Punyeto imeua uume wangu

Punyeto imeua uume wangu

Waone ma Dr watakusaidia kuna Dr Instagram anaitwa Dr MATTHEW naimani atakusaidia, vijana acheni nyeto ni mapepo machafu majini wabaya wanakifanyisha mapenzi kwa hisia.
 
Nakumbuka back days Nyeto iliniokoa Sana , Mkuu Mwaga Nyeto kwa kufuata protocol hutajutia don't rush
 
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Umepata ulichotafuta. Sasa unalalamika nini?
 
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Tueleze hapa hayo mengi uliyofanya kipindi Cha nyuma kuacha nyeto tupate pa kuanzia..
 
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Mwili una tabia ya kujitibu. Hujasema umri ila bado una nafasi. Muhimu usitumie kitu chochote cha kuongeza nguvu za kiume. Jipe hata mwaka. Kula lishe na ishi vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom