Punyeto imeua uume wangu

Punyeto imeua uume wangu

Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Nichek pm nikushauri bure kabisa ila ukipona urudishe SHUKRANI. Utilie maanani hizo capital letters
 
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Nenda kamwone daktari
 
Boss kama uko mbeya au jirani na mkoa wa Mbeya. Naomba unitafute kwa Namba hii 0614340569 Ili tujue tunasaidianaje.
Nitafute Usiogope Mkuu
 
Maana yake damu haifiki kwenye uume

Testosterone zimeshuka sana.

Acha Nyeto miezi 2 utarudi Hali Yako ya awali.
Miezi miwili ataanza kuona nafuu tu...! Lakini kurudi kwenye hali yake ya kawaida itamchukua zaidi ya miaka 2
 
Tafiti zinaonesha,hakuna uhusiano Kati ya kushindwa kusimamisha na masturbation.....yaani masturbation haisababishi hiyo shida unayosemelea mkuu....Tena wanaenda mbali zaidi wanasena wanandoa wanamasturbate zaidi ya wasiokuwa kwenye ndoa...
Mzee tafuta sababu nyingine ya tatizo lako
𝐓𝐡𝐢𝐛𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚
 
Relax. Nenda kwa wanawake wapya ambao wao watatumia effort kukuamsha. Mfano nenda hawa wa massage kalipie b2b massage chagua design ya pisi uipendayo.

We unatulia tu unacheki show. Utashangaa mnara utakapotokea
 
Kijana badilisha mtindo wako wa maisha nyeto unatumia kama kisingizio lkn usikute unatumia soda au soft drinks,unakula chips,unakula sembe,unakula mapiza,unakula ngano kwa wingi,unatumia vitu vya baridi kama maji baridi sans,haufanyi mazoezi,hapo hapo usikute unakitambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom