Punyeto imeua uume wangu

Punyeto imeua uume wangu

😂😂😂 mkuu unaisingizia tu kula vizuri acha kushindia chips na coca we jiamini tu ukipiga na mginga mbona unasomgesha gurudumu

Tatizo umeshakalili nyeto imekuaribu hiyo hofu sasa ndio shida

Tatizo likizidi wape wenzako wakusaidie
 
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression.Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
Njoo huku Malinyi nikupeleke kwa Kalembwani, nganga wa jadi kiboko!
 
Naombeni msaada Sina haja ya kuongea Sana Ila ukweli uliopo ni kwamba mzigo hausimami kabisa pamoja na yeye kunivulia nguo zote na jitihada zote alizonifanyia Bado mzigo umelala fofofo.

Sina stress Wala depression.Kama Kuna dawa ya kutibu hili tatizo tunaomba msaada.Mengi nimefanya kipindi Cha nyuma ninajutia.
nenda hospitali huenda una magonjwa unaumwa, usisingizie goli la mkono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom