Punyeto imeua uume wangu

Punyeto imeua uume wangu

Jipe muda. Acha nyeto kwa muda kabla ya kukutana na mwanamke. Kata wiki 3 bila nyeto ndo ukutane na demu.
Sahihi, achana nyeto kwa muda kula vizuri, relax, furahia maisha then tafuta demu atakuja kutushikuru baadaye.
 
Tumia tangawizi
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression. Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana kula vizuri.(sio unashindia energy drink na maandazi)..fanya mazoezi Sana...pata muda wa kupumzika ...ndani ya week mbili tu Mambo yatakua swafi
 
Amos David Mathias pole Sana ndugu, nakusaidia tiba ila punguza uzinifu kijana.
👉Chukuaa nyanya chungu mbichi kisado kidogo, chemsha mpaka making yake yabadilike rangi.
👉Utakuwa unakunywa kutwa ×3, ndani ya wiki 1-2
👉Baada ya happy tumia mchanganyiko wa tangawizi, Kitunguu swaumu na asali ya nyuki wadogo kwa wiki1. Utaponaa🙏🙏🙏
👉Acha nyeto, kutazama Picha chafu, uzinifu usio faa🙏🙏
Mkuu utadababisha jamaa atumalizie mboga huko masokoni,nyanya chungu sado ni nyingi at.
 
We unapiga nyeto unauvuta ub** kama mnati unategemea uwe salama kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom