Pumzika kwa amani Emsley "Baba T" Smith

Apumzike Kwa Amani. Nakumbuka kila alipopita hapa Posta umachingani kwetu alikuwa lazima atusalimie. Jamaa wengi tulipenda kuongea naye ingawa alitupa sana shida kwa lugha yake hiyo "patois' . Nakumbuka 2016 alipokuwa anatimiza miaka 80, alipita na kutujulisha hilo kila mtu hakuamini kuwa kagonga 80. Actually kamzidi father wangu miaka 10.
Ila makaka wengine walikuwa wanamuona mjivuni yaani sio mtu wa ku_socialize na wengine. Kwani haiingii akilini mtu aliyeishi nchini zaidi ya miaka 30 awe hajui Kiswahili.

Ila miaka kama mitatu iliyopita alikuwa analalamika kuwa uhamiaji hawamtaki hapa nchini hivyo alikuwa amepanga kuhamia Ghana. Sijui iliisha vipi suala hilo. Ni hayo tu.
Kama ni kweli Uhamiaji walitenda hayo, basi tuna shida pahala.

Alikuwepo Rasta mmoja aliyeitwa Prof. Ken Edwards aka Joshua Mkhululi. Waliosoma UDSM miaka ya nyuma sana wanamfahamu. Huyu alikuwa Mjamaika aliyesoma Stanford University, moja ya vyuo bora zaidi vya biashara duniani. Alisaidia uundwaji wa kitivo cha biashara pale UDSM na akawa Dean wa kwanza kabisa. Baadaye alikuja kuwa Principal wa kwanza wa IAA lakini cha kustaajabisha alibaniwa uraia hadi umauti unamkuta. Alizikwa Arusha.

Tuna shida ya kuringia uraia wetu.

Ahsante sana kwa ku-share nasi unachofahamu, JAYJAY. Respect!
 
Kama ni kweli Uhamiaji walitenda hayo, basi tuna shida pahala.

Alikuwepo Rasta mmoja aliyeitwa Prof. Ken Edwards aka Joshua Mkhululi. Waliosoma UDSM miaka ya nyuma sana wanamfahamu. Huyu alikuwa Mjamaika aliyesoma Stanford University, moja ya vyuo bora zaidi vya biashara duniani. Alisaidia uundwaji wa kitivo cha biashara pale UDSM na akawa Dean wa kwanza kabisa. Baadaye alikuja kuwa Principal wa kwanza wa IAA lakini cha kustaajabisha alibaniwa uraia hadi umauti unamkuta. Alizikwa Arusha.

Tuna shida ya kuringia uraia wetu.

Ahsante sana kwa ku-share nasi unachofahamu, JAYJAY. Respect!
Hii nchi ina ujinga mwingi hua tunajiona wakipekee sana
 
Kama ni kweli Uhamiaji walitenda hayo, basi tuna shida pahala.

Alikuwepo Rasta mmoja aliyeitwa Prof. Ken Edwards aka Joshua Mkhululi. Waliosoma UDSM miaka ya nyuma sana wanamfahamu. Huyu alikuwa Mjamaika aliyesoma Stanford University, moja ya vyuo bora zaidi vya biashara duniani. Alisaidia uundwaji wa kitivo cha biashara pale UDSM na akawa Dean wa kwanza kabisa. Baadaye alikuja kuwa Principal wa kwanza wa IAA lakini cha kustaajabisha alibaniwa uraia hadi umauti unamkuta. Alizikwa Arusha.

Tuna shida ya kuringia uraia wetu.

Ahsante sana kwa ku-share nasi unachofahamu, JAYJAY. Respect!
Unaweza kusikia huyo jamaa alikua anatumika na CIA Ndio maana tukamnyima uraia😄😄,JF watu wanapenda story za uongo na kweli za usalama
 
Natoa pole kwa wafiwa, natamani kabla hajafa angemkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake, kwasababu kufa bila Kristo ni hasara ya maisha. Rastafari wanaamini Haile Selasie yule muethiopia waliyemuassasinate ndio kristo wao/masihi wao, they don't believe in the God of Ibrahim Isaac and Jacobo. Mungu atusaidie wanadamu. kama kuna rasta yeyote humu ndani, jipambanue na uchukue hatua.
Hiki kitu kama umeambiwa na watu basi bora ukaushe tu kila mmoja ababe msalaba wake. Ingawa ukipatwa na shida mara nyingi tunamkumbuka Mungu.
 
Kama ni kweli Uhamiaji walitenda hayo, basi tuna shida pahala.

Alikuwepo Rasta mmoja aliyeitwa Prof. Ken Edwards aka Joshua Mkhululi. Waliosoma UDSM miaka ya nyuma sana wanamfahamu. Huyu alikuwa Mjamaika aliyesoma Stanford University, moja ya vyuo bora zaidi vya biashara duniani. Alisaidia uundwaji wa kitivo cha biashara pale UDSM na akawa Dean wa kwanza kabisa. Baadaye alikuja kuwa Principal wa kwanza wa IAA lakini cha kustaajabisha alibaniwa uraia hadi umauti unamkuta. Alizikwa Arusha.

Tuna shida ya kuringia uraia wetu.

Ahsante sana kwa ku-share nasi unachofahamu, JAYJAY. Respect!
Honestly naweza kusema hili suala lilimnyong'onesha sana marehemu. Kwani hata alipokuwa akija maskani ukimuuliza suala hilo alikuwa anakuambia jamaa walikuwa wanampiga mpira huko wizarani mara kamuone huyu mara kamuone yule, mara wamvue kofia mara kumpekua pekua dreads zake halafu wanaofanya hivyo ni vijana wadogo tu. Actually alikuwa anaona anadhalilishwa. Naweza kusema alipoteza furaha akawa sio yule aliyekua anapenda maongezi.

Apumzike Kwa Amani. Pole nyingi pia kwa Mama T ambaye alikuwa anapita naye pia mara moja moja.
 
RiP baba T

Je alifahamu kuongea Kiswahili?
Sina hakika. Sikuwahi kumsikia akizungumza sentensi ndefu za Kiswahili. Hata hivyo, kuna jumuiya kubwa tu ya wasioizungumza hii lugha hapa Tanzania. Huenda waliomzunguka walipenda zaidi kuzungumza naye kwa Kiingereza na hivyo mawasiliano na watu wake wa karibu ikawa si shaka. Kama Kiswahili ni kigezo, basi hatuna budi kudhani ilikuwa ndiyo sababu. Lakini je, usahihi wa hiki kigezo una hoja gani za msingi? Kiingereza pia si moja ya lugha rasmi za Taifa?

Adrian Stepp, wewe ulifanya kazi ofisi moja na Baba T kwa muda mrefu. Unaweza kutia neno hapa, kaka? Lengo ni kujua kama alizungumza Kiswahili (angalau kidogo)

Heshima kwako!
 
Honestly naweza kusema hili suala lilimnyong'onesha sana marehemu. Kwani hata alipokuwa akija maskani ukimuuliza suala hilo alikuwa anakuambia jamaa walikuwa wanampiga mpira huko wizarani mara kamuone huyu mara kamuone yule, mara wamvue kofia mara kumpekua pekua dreads zake halafu wanaofanya hivyo ni vijana wadogo tu. Actually alikuwa anaona anadhalilishwa. Naweza kusema alipoteza furaha akawa sio yule aliyekua anapenda maongezi.

Apumzike Kwa Amani. Pole nyingi pia kwa Mama T ambaye alikuwa anapita naye pia mara moja moja.
Lack of exposure inatufanya kuona mihadarati kwa kila mwenye dreadlocks. Kuna mataifa ambapo wenye locks wana nyadhifa za juu serikalini na sekta binafsi. Hutoshangaa kuona Waziri au CEO wa kampuni kubwa akiwa ana "rasta" zilizosheheni.

Suala si muonekano bali uwezo wa ku-deliver, siyo?

Ahsante kwa kutushirikisha taarifa hii, JAYJAY. One Big Love, Iyah!
 
Natoa pole kwa wafiwa, natamani kabla hajafa angemkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake, kwasababu kufa bila Kristo ni hasara ya maisha. Rastafari wanaamini Haile Selasie yule muethiopia waliyemuassasinate ndio kristo wao/masihi wao, they don't believe in the God of Ibrahim Isaac and Jacobo. Mungu atusaidie wanadamu. kama kuna rasta yeyote humu ndani, jipambanue na uchukue hatua.
Mungu si wa wakristu au wafuasi wa Yesu tu, mwanadamu yeyote tayari ni mwana wa Mungu, hata Wahindu hawamwamini Yesu na makabila mbali mbali hawamwamini na sisi Waafrika tuna dini zetu za asili, kwenda kwa Mungu ni imani na kila mtu ana imani yake si kila wokovu uendane na kumkiri Yesu.
 
Miaka ile Amos "Amo Blaze" Bondo akimkaribisha Baba T kwenye kipindi baada ya yeye kumaliza session yake "give it up for Baba T.."
 
RiP baba T

Je alifahamu kuongea Kiswahili?
Mara nyingi ukimsalimia kwa Kiswahili atakujibu "salama kaka" kisha fasta anakurudisha katika kilugha chake yaani hata kama ulikuwa unajaribu kumkazia muendelee kuchonga kiswahili lazima akuchomoke. Ni wazi hakuwa comfortable na Kiswahili.
 
Back
Top Bottom