Punyeto imeua uume wangu

Punyeto imeua uume wangu

DAH kumbe hata nyetoh ina HANGOVER bhana, nimegundu hilo siku za karibuni hivi wadau
 

Attachments

  • 710640.jpg.jpeg
    710640.jpg.jpeg
    6.4 KB · Views: 8
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression.Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Wewe una matatizo yako tu, tumepiga nyeto miaka yote na mzigo unasimama hatari na tunachakata ile mbayaaa na kukojozaaa kama kawaaa šŸ˜…šŸ˜…
 
Kwahiyo tuliopoteza hizo nguvu ndiyo basi tena?
 
Amos David Mathias pole Sana ndugu, nakusaidia tiba ila punguza uzinifu kijana.
šŸ‘‰Chukuaa nyanya chungu mbichi kisado kidogo, chemsha mpaka making yake yabadilike rangi.
šŸ‘‰Utakuwa unakunywa kutwa Ɨ3, ndani ya wiki 1-2
šŸ‘‰Baada ya happy tumia mchanganyiko wa tangawizi, Kitunguu swaumu na asali ya nyuki wadogo kwa wiki1. UtaponaašŸ™šŸ™šŸ™
šŸ‘‰Acha nyeto, kutazama Picha chafu, uzinifu usio faašŸ™šŸ™
 
Mkuu Mimi asubuhi saa kumi na Moja Hadi Saa kumi na mbili hata mara 5 Naenda.Ila nimepunguza maana mgongo nao umeanza kuuma.
Pambana sana ufike angalau mara moja kwa siku. Ukiweza mara moja kwa siku itakusaidia kufika hatua ya kuacha. Ukipuuza jua kabisa hatua inayofuata ni wewe kuliwa mzigo tu. Kuna hatua chache umebakiza kabla y kuwa shoga kama kweli husimamishi.
 
Kuna mwana kasema "acha kuBlackmail nyeto"

Namuunga mkono
 
Jitahidi kuiepuka isije kutengeneza usugu. Jikomboe mapema.
 
Unachopitia ni psychological erectile dysfunction. Tatizo lako ni la kisaikolojia tu. Jipe muda. Jiweke mbali na tendo kwa angalau wiki mbili kwanza. Relax, fanya mazoezi, enjoy comedy, movies na burudani nyingine.

Ukirudi kwenye tendo ni vizuri kufanya na mtu unayempenda. Itakuongezea hisia. Jikite kwenye kuchezeana zaidi na uifanye akili yako ifurahie kuchezeana. Usiwe na haraka ya kufanya chochote. Zingatia. Utakuja kutoa ushuhuda hapa. Usifikirie kuhusu udongo wa kongo, pweza, al kasusu wala kingine chochote cha namna hiyo.
Asipokuelewa na hapa hawezi kukuelewa tena
 
Pambana sana ufike angalau mara moja kwa siku. Ukiweza mara moja kwa siku itakusaidia kufika hatua ya kuacha. Ukipuuza jua kabisa hatua inayofuata ni wewe kuliwa mzigo tu. Kuna hatua chache umebakiza kabla y kuwa shoga kama kweli husimamishi.
Huyu jamaa noma mara tano per..

At my peak nilikua nakamua mara moja au mbili kwa wiki...
Asee jamaa salute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom