GE2025 Punde mtaanza tena kumsifia Samia!

GE2025 Punde mtaanza tena kumsifia Samia!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,075
Reaction score
136,489
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.
 
Ukiskia mtu anasema anasubiri tarehe 29 ujue ni nyumbu alieamua kuficha uoga wake kwenye tarehe ya mbali na hata ikifika hatatoa pua yake kuandamana, kwanini usubiri tarehe 29 wakati Lissu yuko gerezani anaumia kwa kesi ambayo kila mmoja wenu anaamini ni ya uongo.

Kwanini usubiri hadi tarehe 29 wakati kina Mdude, kina Soka hawajulikani walipo! Kwanini usiandamane leo?
 
Ukiskia mtu anasema anasubiri tarehe 29 ujue ni nyumbu alieamua kuficha uoga wake kwenye tarehe ya mbali na hata ikifika hatatoa pua yake kuandamana, kwanini usubiri tarehe 29 wakati Lissu yuko gerezani anaumia kwa kesi ambayo kila mmoja wenu anaamini ni ya uongo.

Kwanini usubiri hadi tarehe 29 wakati kina Mdude, kina Soka hawajulikani walipo! Kwanini usiandamane leo?
Hivi wewe msengerema unafurahishwa nini nq yanayoendelea? Acheni kuendekeza njaa,mtaja tatuliwa rinda! Jinga kabisa
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Nakubaliana na wewe kuwa asilimia 98 ya watu wa nchi hii ni wajinga na wapumbavu. Nashukuru Mungu kwenye asilimia 2 iliyobaki ya watu wasio wajinga na wapumbavu nchi hii mimi ni mmoja wapo
 
Samia anachukiwa kwa asilimia kubwa sababu ya familia yake kutapanya pesa hadharani,kupeana madaraka ,Lissu anatumika tu kama kisingizio maana wangekua wanampenda lissu wangemuunga mkono kipindi kile anaitisha maandamano kila aendapo
 
Wengi wenu sasa hivi mnamchukia Samia kwa sababu Lissu yuko jela.

Mmeshasahau kabisa kuwa hata Mbowe aliwekwa jela kwa tuhuma za ugaidi mwanzoni mwa utawala wa huyu huyu mama yenu.

Mbowe alisota jela takriban miezi nane.

Sasa, itakuwa hivi:

Lissu ataachiwa tu. Anaweza kuachiwa kabla kidogo ya uchaguzi au baada ya uchaguzi Samia akishaapishwa.

Na Lissu atapoachiwa, nyie wote mnaojifanya kumchukia sasa hivi kwa sababu hiyo moja, mtapiga makofi na vigeregere vya shukrani kwa Samia na ‘mtaanza’ kumpenda tena.

Nyie ni watu msio na principles. Na nyie ndo wajinga ambao ndo mtaji mkubwa wa CCM.

Unakasirika leo Lissu kufungwa na unasema kabisa kuwa hiyo ndo sababu yako ya kutokumkubali huyo mama, vipi hao wengine waliofungwa na/ au kutekwa na kuuwawa kabla ya Lissu?

Hayo hayakukufanya usimchukie?

Where is your red line?

CCM wanajua sana kuzichezea akili za wajinga na wapumbavu.

Tundu Lissu yuko jela kimkakati tu. Ataachiliwa muda ukifika.

Na wajinga na wapumbavu mtamshukuru Samia.

‘Ahsante mama’. ‘Mama unaupiga mwingi’.

‘Mama ni msikivu’. ‘Mama ana huruma’.

Blah blah blah.

Hapo mtasahau yote aliyoyapata Mbowe.

Mtamsahau mzee Mawazo.

Mtamsahau Mdude.

Na mtawasahau wengine wote.

Na itakuwa ni mitano tena kwa mama.

Asilimia 98 ya watu nchi hii ni wajinga na wapumbavu tu.
Wacha dharau mkuu watu siyo wajinga kama unavyowachukulia. Samia ni adui wa Tanganyika hakuna mtanganyika anayemkubali labda hao chawa wake wa mboga mboga ambao amewageuza misukule yake.
 
Wacha dharau mkuu watu siyo wajinga kama unavyowachukulia. Samia ni adui wa Tanganyika hakuna mtanganyika anayemkubali labda hao chawa wake wa mboga mboga ambao amewageuza misukule yake.
Haya subiri utaona!

Wamelitengeneza wao tatizo la Lissu na wao ndo watalitatua halafu watapewa pongezi.

Watch this space….
 
Samia anachukiwa kwa asilimia kubwa sababu ya familia yake kutapanya pesa hadharani,kupeana madaraka ,Lissu anatumika tu kama kisingizio maana wangekua wanampenda lissu wangemuunga mkono kipindi kile anaitisha maandamano kila aendapo

samia kama yeye hajafikia level ya wizi kama JK au Jiwe, kwa hiyo hio sio hoja. Samia anachukiwa sana sababu ya kuna nguvu kubwa inatumika kumchafua kutoka ndani ya CCM, Chadema na wanaharakati. wananchi wakawaida hasa wa TZ always huwa ni wakufata upepo tu. makosa anayofanya Samia ni makosa amabyo yamekuwa yakifanyika ndani ya CCM kwa miaka mingi tu, hakuna alichoanzisha.
 
mimi sijawai kupata tabu na wabongo. Sahivi kila kibaraza story zao ni kuwa Magu hakumpiga risasi Lissu alisingiziwa tu ile ilikuwa ni mision ya wanamtandao. mimi niliacha kunywa kahawa amabyo nishailipia pale msimbazi baada ya kusikia huo upuuzi nikaondoka zangu.
 
samia kama yeye hajafikia level ya wizi kama JK au Jiwe, kwa hiyo hio sio hoja. Samia anachukiwa sana sababu ya kuna nguvu kubwa inatumika kumchafua kutoka ndani ya CCM, Chadema na wanaharakati. wananchi wakawaida hasa wa TZ always huwa ni wakufata upepo tu. makosa anayofanya Samia ni makosa amabyo yamekuwa yakifanyika ndani ya CCM kwa miaka mingi tu, hakuna alichoanzisha.
SSH toka arithi kiti bila ya kujali utendaji kazi wake amepata hujuma nyingi ndani ya chama chama na hii ni mahususi kwa ajili ya uchaguzi huu wa 2025.

ni dhahiri waliokubali kishingo upande arithi kiti waliamua kuvumilia mpaka hapa 2025, na matokeo yake hiki chama haramu cha ccm kikaamua kufanya kazi kwa kulipua lipua, hata kwenye kazi chafu walikua wanalipua makusudi.

na kwa sababu hiyo mabadiliko yeyote ambayo hayatahusisha kuiondoa ccm kwa ujumla wake naona kama tunabadili aina ya mkoloni tu
 
mimi sijawai kupata tabu na wabongo. Sahivi kila kibaraza story zao ni kuwa Magu hakumpiga risasi Lissu alisingiziwa tu ile ilikuwa ni mision ya wanamtandao. mimi niliacha kunywa kahawa amabyo nishailipia pale msimbazi baada ya kusikia huo upuuzi nikaondoka zangu.
usukani kashika polepole muda huu ,, anaweka a lot of misleading arguments and the public is buying it
 
Back
Top Bottom