Punyeto ni ushetani

Punyeto ni ushetani

hii bongo ina watu wajinga sana akiwemo na wewe mpiga nyeto. ondokana na huo ujinga acha punyeto, acha sababu za kipumbavu, eti masheikh na mapadri wanapiga nyeto! so kama padre au sheikh anapiga nyeto ndyo kusema kwamba siyo dhambi kwasababu padre au sheikh anafanya? you are complete fool bora ungekaa kimya.

hivi hujawah kusikia padre amezini? au sheikh amezini? kwahyo ile nayo siyo dhambi kwasababu padre au sheikh amefanya? hii jf ichunguzwe! tunaheshimu mawazo ya watu lakini hatuwezi kuulea upumbavu, punyeto siyo dhambi pekee bali ni mvunjaji mkubwa wa maadili, vijana wanapakua video za ngono, badala ya kushughulika na mambo ya muhimu wanazidi kujitumbukiza kwenye punyeto ambazo zinavuruga storage system kwenye ufahamu halafu eti unaleta sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.

mkuu acha punyeto ili huo upumbavu ukutoke.
Swali hapa ni nani aliyekudanganya kupiga punyeto ni dhambi? Una uhakika gani kupiga punyeto ni dhambi? Wewe hapo ulipo unapiga punyeto, umeshajihukumu kwa hili?
 
hii bongo ina watu wajinga sana akiwemo na wewe mpiga nyeto. ondokana na huo ujinga acha punyeto, acha sababu za kipumbavu, eti masheikh na mapadri wanapiga nyeto! so kama padre au sheikh anapiga nyeto ndyo kusema kwamba siyo dhambi kwasababu padre au sheikh anafanya? you are complete fool bora ungekaa kimya.

hivi hujawah kusikia padre amezini? au sheikh amezini? kwahyo ile nayo siyo dhambi kwasababu padre au sheikh amefanya? hii jf ichunguzwe! tunaheshimu mawazo ya watu lakini hatuwezi kuulea upumbavu, punyeto siyo dhambi pekee bali ni mvunjaji mkubwa wa maadili, vijana wanapakua video za ngono, badala ya kushughulika na mambo ya muhimu wanazidi kujitumbukiza kwenye punyeto ambazo zinavuruga storage system kwenye ufahamu halafu eti unaleta sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.

mkuu acha punyeto ili huo upumbavu ukutoke.
Binafsi sipendi kuiga watu, hii ni fani yako burudika peke yako tu mkuu.
 
100% nakubaliana na wewe Chifu.

Nilikuwa mtumwa sana wa punyeto hata mara 6 nilikuwa napiga tena kila siku kwa zaidi ya miaka 8.

Nilipoamua kuachana na mitandao kabisa ya simu kama Instagram, Facebook, Pornographies, Badoo, Twitter, Tango na makundi ya WhatsApp ya kijinga nilikuwa nakaa hata miezi mitatu ila nikikumbuka tu namna ya utamu wa punyeto lazima nitapiga na kurudia ujinga ule ule wa awali.

Nilifunga kwa maombi ya siku 7 mfululizo ndipo nikaona uwezo wa Mungu, nina miaka 10 yote sasa sijapiga punyeto na wala sijawahi kuifikiria kamwe.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwani unamiaka mingapi mkuu?
 
Mleta mada bado Yuko mapumzikoni apewe muda kidogo ,wengine walishakaa 20 yrs then kilichofuata .....
 

Masturbation myths​

There are many myths about masturbation. Even though many of these have been debunked several times, they seem to resurface time and time again.

Most claims about masturbation are not backed up by science. There is often no scientific evidence to show that masturbation causes any of the adverse effects suggested. Masturbation will not cause:

  • blindness
  • hairy palms
  • impotence later in life
  • erectile dysfunction
  • penis shrinkage
  • penis curvature
  • low sperm count
  • infertility
  • mental illness
  • physical weakness
So Far so Good tuendelee kujichukulia sheria mkononi.
 
Back
Top Bottom