iliyopita. Kwakweli nilipata ushauri kadhaa kwa members wa humu na nilianza mazoezi ya kuacha.

sasa nilichogundua kuhusu hii punyeto kwenye angle ya uraibu niligundua kwamba siyo psychological issue pekee kwenye scientific fact lakini pia kuna spiritual factor pia ambazo kwa utafiti wangu ndo zilikuwa very dominant. Nilijaribu kufanya correlation ili nipate mizani ya ninachokifikiria lakini bado mzani uliegemea kwenye msukumo wa ushetani, na hapa nitatoa ufafanuzi kidogo.

Kwa takribani miaka 10 nilikuwa kwenye game ya punyeto lakini kwa miaka takribani 4 nilikuwa nikipambana kuacha punheto kwa njia ya kawaida, yaan kufuata njia za kawaida za kisaikolojia lakini mafanikio yalikuwa ni zero. nilipambana sana, niliomba ushauri kwa baadhi ya marafiki zangu ambao wengi wao walikuwa ni madaktar lakini wap matokeo yalikuwa ni sifur bin sifuri mpaka kuna kipindi nilikata tamaa nikasema mimi, nimeshatengwa na MUNGU na heaven ndo basi tena, kwasababu kwangu dhambi kuu ilikuwa ni punyeto.

MUNGU alinirudia.

Naweza kusema this is testimony, kuna siku nikiwa kwenye pitapita mitandaoni kama kawaida nikakutana na mada iliyokuwa inahusiana na "uhusiano kati ya upigaji punyeto na ushetani" yaan soul ties ya binadamu na shetani wa punyeto.

It was a very interesting topic kwasabub I was really tired and my plan was to get out of this mess. kwenye hii mada walimzungumzia shetani wa kuitwa asmodeus, yule jamaa alimzungumzia vizur sana huyu shetani na namna anavyo ingia kwenye mwili wa binadamu na jinsi anavyo-kucontrol. Yule jamaa alielezea na namna ya kumshinda huyo shetani, yaani jinsi ya kuondokana nae. nitaelezea kwa ufupi lakini nitachukua pointi muhimu.

Asmodeus.

Huyu ni shetani ambayo ni very powerful demon, huyu shetani ni mmoja lakin anaposess four souls. Huyu shetani ndo mmiliki mkuu wa ponograph na kila aina ya ngono zisizo rasmi. Asmodius hapendi utakatifu, yaan hapendi mtu anayemcha MUNGU na huyu demon ni mvurugaji kwelikweli, hapendi amani hata kidogo, kama wew umeoa na unapiga punyeto atafanya kila linalowezekana ili awafarakanishe, and you will see everyday kwenye ndoa yako ni mvuragano tu.

Lakin pia huyu demon anahusika sana kwenye kufunga milango ya baraka(it shut open doors) unaweza kuwa umepata deal fulan and lately you find yourself forgotten na pindi linapotokea swala kama hilo wala hupati muda wa kufight mambo ya maana yaan ni utawaza kwa muda tu na utakumbuka kuwa kuna faraja ambayo ni punyeto, ndivyo unavyoendelea kuangamia.

JINSI ASMODEUS ANAVYOKUINGIA
Asmodeus anaingia kwa urahisi sana mwilini mwako kwa kutumia gate of soul ambayo ni macho yako. iko hivi unapowatch porn ndipo unapomfungulia mlango huyu shetani kukuingia na pindi anapoingia tu anakuarrest na hapo unakuwa ni mtumwa wake, utawatch porn baada ya hapo utaingia kwenye hatua ya punyeto.

nimesema ni very powerful demon nafikir tunafahamu jinsi wafuasi wa porn walivyozidi kwenye huu ulimwengu and they never quit, siyo wao ni asmodeus demon ndiyo incharge, very sad

JINSI YA KUONDOKANA NA ASMODEUS
Ili uweze kuvunja mkataba na huyu shetani, jinsi ambavyo uliweza kuingia naye mkataba, maana yangu ni kwamba kama uliamua kutafuta porn site kwa bidii na kuanza kuwatch au kama ulishawishiwa na marafiki principle is very simple(hapa ni individual effort)

1. Achana na marafiki wanaojihusisha na porn, au ikiwezekana anza kuwakaripia na kuwashauri kuacha kuangalia porn, tafuta ugomvi na marafiki wapenzi wa porn, na hapo utaanza kugombana na huyo shetani na utaona hasira zake. usijal kuhusu hasira zake kwasababu wew ni kuimbe wa MUNGU it will not harm you.

Moja kwa moja utaona unaanza kugombana na rafiki zako, utaona wanaanza kukutenga, yaan watauona kama miyeyusho flan but don't give up keep moving the slave road is coming to an end.

2. Kama zilikuwa ni jubudi zako kuanza kuwatch porn there's need individual effort (participatory deliverance) lazima uwe willing kuchange behavior, ni kama ulivyo kuwa willing kuingia kwenye porn. Hapa kunahitajika nguvu sana, yaani unatakiwa kuikana nafsi yako ambayo ndo silaha anayoitumia huyu demon kuharibu soul yako. hapa unahitaji na maombi sana kwasababu haya ni mambo ya kiroho, silaha nyingine ni kama umeshafahamu jina la huyu shetani, kupitia maombi inaweza kuwa rahisi kumtoa.

Nilisukumwa leo kuandika hii makala japo ni ndefu lakini natumaini itakuwa msaada kwa wengine. Naomba niendelee na majukumu mengine.

Niwatakie mchana mwema

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
100% nakubaliana na wewe Chifu.

Nilikuwa mtumwa sana wa punyeto hata mara 6 nilikuwa napiga tena kila siku kwa zaidi ya miaka 8.

Nilipoamua kuachana na mitandao kabisa ya simu kama Instagram, Facebook, Pornographies, Badoo, Twitter, Tango na makundi ya WhatsApp ya kijinga nilikuwa nakaa hata miezi mitatu ila nikikumbuka tu namna ya utamu wa punyeto lazima nitapiga na kurudia ujinga ule ule wa awali.

Nilifunga kwa maombi ya siku 7 mfululizo ndipo nikaona uwezo wa Mungu, nina miaka 10 yote sasa sijapiga punyeto na wala sijawahi kuifikiria kamwe.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kuna sehemu. Ipo, tena MUNGU alimuua huyo jamaa but nimeisahau
MWANZO 38:9.

Onan aliduu na Mjane ambaye alikuwa ni Shemeji yake ikiwa alipaswa kujamiiana naye ili aweze kumpiga mimba apate Mtoto maana Mumewe alifariki bila ya kuzaa naye.

Jamaa akafanya vizuri ila alipokuwa akielekea kupizi akachomoa mashine na kumwaga nnje ya uke wa Shemeji yake sababu alijua uzao hautakuwa wake.

Kilichofuata..........



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ulimwona wapi huyo shetani anapiga nyeto?

Je, Uraibu ndio kigezo chako Cha kumleta shetani hapa?

Kuna uraibu wa kunywa chai
Kuna uraibu wa kunywa kahawa
Kuna uraibu wa kusikiliza muziki
Kuna uraibu wa kula pilipili kwenye chakula
Kuna uraibu wa kula chipsi
Kuna uraibu wa kufanya sex
Kuna uraibu wa kunywa soda
Kuna uraibu wa kunywa energy drinks

Uraibu ni issue ya mwili tu, physiological and psychological issues of the body

Tuache huu ujinga wa kuongopeana kuhusu shetani!

Mtoa mada wewe ulipata ugumu kuacha punyeto Ila wapo wenzako wameacha kirahisi tu

Ukumbuke punyeto inawafurahisha wanaume, Ila wapo wanaume wanachukizwa na hicho kitendo

Wavulana wakibalehe wanafundishana punyeto!
Wakishaanza kupiga punyeto, baadhi yao wanaachana nayo baada ya Muda na wengine wanadumu nayo!
Hapo kwa ujinga wako utasema wanaoendelea wameshikwa na shetani na walioacha wamesamehewa na shetani

Issue Ni psychology na physiology ya mwili wa mtu imekuwa compatible na punyeto kwa kiwango gani!

Imani za kuhusu shetani mufundishane kanisani mulikojivika macho ya Rohoni!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimeishinda nyeto ila kwenye hili nahitaji msaada kwa kweli…
hapo ni pagumu sana aisee na ni mchakato siyo jambo la mara moja, kama ulivyojenga mazoea ya kuangalia misambwanda mara kwa mara jitahidi kuanza kuipotezea mdogomdogo, and surely inawezekana.
 
Back
Top Bottom