Pub bila madem wenye vaibu haina ladha?

Pub bila madem wenye vaibu haina ladha?

Pub zenye wadada wasio warembo na wenye kaul nzur.

Kama leo nimeingia baa moja hapa kitaa,wadada wanazingua sana. wadada wanuna kila saa hawana vaib na wateja kbs.
Ungependa mtoto wako wa kike naye awe akiburudisho na mleta vaibu kwa walevi wenzako?

Seran
 
Unataka vibe ya videmu yenye aibu.😎

Unachukua Pepsi unamix na value unaenda kanisani leo

Vile vidada vya kilokole vinavyotafuta faraja vita kufarijiwa mwana kwa aibu Gunia
 
Kuna mahali huwa naenda kupata supu ya mbuzi kuna walimbwende hatari. Nimegundua wateja wengi wa pale mahali ni wanaume kwasababu tu ya wale walimbwende walioko pale
 
Pub zenye wadada wasio warembo na wenye kaul nzur.

Kama leo nimeingia baa moja hapa kitaa,wadada wanazingua sana. wadada wanuna kila saa hawana vaib na wateja kbs.
Wape hela, utaona mizuka yao inavyopanda
 
Kwa hatua uliyofikia, tafuta mwanamke wako mmoja anaependa sana bata ili uwe unaenda nae viwanja, itakusaidia usije kupata magonjwa.
 
Ukiwa na pesa pic kali unaipa direction au inakupa direction nikute sehemu furani au nikukute sehenu furani penye utulivu pasipo na kelele za hizi nyimbo zenu zimekuwa mixed na dj face book kelele mwanzo mwisho ukitoka hapo zile kelele za mziki mixer na pombe asubuhi lazima kichwa kikuume lazima utoe milio kichwa kinauma
Na koo linauma, ulikuwa unaongea kwa sauti kubwa sababu ya makelele ya muziki.
 
Kwa hatua uliyofikia, tafuta mwanamke wako mmoja anaependa sana bata ili uwe unaenda nae viwanja, itakusaidia usije kupata magonjwa.
Atavumilia mwanamke wake akitongozwa?😅🤗
 
Back
Top Bottom