kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,849
- 3,065
pole sana mdau
Ndugu yangu wote tunawalilia kwa uchungu mkubwa sana nimeangalia picha ya ndugu yako umeamsha machungu yote tangu jana mi nalia tu nashindwa kukubalia kwamba watoto wapendwa kama hawa wote wameangamia ajalini inasikitisha sana lakini hakuna namna maskini tumelazimishwa kukubali kwamba hatutawaona tena binti na watoto wetu Mungu awape pumziko la milele AmenMiongoni mwa wanafunzi Walio tangulia mbele zahaki Ni my Young Sister Sabrinah
Daaah allah akujalie uwe miongoni mwa watakao iyona pepo inshaallah
Pole dhazati na kwa wanafunzi wenzio walio tutoka na Walimu wao
Daaah 6/5/2017 sitahi sahau hii siku![]()
Kifo Kifo Kifo Nisikufuru Mdogo wangu ulikuwa Nandoto zakuja kuwa Raisi Zime zima ghafla
Eemungu fariji moyo wangu moyo wangu daaah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Pole sana ndugu Mungu awafariji kipindi hiki kugumu sana.Miongoni mwa wanafunzi Walio tangulia mbele zahaki Ni my Young Sister Sabrinah
Daaah allah akujalie uwe miongoni mwa watakao iyona pepo inshaallah
Pole dhazati na kwa wanafunzi wenzio walio tutoka na Walimu wao
Daaah 6/5/2017 sitahi sahau hii siku![]()
Kifo Kifo Kifo Nisikufuru Mdogo wangu ulikuwa Nandoto zakuja kuwa Raisi Zime zima ghafla
Eemungu fariji moyo wangu moyo wangu daaah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ata katunga wewe inakuhusu nini mi kitu mingine sijui mmejabwa au vp mwenzio anahuzunika kapoteza mdogo wake we unaleta ufala wko apaNdoto za kuja kuwa Raisi??????
Ni kweli alisema ana ndoto hiyo ama umetunga tuu
😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Kazi tunayoAta katunga wewe inakuhusu nini mi kitu mingine sijui mmejabwa au vp mwenzio anahuzunika kapoteza mdogo wake we unaleta ufala wko apa
Miongoni mwa wanafunzi Walio tangulia mbele zahaki Ni my Young Sister Sabrinah
Daaah allah akujalie uwe miongoni mwa watakao iyona pepo inshaallah
Pole dhazati na kwa wanafunzi wenzio walio tutoka na Walimu wao
Daaah 6/5/2017 sitahi sahau hii siku![]()
Kifo Kifo Kifo Nisikufuru Mdogo wangu ulikuwa Nandoto zakuja kuwa Raisi Zime zima ghafla
Eemungu fariji moyo wangu moyo wangu daaah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...ni mdogo wake wa damu?Pole chidi....
Nilikua hapo jioni hii pole sana mkuu.