Nichek pm nikushauri bure kabisa ila ukipona urudishe SHUKRANI. Utilie maanani hizo capital lettersNaombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.
Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Nenda kamwone daktariNaombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.
Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Miezi miwili ataanza kuona nafuu tu...! Lakini kurudi kwenye hali yake ya kawaida itamchukua zaidi ya miaka 2Maana yake damu haifiki kwenye uume
Testosterone zimeshuka sana.
Acha Nyeto miezi 2 utarudi Hali Yako ya awali.
𝐓𝐡𝐢𝐛𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚Tafiti zinaonesha,hakuna uhusiano Kati ya kushindwa kusimamisha na masturbation.....yaani masturbation haisababishi hiyo shida unayosemelea mkuu....Tena wanaenda mbali zaidi wanasena wanandoa wanamasturbate zaidi ya wasiokuwa kwenye ndoa...
Mzee tafuta sababu nyingine ya tatizo lako
Ndyo niniNjoo nikutubu
Njoo nikutubu....Ndyo nini
Nimekutumia text pmNjoo nikutubu....
Ukishindwa kusimamisha basi uje unianzishie Uzi hapa jf
Kijiwe chako kinaitwaje10k pekee ( kwa kijiwe changu pale) na ugali au mboga inapanda kidogo
ni hiki hapaKijiwe chako kinaitwaje