Mpendanchi-2
JF-Expert Member
- Apr 4, 2009
- 304
- 37
- Thread starter
- #21
Mod unganisha hii thread na hiyo iliyowekwa DECI ingine yaja ( PUFDEA)
Zina ujumbe muhimu sana kwa wanaofuatilia. Maana tangu tumeweka hii sijui kama kweli vyombo vya serikali vimefuatilia. Tuliwawekea hadi adress ili wafanye kazi yao kabla ya madhara hayajatokea. Sasa naona yameshaanza, kesho utasikia vilio.
Zina ujumbe muhimu sana kwa wanaofuatilia. Maana tangu tumeweka hii sijui kama kweli vyombo vya serikali vimefuatilia. Tuliwawekea hadi adress ili wafanye kazi yao kabla ya madhara hayajatokea. Sasa naona yameshaanza, kesho utasikia vilio.