Punda wa Tanzania hawana mtetezi?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,694
6,396
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!

Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!

Akiwa analimishwa, anapigwa!

Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!

Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!

Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa mizigo mizito au vipigo vya binadamu "wajinga"

Kwani haiwezekani kutumia njia nyingine kumfanya afanye kazi bila kujeruhiwa?

Kwani kipigo ndiyo njia pekee ya kumfanya punda kutimiza matakwa ya mmiliki wake?

Mbona kwa nchi zingine, hata tembo wanatumiwa kwa shughuli za kibinadamu katika mazingira rafiki tofauti na inavyotendeka kwa punda wa Tanzania?

Je! Punda amemkosa mtetezi? Simba, tembo, chui, fisi, mpaka na nyoka, wote hao wanalindwa na Serikali. Punda hana maslahi kwa Serikali?

Tanzania haina watetezi wa wanyama, au utetezi wao unaishia kwa nyangumi?

Kwa nini isijitokeze taasisi itakayotoa Elimu kwa wamiliki wa punda ili wajue jinsi ya kuwatumia kwa manufaa bila kuwasababishia mateso?
 
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!

Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!

Akiwa analimishwa, anapigwa!

Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!

Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!

Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa mizigo mizito au vipigo vya binadamu "wajinga"

Kwani haiwezekani kutumia njia nyingine kumfanya afanye kazi bila kujeruhiwa?

Kwani kipigo ndiyo njia pekee ya kumfanya punda kutimiza matakwa ya mmiliki wake?

Mbona kwa nchi zingine, hata tembo wanatumiwa kwa shughuli za kibinadamu katika mazingira rafiki tofauti na inavyotendeka kwa punda wa Tanzania?

Je! Punda amemkosa mtetezi? Simba, tembo, chui, fisi, mpaka na nyoka, wote hao wanalindwa na Serikali. Punda hana maslahi kwa Serikali?

Tanzania haina watetezi wa wanyama, au utetezi wao unaishia kwa nyangumi?

Kwa nini isijitokeze taasisi itakayotoa Elimu kwa wamiliki wa punda ili wajue jinsi ya kuwatumia kwa manufaa bila kuwasababishia mateso?
Ndio kawaida ya watu weusi, sisi mambo yetu nguvu nyingi akili kidogo. Kila kitu tunataka purukushani na vyakula vyetu tunakomaa kula wanga mwingi ili tupate nguvu zaidi, hatuna haja na akili zaidi.
Huwezi kuwa na jamii ya kula ugali kila siku utegemee maajabu, labda maajabu ya kubeba magunia ya mpunga mgongoni wakati wenzetu wanafanya maajabu ya kuunda mashine za kubebea huo mpunga.

Uhayawani na unyama mwingi, ustaarabu bado sana. Kumpiga punda atembee sio tatizo sana, ila tunayo mambo ya kinyama mengi. Mfano mtu anamuona ndege anamtupia jiwe amuue na sio kwamba atakula nyama yake, mtu anaona paka njiani anampiga, anamuona mbwa anazubaa anamjeruhi. Mtu anaingia porini ndani ndani anamuona nyoka uko anahangaika, anateseka amkimbize amuue ndio ajiite shujaa wakati angeweza ignore uwepo wake asingepungukiwa kitu, sasa ulitaka nyoka aishi mbinguni au?
Furaha yetu ni kwenye kutesa wengine.
 
Ndio kawaida ya watu weusi, sisi mambo yetu nguvu nyingi akili kidogo. Kila kitu tunataka purukushani na vyakula vyetu tunakomaa kula wanga mwingi ili tupate nguvu zaidi, hatuna haja na akili zaidi.
Huwezi kuwa na jamii ya kula ugali kila siku utegemee maajabu, labda maajabu ya kubeba magunia ya mpunga mgongoni wakati wenzetu wanafanya maajabu ya kuunda mashine za kubebea huo mpunga.

Uhayawani na unyama mwingi, ustaarabu bado sana. Kumpiga punda atembee sio tatizo sana, ila tunayo mambo ya kinyama mengi. Mfano mtu anamuona ndege anamtupia jiwe amuue na sio kwamba atakula nyama yake, mtu anaona paka njiani anampiga, anamuona mbwa anazubaa anamjeruhi. Mtu anaingia porini ndani ndani anamuona nyoka uko anahangaika, anateseka amkimbize amuue ndio ajiite shujaa wakati angeweza ignore uwepo wake asingepungukiwa kitu, sasa ulitaka nyoka aishi mbinguni au?
Furaha yetu ni kwenye kutesa wengine.
Siyo wanyama tu, hata mimea pia. Kuna watu wakihamia eneo lenye miti, wasipodhibitiwa, mbona miti itapata tabu? Kwa muda mfupi tu, msitu hutoweshwa wala hutadhani kulikuwepo na miti hapo.
 
Mimi naona kabla ya kuanza kumtetea punda tuanze kumtete Mtanzania. Ukitaka kujua Mtanzania hana thamani. Mgonge binadamu Mtanzania na Simba au Twiga anayemilikuwa na Serikali ya Tanzania chini ya CCM.

Hapo utajua Simba na Twiga au hata fisi ana thamani kubwa sana kuliko Mtanzania.
 
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!

Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!

Akiwa analimishwa, anapigwa!

Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!

Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!

Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa mizigo mizito au vipigo vya binadamu "wajinga"

Kwani haiwezekani kutumia njia nyingine kumfanya afanye kazi bila kujeruhiwa?

Kwani kipigo ndiyo njia pekee ya kumfanya punda kutimiza matakwa ya mmiliki wake?

Mbona kwa nchi zingine, hata tembo wanatumiwa kwa shughuli za kibinadamu katika mazingira rafiki tofauti na inavyotendeka kwa punda wa Tanzania?

Je! Punda amemkosa mtetezi? Simba, tembo, chui, fisi, mpaka na nyoka, wote hao wanalindwa na Serikali. Punda hana maslahi kwa Serikali?

Tanzania haina watetezi wa wanyama, au utetezi wao unaishia kwa nyangumi?

Kwa nini isijitokeze taasisi itakayotoa Elimu kwa wamiliki wa punda ili wajue jinsi ya kuwatumia kwa manufaa bila kuwasababishia mateso?
ndo maana AI inasema binadam ni scammers😅,,Punda wapewe mauwa yao mbinguni kama kupo asee
 
Kiukweli mi nimekuwa nikijua hayo ndo maisha ya punda, maana nimekulia maeneo hayo uliyoyataja. Katika makuzi yangu, sikuwahi kumwona punda aliye nawiri. Ni vidonda na makovu ya mijeredi.

Nilijua hayo ndio maisha yao kutokana na kwamba maeneo hayo punda hawafugwi kwaajili ya nyama. Ila kazi tu. Kwahyo wanastahili kutumikishwa vyovyote vile. Watu wa maeneo hayo wanajali sana Ng'ombe.

Kwa mara ya kwanza nilimuona Dodoma punda aliyenona. Nilishangaa na nikwaonea huruma sana wale wa huko kwetu😪
 
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!

Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!

Akiwa analimishwa, anapigwa!

Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!

Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!

Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa mizigo mizito au vipigo vya binadamu "wajinga"

Kwani haiwezekani kutumia njia nyingine kumfanya afanye kazi bila kujeruhiwa?

Kwani kipigo ndiyo njia pekee ya kumfanya punda kutimiza matakwa ya mmiliki wake?

Mbona kwa nchi zingine, hata tembo wanatumiwa kwa shughuli za kibinadamu katika mazingira rafiki tofauti na inavyotendeka kwa punda wa Tanzania?

Je! Punda amemkosa mtetezi? Simba, tembo, chui, fisi, mpaka na nyoka, wote hao wanalindwa na Serikali. Punda hana maslahi kwa Serikali?

Tanzania haina watetezi wa wanyama, au utetezi wao unaishia kwa nyangumi?

Kwa nini isijitokeze taasisi itakayotoa Elimu kwa wamiliki wa punda ili wajue jinsi ya kuwatumia kwa manufaa bila kuwasababishia mateso?
Wewe mwenyewe ni punda
 
Kiukweli mi nimekuwa nikijua hayo ndo maisha ya punda, maana nimekulia maeneo hayo uliyoyataja. Katika makuzi yangu, sikuwahi kumwona punda aliye nawiri. Ni vidonda na makovu ya mijeredi.

Nilijua hayo ndio maisha yao kutokana na kwamba maeneo hayo punda hawafugwi kwaajili ya nyama. Ila kazi tu. Kwahyo wanastahili kutumikishwa vyovyote vile. Watu wa maeneo hayo wanajali sana Ng'ombe.

Kwa mara ya kwanza nilimuona Dodoma punda aliyenona. Nilishangaa na nikwaonea huruma sana wale wa huko kwetu😪
Na kwingineko pia wanapiga ila nahisi Geita wanaweza wakawa wanaongoza. Hivi karibuni nilimwona mmoja, mpaka nilimhurumia. Michubuko mibichi ilimjaa mgongoni na shingoni, michubuko ambayo ni dhahiri ilisababishwa na vipigo.
 
Back
Top Bottom