Mpendanchi-2
JF-Expert Member
- Apr 4, 2009
- 304
- 37
Kuna mchezo mwingine unaitwa PUFDEA ofisi zao zipo pale Manzese Tip Top oposite na Post Bank jengo linaitwa Usangi House barabara ya Morogoro kushoto kama unakwenda Moro. Wanajitangaza kwenye vyombo vyote vya redio na TV kuwa wanasaidia kutoa mikopo isiyo na riba na kutoa misaada ya pesa za kujenga shule, na kutoa ajira, kusomesha watoto hadi Chuo kikuu n.k.
Nimefanya juhudi za kufika na kuongea nao, inaonekana kama jamii ya Upatu kwani ukifika pale unaambiwa kwanza nunua FORM ( 2000) single page, Pili utalipa kiingilio 300,000/- then kama ni mwanafunzi atasaidiwa kusoma hadi chuo kikuu. Nikauliza kama kuna watu wameanza waliniambia wanasubiri wawe wengi, that was last year 2008 by August. Nimekwenda tena last month baada ya kusikia bado wanaendelea kutangaza, wanazidi kufungua branches mikoani na kukusanya pesa za watu, but No one ameshapewa hizo pesa.
Mikoani wanawambia wananchi wanawasomesha kwa wiki mbili , then wanawapa ajira za kuelimisha wengine wajiunge, na wanawambia ili wasome hiyo course ya wiki mbili walipe ada ya 540,000/=
Miongoni mwa wamilki wa hiyo PUFDEA ni watu kutoka Uganda.
Kama kuna aliyepata kufaidika naomba atuambie hapa ili tumwulize maswali ya msingi na tushawishi wengine kujiunga.
SWALI HAPA:
Kwa nini vyombo vya dola vinaanza kufuatilia baada ya watu kuibiwa? Na kwa nini wakati mchezo unaanza tu wasifuatilie? Au kuna wakubwa wapo behind? Najua if you are an intellegent people trained to do so, You MUST be aware of what is going on katika society zetu. Na kwa kuwa tunaishi nao hawa watu ni dhahiri wanajua haya.
Nimefanya juhudi za kufika na kuongea nao, inaonekana kama jamii ya Upatu kwani ukifika pale unaambiwa kwanza nunua FORM ( 2000) single page, Pili utalipa kiingilio 300,000/- then kama ni mwanafunzi atasaidiwa kusoma hadi chuo kikuu. Nikauliza kama kuna watu wameanza waliniambia wanasubiri wawe wengi, that was last year 2008 by August. Nimekwenda tena last month baada ya kusikia bado wanaendelea kutangaza, wanazidi kufungua branches mikoani na kukusanya pesa za watu, but No one ameshapewa hizo pesa.
Mikoani wanawambia wananchi wanawasomesha kwa wiki mbili , then wanawapa ajira za kuelimisha wengine wajiunge, na wanawambia ili wasome hiyo course ya wiki mbili walipe ada ya 540,000/=
Miongoni mwa wamilki wa hiyo PUFDEA ni watu kutoka Uganda.
Kama kuna aliyepata kufaidika naomba atuambie hapa ili tumwulize maswali ya msingi na tushawishi wengine kujiunga.
SWALI HAPA:
Kwa nini vyombo vya dola vinaanza kufuatilia baada ya watu kuibiwa? Na kwa nini wakati mchezo unaanza tu wasifuatilie? Au kuna wakubwa wapo behind? Najua if you are an intellegent people trained to do so, You MUST be aware of what is going on katika society zetu. Na kwa kuwa tunaishi nao hawa watu ni dhahiri wanajua haya.