Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers"
Ulivyomtaja tu Mungu mara Yesu mara Roho Mtakatifu ndani ya hoja yako ikabidi niipime Hoja zako kwa Kutumia Maandiko matakatifu kwa sisi wakristo tunaita Biblia!,kuna uongo mwingi sana umeandika kumuhusu Mungu hata sijui chanzo cha huu uongo wako umetoa wapi! hapa chini ni baadhi ya maeneo uliyodanganya baada ya kulinganisha na biblia.

1."MUNGU NI NGUVU"-Huu ni uongo biblia haisemi Mungu ni Nguvu hakuna mahala katika biblia panasema Mungu ni nguvu ndani ya Biblia imeandikwa Mungu ni ROHO!(Yohana 4:24)
2."Chochote mtu atakachokiona kuhusu Mungu iwe ni kupitia Roho Mtakatifu au kupitia Malaika wake, it's just the manifestation of God's power" -Uongo,ndani ya biblia kuna watu wamemuona Mungu FACE to FACE! na sio manifastation ya Nguvu zake(Mwanzo 32:30,Isaya 6:1,)
3.
4.

naweza weka hadi namba 100 za maeneo uliyodanganya watu,wacha niishie hapo,ila Hoja yako ingependeza sana kama usingehusisha Dini ya aina yoyote ile bila kutumia hayo majina ya Mungu,Yesu na Roho mtakatifu ingekuwa ya kusisimua sana na ya kusadikika ila once ulipoanza kuhusisha imani za watu hasa sisi wakristo sijui na nguvu za kuzaliwa nazo sijui kutumia jina la yesu na mauchafu ya aina hiyo unatukosea sisi tunaoamini Biblia na mafundisho yake
weka hoja yako katika namna ambayo hutahusisha misingi ya dini zingine bila ku misquote maandiko ya dini husika
 
Ulivyomtaja tu Mungu mara Yesu mara Roho Mtakatifu ndani ya hoja yako ikabidi niipime Hoja zako kwa Kutumia Maandiko matakatifu kwa sisi wakristo tunaita Biblia!,kuna uongo mwingi sana umeandika kumuhusu Mungu hata sijui chanzo cha huu uongo wako umetoa wapi! hapa chini ni baadhi ya maeneo uliyodanganya baada ya kulinganisha na biblia.

1."MUNGU NI NGUVU"-Huu ni uongo biblia haisemi Mungu ni Nguvu hakuna mahala katika biblia panasema Mungu ni nguvu ndani ya Biblia imeandikwa Mungu ni ROHO!(Yohana 4:24)
2."Chochote mtu atakachokiona kuhusu Mungu iwe ni kupitia Roho Mtakatifu au kupitia Malaika wake, it's just the manifestation of God's power" -Uongo,ndani ya biblia kuna watu wamemuona Mungu FACE to FACE! na sio manifastation ya Nguvu zake(Mwanzo 32:30,Isaya 6:1,)
3.
4.

naweza weka hadi namba 100 za maeneo uliyodanganya watu,wacha niishie hapo,ila Hoja yako ingependeza sana kama usingehusisha Dini ya aina yoyote ile bila kutumia hayo majina ya Mungu,Yesu na Roho mtakatifu ingekuwa ya kusisimua sana na ya kusadikika ila once ulipoanza kuhusisha imani za watu hasa sisi wakristo sijui na nguvu za kuzaliwa nazo sijui kutumia jina la yesu na mauchafu ya aina hiyo unatukosea sisi tunaoamini Biblia na mafundisho yake
weka hoja yako katika namna ambayo hutahusisha misingi ya dini zingine bila ku misquote maandiko ya dini husika
Kwa vile reference yak ya Mungu ni The Holly Bible only, please end off there, Mungu ni zaidi ya Bible!, Mungu ni Omnipotent, Omnipresence, na Omniscience. Mtu asikudanganye, hakuna kiumbe chochote kimemuona Mungu face to face!, God is Power, kinachoonekana ni powers too za Mungu.
Kwa vile huu sio mjadala wa dini, nakuomba endelea kuamini kile tuu unachokijua wewe, na kila usichokijua, be free kukiita ni Uongo, maana hata kwenye Bible ya mwanzo, ile dunia iliyoumbwa na Mungu, ilielezwa ni umbo la ubapa, Galileo Galilei aliposema dunia ni duara, alihukumiwa kifo kwa kumkashifu Mungu, na kweli aliuwawa, ndipo baadae sana ukweli ukabainika dunia ni duara.

P
 
Hivi ukiamka siku ukawa unaona kila unachokifanya siku hiyo kama sio kigeni(yaani ni kama hiyo siku ulishaishi huko nyuma japo huna kumbukumbu) hiyo ni nini mkuu? Hii nayo ni precognition?!
Hapana, hiyo inatwa dejavu, ni glimpses za life before life na life after life. Precognition ni uwezo wa kutambua jambo kabla halijatokea.
P
 
OUT of topic
Nimejifunza :
SOMETIMES unaweza kujua kabisa mkeo/mumeo amechepuka lakini ukaamua kutulia na kuacha mambo yapite maisha yaendeleee.
swali" alichofanya si kizuri nitamrekebishaje sasa wakati sikumwambia kosa lake kutokana na kukosa ushahidi ila akili inaniambia ana ni cheat?
Onyesha kwa matendo kuwa unajua, Kama anakupenda kweli, ataacha.
P
 
Kwa vile reference yak ya Mungu ni The Holly Bible only, please end off there, Mungu ni zaidi ya Bible!, Mungu ni Omnipotent, Omnipresence, na Omniscience. Mtu asikudanganye, hakuna kiumbe chochote kimemuona Mungu face to face!, God is Power, kinachoonekana ni powers too za Mungu.
Kwa vile huu sio mjadala wa dini, nakuomba endelea kuamini kile tuu unachokijua wewe, na kila usichokijua, be free kukiita ni Uongo, maana hata kwenye Bible ya mwanzo, ile dunia iliyoumbwa na Mungu, ilielezwa ni umbo la ubapa, Galileo Galilei aliposema dunia ni duara, alihukumiwa kifo kwa kumkashifu Mungu, na kweli aliuwawa, ndipo baadae sana ukweli ukabainika dunia ni duara.

P
Uko wrong again! reference zoote za Kimungu unazipata kwenye maneno yake mwenyewe na sio kwingine kokote thats why nili-refer biblia,Ni kweli kabisa Mungu ni zaidi ya biblia na huwezi kumjua katika ukubwa wake just kwa kuisoma bibilia, Guess what?! naye alilijua hilo so akatufunulia mambo yakututosha tu sisi wanadamu kwa uwezo wetu wa kibinadamu yaliyofichwa Ni ya Mungu (Kumbukumbu 29:29)! sasa wewe ni nani unakuja na vitu vipya? yaani tukuamini wewe bwana Paschal Mayala na hivyo vijitabu vya kishirikina ulivyounga unga hapo tuache kuamini maneno ya Mungu mwenyewe??,ulichoandika wewe ni ushirikina tu kwa lugha ya kiingereza kama tukitafasiri kwa kiswahili fasaha,mtu anayekuwa possessed na mashetani,majini ndio anakuwa na hizo nguvu,watu wa aina hiyo hata kwetu kule Tukuyu wapo wanaitwa Manyafu ni wachawi tu akiangalia maziwa kwa hisia kali yanaganda sasa kwa kiingereza ndio umeita Psychic Power :D:D:D,sijui ana nguvu za kuzaliwa sijui vile usidanganyike na vitabu vya falsafa mzee!
Kwa hiyo huo mfano wako wa Galileo unamaanisha Biblia imedanganya?? usi qoute biblia ki Falsafa biblia ina tafsiri zake ndiomaana huelewi,ndani ya biblia kuna viumbe wengi tu ambao ni binadamu wamemuona Mungu FACE TO FACE nimekupa maaandiko bado HUTAKI!
Narudia tena Hoja yako ni nzuri sana kama ukitoa hizo reference zako za Mungu,Yesu na Roho mtakatifu ila ukihusisha hivyo vitu vitatu Hoja yako yooote inakuwa FLAWED unahusisha vitu viwili ambavyo vinapingana unataka kutuaminisha kuwa ni kitu kimoja! na hayo mafundisho yanapendwa sana na mashetani Fremasonry na wengine wa aina hizo,Eti unaweza kuwa yoyote yule ukiamua!,sijui unaweza ku unlock nguvu zilizopo ndani yako! .Hakuna cha nguvu mwilini mwako Piga kazi na Omba uzima tu hayo mafundisho yako unatudanganya
 
Pathetic liar...haya endelea kua maskini

Mkuu Mshana,
Nakubaliana na wewe, hata mimi kuna wakati niliishi India, nikasoma sana buthiism, na ku practice ayuverda na pranayaana hivo nika turn vegetarian, pia nimemsoma sana krishna, niliporudi bongo, nikajikuta nashindwa ku mix na watu wangu!, kwanza nilianza kuirudia wine, kisha kuendelea kupiga kinywaji na hatimaye kurudia nyama!.

Wakati wa practive ni kweli nilikuwa poweful, nikajikuta badala ya kuishi kwa raha kufuation high state of alert, unajikuta unaishi kwa mateso, mathalan unagundua baadhi ya watu waliokuzunguka wako kinyume na wewe!, au kuna hiyo siku wife alitoka party ya kazini, sixth sense imekuambia mwenzako "tayari" ili kukuzuga, ajajifanya yuko "high!" akihitaji huduma!. "Mzee" aligoma! lakini aliamshwa!, na kwenye "game" ilibidi ajitahidi sana na ku fake "kufika" mapema kuliko kawaida!. Kupitia mazoezi hayo, unaweza kudistinguish "kufika" kweli na "kufika" fake ili kunizunga!.
Unakuja ile genuine trust, love na happyness inayeyuka kwa kujua you are cheated!.

Hivyo info nyingine unaachana nazo for love peace of mind and tranquility ya mahusiano!.

Ndio maana ukiwachunguza matajiri wengi, utagundua they are not real happy!. Unaweza kuwajua kwa kuwatazama machoni!. Nimejiamulia bora kubaki masikini happy kuliko tajiri huzuni!. Na sometime ukifuatilia life stily za hao matajiri, licha kula dinner Kempinsky, hawa enjoy kama sisi tunakula chips vumbi!.
Wee acha tuu!.
Pasco.
 
Uko wrong again! reference zoote za Kimungu unazipata kwenye maneno yake mwenyewe na sio kwingine kokote thats why nili-refer biblia,Ni kweli kabisa Mungu ni zaidi ya biblia na huwezi kumjua katika ukubwa wake just kwa kuisoma bibilia, Guess what?! naye alilijua hilo so akatufunulia mambo yakututosha tu sisi wanadamu kwa uwezo wetu wa kibinadamu yaliyofichwa Ni ya Mungu (Kumbukumbu 29:29)! sasa wewe ni nani unakuja na vitu vipya? yaani tukuamini wewe bwana Paschal Mayala na hivyo vijitabu vya kishirikina ulivyounga unga hapo tuache kuamini maneno ya Mungu mwenyewe??,ulichoandika wewe ni ushirikina tu kwa lugha ya kiingereza kama tukitafasiri kwa kiswahili fasaha,mtu anayekuwa possessed na mashetani,majini ndio anakuwa na hizo nguvu,watu wa aina hiyo hata kwetu kule Tukuyu wapo wanaitwa Manyafu ni wachawi tu akiangalia maziwa kwa hisia kali yanaganda sasa kwa kiingereza ndio umeita Psychic Power :D:D:D,sijui ana nguvu za kuzaliwa sijui vile usidanganyike na vitabu vya falsafa mzee!
Kwa hiyo huo mfano wako wa Galileo unamaanisha Biblia imedanganya?? usi qoute biblia ki Falsafa biblia ina tafsiri zake ndiomaana huelewi,ndani ya biblia kuna viumbe wengi tu ambao ni binadamu wamemuona Mungu FACE TO FACE nimekupa maaandiko bado HUTAKI!
Narudia tena Hoja yako ni nzuri sana kama ukitoa hizo reference zako za Mungu,Yesu na Roho mtakatifu ila ukihusisha hivyo vitu vitatu Hoja yako yooote inakuwa FLAWED unahusisha vitu viwili ambavyo vinapingana unataka kutuaminisha kuwa ni kitu kimoja! na hayo mafundisho yanapendwa sana na mashetani Fremasonry na wengine wa aina hizo,Eti unaweza kuwa yoyote yule ukiamua!,sijui unaweza ku unlock nguvu zilizopo ndani yako! .Hakuna cha nguvu mwilini mwako Piga kazi na Omba uzima tu hayo mafundisho yako unatudanganya
Mkuu Makoshi, Mungu aliumba mwanadamu kwa mfano wake kwa kufinyanga udongo uliofanya physical body ambayo ni mavumbi na mavumbini utarudi. Kisha akaupulizia huo mbili wa udongo pumzi ya uhai, life force, mwili ukapata uhai, roho, hii roho ni Gods spirit, ina nguvu za Uungu ndani yake, it is eternal na haifi.

Mtu anapokufa, kinachokufa ni ule mwili tuu nyama ambao unazikwa unaoza na kurudi mavumbini. Kufa ni kitendo cha roho kuacha mwili, kukata roho, kwa vile roho haifi inaendelea kuishi kwenye ulimwengu wa roho.

Hii roho kwa vile ina nguvu za Uungu ndani yake, it is responsible for everything in life. Wale wahubiri wanaoponya kwa miujiza, wanachofanya ni opening up powers doors zako na kinachokuponya ni your own powers zilizomo ndani yako ambazo kila binadamu amepewa ile siku ameumbwa.

Ile siku ya mwisho ya ufufuko wa miili na uzima wa milele, kinachofufuliwa sio ile miili ya mavumbini bali the spiritual bodies zenye eternal life.

Kwenye mambo ya spiritualism, Christianity ni dini ya juzi tuu, Hinduism, na Buddhism (Eastern Sciences), zilitangulia sana ndio maana they believe in life after life na life before life yakiwemo mambo ya reincarnation, hivyo ukijilimit kwenye The Holy Bible alone or Quran Tukufu, you will miss the point ya bandiko hili.

Toka mwanzo nimesisitiza read this thread with open mind but stick to what you believe.

Ni kweli kwenye reference nimeweka sacred writings za kila kitu ukiwemo kila aina za uchawi for information purposes na elightghment na nikasisitiza ukimjua Mungu, shetani hawezi kukudanganya, na nikasema humu shetani ndio the second being mwenye powers next to God, everything God can do, satan can do, except creation Hivyo God is the Creator and devil is the destroyer. Satan, the devil is the best impostor and most of the times he disguised himself as God, hivyo kuna dini nyingi sana humu duniani wanajidhania wanamwabudu Mungu Baba, kumbe actually wanamwabudu shetani bila wao kujijua, hata Bwana wetu Yesu Kristo alituhusia " sio wote wanaoita Bwana Bwana ni wangu, watakuja watu watafanya ishara na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu", alipoulizwa utawatambuaje, Yesu alijibu " Utawatambua kwa matendo yao".

Hivyo nakuomba sana usiite watu humu ni wakongo, unless you're very sure wewe unajitambua umesimama wapi usijekujikuta utamtumikia shetani ukiamini ni Mungu.
P
 
"Kwenye mambo ya spiritualism, Christianity ni dini ya juzi tuu, Hinduism, na Buddhism (Eastern Sciences), zilitangulia sana ndio maana they believe in life after life na life before life yakiwemo mambo ya reincarnation, hivyo ukijilimit kwenye The Holy Bible alone or Quran Tukufu, you will miss the point ya bandiko hili."
Hapa ndio tunatofautiana Kaka Mayala "How did you come to the above conclusion Brother'?? hakuna dini ndani ya bible inaitwa christianity ni watu tu waliamua kusema kuna hiyo dini inaitwa christianity hata ndani ya biblia Mungu hajasema tuwe wakristo tangia enzi za akina Mussa imeandikwa tuwe WATAKATIFU thats all so unapolinganisha the so called christianity na hizo aina zingine za dini ndio unapata other sources za kufanya reference sababu umesema zilikuwepo kabla kwa tafasiri kuwa ukristo ulianza baada ya Yesu,ila hukujiuliza akina Adam,Henoko na Mussa walikuwa dini gani na kama kulikuwa na dini nyingine kabla yao
Kurahisisha tu kama umeamua kuchanganya haya maswala ya kiroho na dini/elimu mbalimbali hata kama zinapingana am out,ila kwa sisi tunaofuata maandiko matakatifu tupo limited kwenye kitabu kimoja tu na si vingine sababu kimejitosheleza
 
Hapa ndio tunatofautiana Kaka Mayala "How did you come to the above conclusion Brother'?? hakuna dini ndani ya bible inaitwa christianity ni watu tu waliamua kusema kuna hiyo dini inaitwa christianity hata ndani ya biblia Mungu hajasema tuwe wakristo tangia enzi za akina Mussa imeandikwa tuwe WATAKATIFU thats all so unapolinganisha the so called christianity na hizo aina zingine za dini ndio unapata other sources za kufanya reference sababu umesema zilikuwepo kabla kwa tafasiri kuwa ukristo ulianza baada ya Yesu,ila hukujiuliza akina Adam,Henoko na Mussa walikuwa dini gani na kama kulikuwa na dini nyingine kabla yao
Kurahisisha tu kama umeamua kuchanganya haya maswala ya kiroho na dini/elimu mbalimbali hata kama zinapingana am out,ila kwa sisi tunaofuata maandiko matakatifu tupo limited kwenye kitabu kimoja tu na si vingine sababu kimejitosheleza
Amani iwe nawe.
P.
 
Kama
Mkuu mayenga, mimi nina
Telepathy
- Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimsimikia binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.

Ila mpaka leo, kuna mtu nikimfikiria tuu, anatoke, au nafika mahali na kuambiwa, una maisha marefu, sasa hivi tulikuwa tunakuzungumza!. Au uko mahali unatembea, njia nyembamba, unataka kupishana na mtu, ukienda upende ule naye anakuja huko, ukirudi huku naye anarudi huku hadi mnataka kugongana unaamua kusimama mpishane!.

Pia nina Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen. kidogo. Kuna mambo huwa naota yanakuja kutokea!. Nina kitu kinaitwa "intuition!" yaani kabla sijafanya jambo, unapata hisia this is not gona work!, au unakutana na mtu anakuzimikia sana for real, wewe unaona its not for real!. Au ndani ya ndoa, ikitokea wife ame cheat, utajua!, huwezi kuuliza kwa sababu huna ushahidi, ili mtu akicheat, ujue atacheat tena!, nilianza kufanya kazi ya kukusanya ushahidi nikathibitisha!, na nilisamehe kwa kujifikiria ni mara ngapi nilipitia wake za watu!, wengine wakiwa ni wake wa marafiki zangu kabisa!.

Pia naweza kufanya Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things kwa kiwango kidogo!, nikikutana na mtu for the first time, I can tell huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya!. Hii nimeiwea kwa practice kutoka kwenye net.
Retrocognition - Perception of past events imeishanitokea mara kadhaa, naweza kufika mahali for the first time, na kujiona I have seen this place before ila sikumbuki ni wapi!, au nimekutana na mtu for the first time, na kujiona I've seen him before sijui ni wapi!, hii inaitwa De-ja-vu kwa Kifaransa!.

Nimesoma sana vitabu vingi vya mambo haya, hivyo naangalia uwezekano wa kufungua more evenues kwa meditation ila kwa njia ya natural sio kupitia secret societies kama Freemasons, Illuminati au Rosecrusians. Hawa jamaa ndio ma master wa haya mambo ila wanafanya siri!. Matajiri wengi wanatumia powers hizi kupata utajiri iwe ni kwa njia za sala kupitia makanisa ya wokovu, waganga wa kienyeji, kujiunga na vikundi kama freemasons etc, all and all its works of powers!.
Pasco.
Yaaani kama mm u kifungua mm mwana chama wako
 
Kufuatia mjadala mkali kuwa ninafundisha mafundisho yaendayo kinyume cha mafundisho ya Mungu kwenye Biblia, naomba niwawekee vifungu mbalimbali vya Bibilia vinavyozungumzia nguvu hizi. Kwa pembeni ni Links, take time kujisomea ili usipotee!
Biblical Proof of Psychic Gifts
spacer.gif
spacer.gif
spacer.gif
spacer.gif
HOME
HopeFromBeyond Forum Link
Guest Book - View And Sign
HopeFromBeyond Forum Membership Rules
About "Lilly"
ADHD and the Spirit
The Afterlife
Angels and the Angelic Realm
Angels: Calling Upon Angels
Animal Spirit Evolutionary Process
The Awakening
Astral Projection-Astral Travel
Beginning Psychics Orientation
Beginning Psychic Training
Biblical Proof of Psychic Gifts
Bi-Polar And Being Psychic
Book List
Categories of Spiritual Growth
Channeling
Chakras
Children In Spirit
Comforting Bible Verses
Commercial Psychics Listing Extra Specialties
Commonly Asked Q's and A's
Depression And Your Spirit
Dimensions of the Spirit Realm
Disclaimer
Membership Rules
Duality Existence
Empaths
Facts About The Ouija Board
Four Clairs: Clairvoyance, Clairsentience, Clairaudience, Claircognizance
Ghosts Versus Spirits
Grief In The Spirit Realm
Guidance Guild
Guideline For Reading Family & Friends
Guidelines For Analyzing Predictions
House Clearing Technique
Levitation
Lightworkers
Links Page
Meditation and Education Audio CD List
Meditation Links
Mediumship Ethics
Narcotics And Spirit Attacks
Omens
Physical Mediumship
Prayers For Protection
Psychic Attacks - Psychic Draining
Psychic Blockage Problems
Psychic Energy Shielding
Psychic or Schizophrenic
Psychic View of Prayer
Purgatory
Reincarnation, Karma & Akashic Record
Reptilians
Restless Leg Syndrome
Self Healing
Sensing Your Spirit Self Technique
Shamanism & Paganism Versus Christ Consciousness Energy
Signs
Spirit Attachments
Spirit Attack Defense Method
Spirit Attacks During Dreams
Spirit Communication
Spirit Guides
Spirit Guide Testing
Spirit Guide Problems
Spirit Orbs
Spirit Writing - Automatic Writing
Spiritual Balance In Life
Suicide: What Happens After
Tarot Cards, Pendulums, Crystal Ball Scrying
Third Eye Opening Technique
Totems
Travelers
Why Spirits Haunt
spacer.gif
messengerspic.jpg
Biblical Proof Of Psychic Gifts

So often people have asked me about where in the Bible are there verses proving and validating the psychic ability. Often people either need this proof positive themselves or have had others question them about it. Understand that there were so many references to psychic and Spiritual gifts, that I went through and picked out the most descriptive ones that best depicted the meaning, using the Strong's Exhaustive Concordance of the Bible. If you have access to this wonderful book by James Strong, you will be able to see just how many actual verses contain proof of psychic abilities as true Gifts of the Holy Spirit.

I thought what I would do here is to list the Biblical verse under specific topics. All bible verses are from the Revised Standard Version of the Bible:

Seer:
One to whom divine revelations are made in visions. (The Oxford Universal Dictionary)
Bible Verses: 1 Samuel, 9:9-10 Formerly in Israel, when a man went to inquire of God, he said, "Come, let us go to the seer; for he who is now called a prophet was formerly called a seer. And Saul said to his servant, "Well said; come, let us go." So they went to the city where the man of God was.

2 Kings 17:13 Yet the Lord warned Israel and Judah by every prophet and every seer, saying "Turn from your evil ways and keep my commandments and my statutes, in accordance with all the law which I commanded your fathers, and which I sent to you by my servants, the prophets.

Laying on of Hands (Reiki):

This is the ancient ability God gave those who are devoted to Him with the ability to transfer Cosmic Wholeness of Spirit incased in God's Own Hands and then allowed to flow down into the body of the "conduit" the healer who thereby places out his or her hands to direct the current of Blessed Energy into the body of the recipient. Healing of the body and the spirit are displayed in these passages:

Mark 5:21-24 - And when Jesus had crossed again in the boat to the other side, a great crowd gathered about him; and he was beside the sea. Then came one of the rulers of the synagogue, Jairus by name; and seeing him, he fell at his feet, and besought him, saying "My little daughter is at the point of death. Come and lay your hands on her, so that she may be made well, and live. And he went with him.

Acts 4:29 -And now Lord, look upon their threats, and grant to they servants to speak thy word with all boldness, while thou stretchest out thy hand to heal, and signs and wonders are performed through the name of thy holy servant, Jesus. And when they had prayed, the place in which they were gathered together was shaken; and they were all filled with the Holy Spirit and spoke the word of God with boldness.

Acts 8:18-19 - Now when the apostles at Jerusalem heard that Samaria had received the word of God, they sent to them Peter and John who came down --and prayed for them that they might receive the Holy Spirit; for it had not yet fallen on any of them, but they had only been baptized in the name of the Lord Jesus. Then they laid their hands on them and they received the Holy Spirit

Acts 28:8 - It happened that the father of Publius lay sick with fever and dysentery; and Paul visited him and prayed, and putting his hands upon him healed him.

1st Timothy 4:14 - Do not neglect the gift you have, which was given you by prophetic utterance when the elders laid their hands upon you.


Gifts of the Spirit: I Corinthians Chapter 12:1-11

St. Paul discussed at length much about gifts of the spirit:

"Now concerning spiritual gifts, brethren, I do not want you to be uninformed. You know that when you were heathen, you were led astray to dumb idols, however, you may have been moved. Therefore I want you to understand that no one speaking by the Spirit of God ever says "Jesus be cursed!" and no one can say "Jesus is Lord" except by the Holy Spirit . Now there are varieties of gifts, but the same Spirit, and there are varieties of service, but the same Lord; and there are varieties of working, but it is the same God who inspires them all in every one. To each is given the manifestation of the Spirit for the common good. To one is given through the Spirit the utterance of wisdom, and to another the utterance of knowledge according to the same Spirit, to another faith by the same Spirit, to another gifts of healing by the one Spirit, to another the working of miracles, to another prophecy, to another the ability to distinguish between spirits, to another various kinds of tongues, to another the interpretation of tongues. All these are inspired by one and the same Spirit, who apportions to each one individually as he wills."

I Corin. 12:27-30 - Now you are the body of Christ and individually members of it. And God has appointed in the church first apostles, second prophets, third teachers, then workers of miracles, then healers, helpers, administrators, speakers in various kinds of tongues. Are all apostles? Are all teachers? Do all work miracles? Do all possess gifts of healing? Do all speak with tongues? Do all interpret? But earnestly desire the higher gifts. And I will show you a still more excellent way.

Heb. 2:3-4 - It was declared at first by the Lord, and it was attested to us by those who heard him, while God also bore witness by signs and wonders and various miracles and by gifts of the Holy Spirit distributed according to his own will.

Divine Guidance, Channeling, Prophesying, and Speaking in Tongues:

Genesis 44:5 - Is it not from this that my lord drinks, and by this that he divines?

Genesis 44:14 When Judah and his brothers came to Joseph's house, he was still there; and they fell before him to the ground. Joseph said to them, "What deed is this that you have done? Do you not know that a man such as I can indeed divine?"

Exodus 7:1 - "And the Lord said to Moses, "See, I make you as God to Pharaoh; and Aaron your brother shall be your prophet. You shall speak all that I command you; and Aaron your brother shall tell Pharaoh to let the people of Israel go out of his land".

Isaiah 50:4 The Lord God has given me the tongue of those who are taught, that I may know how to sustain with a word him that is weary. Morning by morning he wakens, he wakens my ear to hear as those who are taught.

Matthew 10:19 "When they deliver you up, do not be anxious how you are to speak or what you are to say; for what you are to say will be given you in that hour, for it will not be you who speak, but the Spirit of your Father speaking through you."

Mark 13:11 "And when they bring you to trial and deliver you up, do not be anxious beforehand what you are to say; but say whatever is given you in that hour, for it is not you who speak, but the Holy Spirit".

So much is written in 1 Corinthians Chapters 12 through 14 about Gifts of the Spirit that I would recommend reading it fully. Here is a sampling of some of the passages about these gifts in particular:

1 Corinthians Chapter 12:10 To another the working of miracles; to another prophecy, to another the ability to distinguish between spirits, to another various kinds of tongues, to another the interpretation of tongues. All these are inspired by one and the same Spirit, who apportions to each one individually as he wills.

1 Corinthians 13:1 - If I speak in the tongues of men and of angels, but have not love, I am a noisy gong or a clanging cymbal. And if I have prophetic powers, and understand all mysteries, and all knowledge, and if I have all faith, so as to remove mountains, but have not love, I am nothing.

1 Corinthians Chapter 14:1 - Make love your aim, and earnestly desire the spiritual gifts, especially that you may prophesy. For one who speaks in a tongue speaks not to men, but to God; for no one understands him, but he utters mysteries in the Spirit. On the other hand, he who prophesies speaks to men for their upbuilding and encouragement and consolation. He who speaks in a tongue edifies himself, but he who prophesies edifies the church. Now I want you all to speak in tongues, but even more to prophesy. He who prophesies is greater than he who speaks in tongues, unless some one interprets, so that the church may be edified. Therefore, he who speaks in a tongue should pray for the power to interpret. For if I pray in a tongue, my spirit prays but my mind is unfruitful. What am I to do? I will pray with the spirit and I will pray wit the mind also; I will sing with the spirit and I will sing with the mind also.
1 Corinthians Chapter 14:37 - If any one thinks that he is a prophet or spiritual, he should acknowledge that what I am writing to you is a command of the Lord. If anyone does not recognize this, he is not recognized. So my brethren, earnestly desire to prophesy, and do not forbid speaking in tongues, but all things should be done decently and in order.

The Book of Revelation to John which is one entire prophecy. In this book it starts out with the first chapter saying in Verse 3 "Blessed is he who reads aloud the words of the prophecy, and blessed are those who hear, and who keep what is written therein; for the time is near."

Visions:

Genesis 15:1 - After these things the word of the Lord came to Abram in a vision, "Fear not, Abram, I am your shield; your reward shall be very great."

2 Chronicles 9:29 - Now the rest of the acts of Solomon, from first to last, are they not written in the history of Nathan the prophet, and in the prophecy of Ahijah, the Shilonite, and in the visions of Iddo the seer concerning Jeroboam the son of Nebat?

Joel 2:28 - And it shall come to pass afterward, that I will pour out my spirit on all flesh; your sons and your daughters shall prophesy; your old men shall dream dreams, and your young men shall see visions.

Habakkuk 2:2-3 - And the Lord answered me; "Write the vision; make it plain upon tablets, so he may run who reads it. For still the vision awaits its time; it hastens to the end--it will not lie.

Daniel 8:26 - The vision of the evenings and the mornings which has been told is true; but seal up the vision, for it pertains to many days hence."

Luke 24:22 - Moreover, some women of our company amazed us. They were at the tomb early in the morning and did not find his body; and they came back saying that they had even seen a vision of angels, who said that he was alive.

Acts 11:4 - But Peter began and explained to them in order: "I was in the city of Joppa praying; and in a trance I saw a vision, something descending, like a great sheet, let down from heaven by four corners; and it came down to me. Looking at it closely I observed animals and beasts of prey and reptiles and birds of the air.

Acts 16:9 - And a vision appeared to Paul in the night: a man of Macedonia was standing beseeching him and saying, "Come over to Macedonia and help us." And when he had seen the vision, immediately we sought to go on into Macedonia, concluding that God had called us to preach the gospel to them. Astral Travel:
Paul was recounting his out-of-body experience as he referred to himself as "this man".
2 Corinthians 12:1 - I must boast; there is nothing to be gained by it, but I will go on to visions and revelations of the Lord. I know a man in Christ who fourteen years ago was caught up to the third heaven--whether in the body or out of the body I do not know, God knows. And I know that this man was caught up into Paradise--whether in the body or out of the body, I do not know, God knows--and he heard things that cannot be told, which man may not utter. On behalf of this man I will boast, but on my own behalf I will not boast, except of my weaknesses.

The Book of Revelation recounts John being taken up in Spirit. In this whole entire book there are so many references to this happening throughout his experience, that it would be best to recommend reading the whole book with this thought in mind. In the first chapter it states in Verse 10 "I was in the Spirit on the Lord's day, and I heard behind me a loud voice like a trumpet saying, "Write what you see in a book and send it to the seven churches..."

Rev. 4:2 - At once I was in the Spirit, and lo, a throne stood in heaven, with one seated on the throne! And he who sat there appeared like jasper and carnelian, and round the throne was a rainbow that looked like an emerald.

Rev. 17:3 - And he carried me away in the Spirit into a wilderness, and I saw a woman sitting on a scarlet beast which was full of blasphemous names, and it had seven heads and ten horns that carries her.

Rev. 21:10 - And in the Spirit he carried me away to a great, high mountain, and showed me the holy city Jerusalem coming down out of heaven from God, having the glory of God, its radiance like a most rare jewel, like a jasper, clear as crystal.

Akashic Record - Book of Life:

Ps. 69:28 - Let them be erased from the book of life
and not be recorded with the righteous.

Php. 4:3 - Yes, I also ask you, true partner, to help these women who have contended for the gospel at my side, along with Clement and the rest of my co-workers whose names are in the book of life.


Rev. 3:5 He that overcometh, the same shall be clothed in white rainment; and I will not blot out his name out of the book of life, but I will confess his name before my Father, and before his angels.

Rev. 13:8 And all that dwell upon the earth shall worship him, whose names are not written in the book of life of the Lamb slain from the foundation of the world.

Rev. 17:8 - The beast that you saw was, and is not, and is about to come up from the abyss and go to destruction. Those who live on the earth whose names were not written in the book of life from the foundation of the world will be astounded when they see the beast that was, and is not, and will be present again.

Rev. 20:12 And I saw the dead, small and great, stand before God; and the books were opened; and another book was opened which is the book of life; and the dead were judged out of those things which were written in the books, according to their works.

Rev. 20:14-15 Then Death and Hades were thrown into the lake of fire. This is the second death, the lake of fire; and if any one's name was not found written in the book of life, he was thrown into the lake of fire.

Rev. 21:27 - Nothing profane will ever enter it: no one who does what is vile or false, but only those written in the Lamb's book of life.

Rev. 22:19 - And if anyone takes away from the words of this prophetic book, God will take away his share of the tree of life and the holy city, written in this book.

Clairaudience - Hearing of God's voice: Divine Guidance:

There are literally so many verses in the bible about the voice of the Lord being heard that I went and picked out just a sampling. If any of you have a Strong's Concordance and see the listings under "voice" and "voices" you will see what I mean.
Deuteronomy 5:27 Go near, and hear all that the Lord our God will say; and speak to us all that the Lord our God will speak to you; and we will hear and do it.

Deuteronomy 26:17 You have declared this day concerning the Lord that he is your God, and that you will walk in his ways, and keep his statutes and his commandments and his ordinances, and will obey his voice.

Luke 21:14 - Settle it therefore in your minds not to meditate beforehand how to answer; for I will give you a mouth and wisdom, which none of your adversaries will be able to withstand or contradict.

Acts 9 Saul hearing Jesus' voice: V. 3 - Now as he journeyed he approached Damascus and suddenly a light from heaven flashed about him. And he fell to the ground and hear a voice saying to him, "Saul, Saul, why do you persecute me?" And he said, who are you, Lord?" And he said, "I am Jesus, whom you are persecuting; but rise and enter the city, and you will be told what you are to do." The men who were traveling with him stood speechless, hearing the voice but seeing no one.

Acts 10:15 And the voice came to him again a second time, "What God has cleansed, you must not call common."

Acts 26:14 - And when we had all fallen to the ground, I heard a voice saying to me in the Hebrew language, "Saul, Saul, why do you persecute me? It hurts you to kick against the goads." And I said, "Who are you, Lord?" And the Lord said, 'I am Jesus whom you are persecuting. But rise and stand upon your feet; for I have appeared to you for this purpose, to appoint you to serve and bear witness to the things in which you have seen me and to those in which I will appear to you, delivering you from the people and from the Gentiles--to whom I send you to open their eyes, that they may turn from darkness to light and from the power of Satan to God, that they may receive forgiveness of sins and a place among those who are sanctified by faith in me."

Rev. 21:3 And I heard a great voice from the throne saying, "Behold, the dwelling of God is with men. He will dwell with them, and they shall be his people, and God himself will be with them; he will wipe away every tear from their eyes, and death shall be no more, neither shall there be mourning nor crying nor pain any more, for the former things have passed away."

Meditation:

Gen. 24:63 - And Isaac went out to meditate in the field in the evening...

Joshua 1:8 This book of the law shall not depart out of your mouth, but you shall meditate on it day and night, that you may be careful to do according to all that is written in it; for then you shall make your way prosperous , and then you shall have good success.

Psalms 1:2...but his delight is in the law of the Lord, and on his law he meditates day and night.

Psalms 63:6-8 - ...when I think of thee upon my bed, and meditate on thee in the watches of the night; for thou hast been my help, and in the shadow of thy wings I sing for joy. My soul clings to thee; thy right hand upholds me.

Psalms 77:12 - I will meditate on all thy work, and muse on thy mighty deeds.

Psalms 119:15 - I will meditate on thy precepts, and fix my eyes on they ways.

Ps 119:23-24 - Even though princes sit plotting against me, thy servant will meditate on thy statutes. Thy testimonies are my delight, they are my counselors.

Ps. 119-48 - I will revere thy commandments, which I love, and I will meditate on thy statues.

Ps. 148:5 - I remember the days of old, I meditate on all that thou hast done;...

1st Tim 4:15 - Meditate upon these things; give thyself wholly to them; that thy profiting may appear to all.


Ps 104:34 - May my meditation be pleasing to him, for I rejoice in the Lord.

Ps 119:97 - Oh, how I love thy law! It is my meditation all the day.

Gen. 24:63 - And Isaac went out to meditate in the field in the evening...

Joshua 1:8 This book of the law shall not depart out of your mouth, but you shall meditate on it day and night, that you may be careful to do according to all that is written in it; for then you shall make your way prosperous , and then you shall have good success.

Ps. 1:2...but his delight is in the law of the Lord, and on his law he meditates day and night.

Ps. 19:14 - Let the words of my mouth and the meditation of my heart be acceptable in thy sight, O Lord, my rock and my redeemer.

Ps 49:3 - My mouth shall speak wisdom; the meditation of my heart shall be understanding.

Ps. 63:6-8 - ...when I think of thee upon my bed, and meditate on thee in the watches of the night; for thou hast been my help, and in the shadow of thy wings I sing for joy. My soul clings to thee; thy right hand upholds me.

Ps. 77:12 - I will meditate on all thy work, and muse on thy mighty deeds.

Ps 104:34 - May my meditation be pleasing to him, for I rejoice in the Lord.

Ps.119:15 - I will meditate on thy precepts, and fix my eyes on their ways.

Ps 119:97 - Oh, how I love thy law! It is my meditation all the day.

Ps. 119:23-24 - Even though princes sit plotting against me, thy servant will meditate on thy statutes. Thy testimonies are my delight, they are my counselors.

Ps. 119-48 - I will revere thy commandments, which I love, and I will meditate on thy statues.

Ps. 148:5 - I remember the days of old, I meditate on all that thou hast done;...

1st Tim 4:15 - Meditate upon these things; give thyself wholly to them; that thy profiting may appear to all.


hapo naona umeeleweka asee
 
Mkuu mayenga, mimi nina
Telepathy
- Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimsimikia binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.

Ila mpaka leo, kuna mtu nikimfikiria tuu, anatoke, au nafika mahali na kuambiwa, una maisha marefu, sasa hivi tulikuwa tunakuzungumza!. Au uko mahali unatembea, njia nyembamba, unataka kupishana na mtu, ukienda upende ule naye anakuja huko, ukirudi huku naye anarudi huku hadi mnataka kugongana unaamua kusimama mpishane!.

Pia nina Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen. kidogo. Kuna mambo huwa naota yanakuja kutokea!. Nina kitu kinaitwa "intuition!" yaani kabla sijafanya jambo, unapata hisia this is not gona work!, au unakutana na mtu anakuzimikia sana for real, wewe unaona its not for real!. Au ndani ya ndoa, ikitokea wife ame cheat, utajua!, huwezi kuuliza kwa sababu huna ushahidi, ili mtu akicheat, ujue atacheat tena!, nilianza kufanya kazi ya kukusanya ushahidi nikathibitisha!, na nilisamehe kwa kujifikiria ni mara ngapi nilipitia wake za watu!, wengine wakiwa ni wake wa marafiki zangu kabisa!.

Pia naweza kufanya Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things kwa kiwango kidogo!, nikikutana na mtu for the first time, I can tell huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya!. Hii nimeiwea kwa practice kutoka kwenye net.
Retrocognition - Perception of past events imeishanitokea mara kadhaa, naweza kufika mahali for the first time, na kujiona I have seen this place before ila sikumbuki ni wapi!, au nimekutana na mtu for the first time, na kujiona I've seen him before sijui ni wapi!, hii inaitwa De-ja-vu kwa Kifaransa!.

Nimesoma sana vitabu vingi vya mambo haya, hivyo naangalia uwezekano wa kufungua more evenues kwa meditation ila kwa njia ya natural sio kupitia secret societies kama Freemasons, Illuminati au Rosecrusians. Hawa jamaa ndio ma master wa haya mambo ila wanafanya siri!. Matajiri wengi wanatumia powers hizi kupata utajiri iwe ni kwa njia za sala kupitia makanisa ya wokovu, waganga wa kienyeji, kujiunga na vikundi kama freemasons etc, all and all its works of powers!.
Pasco.
Kaka nnazo baadhi ya hizo power nafanya kuzikataa kwanguvu kupitia imani yangu ila waganga,wachawi, na viongozi wa dini wameniambia na hua wanataka kushirikiana na mimi ila binafsi sina muda nao.....and they told me i could be great and famous person duniani but i don't care i don't know why!
But i i had mate with mysterious being usiku kwenye uwanja wa mpira akaniambia nimshikilie Yesu nisimuache at that time niko meditation na mbinguni while am walking.
Sijasomea haya mambo ila yapo ndani yangu sema sioni umuhimu wake... Iabda unisaidie
 
Kaka nnazo baadhi ya hizo power nafanya kuzikataa kwanguvu kupitia imani yangu ila waganga,wachawi, na viongozi wa dini wameniambia na hua wanataka kushirikiana na mimi ila binafsi sina muda nao.....and they told me i could be great and famous person duniani but i don't care i don't know why!
But i i had mate with mysterious being usiku kwenye uwanja wa mpira akaniambia nimshikilie Yesu nisimuache at that time niko meditation na mbinguni while am walking.
Sijasomea haya mambo ila yapo ndani yangu sema sioni umuhimu wake... Iabda unisaidie
Sawa kabisa na wakati ukimshikikia Yesu Angelia na hizo picha zitasaidia kubadili au kuongeza nguvu kwenye Imani yako
 

Attachments

  • 74410773-1B18-43B5-B533-9B3377C4EA9A.png
    74410773-1B18-43B5-B533-9B3377C4EA9A.png
    145.2 KB · Views: 33
  • B169CCF7-A80C-43D8-B21D-0F22A3A1AB7C.png
    B169CCF7-A80C-43D8-B21D-0F22A3A1AB7C.png
    264.2 KB · Views: 32
  • AC4CF2AE-9F32-49B2-80B7-E23CA21F1412.png
    AC4CF2AE-9F32-49B2-80B7-E23CA21F1412.png
    162 KB · Views: 33
  • 334E8F9E-8B6A-4884-AC2C-66CABE1529EB.png
    334E8F9E-8B6A-4884-AC2C-66CABE1529EB.png
    145.6 KB · Views: 31
Jam
Mkuu mayenga, mimi nina
Telepathy
- Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimsimikia binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.

Ila mpaka leo, kuna mtu nikimfikiria tuu, anatoke, au nafika mahali na kuambiwa, una maisha marefu, sasa hivi tulikuwa tunakuzungumza!. Au uko mahali unatembea, njia nyembamba, unataka kupishana na mtu, ukienda upende ule naye anakuja huko, ukirudi huku naye anarudi huku hadi mnataka kugongana unaamua kusimama mpishane!.

Pia nina Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen. kidogo. Kuna mambo huwa naota yanakuja kutokea!. Nina kitu kinaitwa "intuition!" yaani kabla sijafanya jambo, unapata hisia this is not gona work!, au unakutana na mtu anakuzimikia sana for real, wewe unaona its not for real!. Au ndani ya ndoa, ikitokea wife ame cheat, utajua!, huwezi kuuliza kwa sababu huna ushahidi, ili mtu akicheat, ujue atacheat tena!, nilianza kufanya kazi ya kukusanya ushahidi nikathibitisha!, na nilisamehe kwa kujifikiria ni mara ngapi nilipitia wake za watu!, wengine wakiwa ni wake wa marafiki zangu kabisa!.

Pia naweza kufanya Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things kwa kiwango kidogo!, nikikutana na mtu for the first time, I can tell huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya!. Hii nimeiwea kwa practice kutoka kwenye net.
Retrocognition - Perception of past events imeishanitokea mara kadhaa, naweza kufika mahali for the first time, na kujiona I have seen this place before ila sikumbuki ni wapi!, au nimekutana na mtu for the first time, na kujiona I've seen him before sijui ni wapi!, hii inaitwa De-ja-vu kwa Kifaransa!.

Nimesoma sana vitabu vingi vya mambo haya, hivyo naangalia uwezekano wa kufungua more evenues kwa meditation ila kwa njia ya natural sio kupitia secret societies kama Freemasons, Illuminati au Rosecrusians. Hawa jamaa ndio ma master wa haya mambo ila wanafanya siri!. Matajiri wengi wanatumia powers hizi kupata utajiri iwe ni kwa njia za sala kupitia makanisa ya wokovu, waganga wa kienyeji, kujiunga na vikundi kama freemasons etc, all and all its works of powers!.
Pasco.
Jamani duniani kuna mambo , ngoja na mm nianze na kufungua jicho la 3 then kutoka nje mwili
 
Kuna mengi ya kufanya lakini nakupa basics kwanza ukifaulu hii hatua ya kwanza nijulishe

Hapo ulipo tafuta Sehemu kimya na utulivu kwa kwenye kiti au jamvi usikunje mgongo weka mikono mapajani kwa kurelax au lala chali kwa kulerax fumba macho halafu anza kuhesabu pumzi

Ili inhale hesabu moja uki exhale mbili endelea na mchakato huo, utaona utakapoanza tu kuhesabu yatakuja mambo kibao utakumbuka mambo ya jana, mipango ya kesho changamoto zako yaani matukio yatakuja kama mkanda wa sinema

Unachotakiwa kufanya ni kustick kwenye pumzi tu, hayo matukio yanayopita ndio takataka zilizojaa kwenye bongo yako


Pia kuna kitu kinaitwa empty meditation: hii unakaa kwakurelax na kuangalia ukuta tu usifikirie chochote zaidi ya kuuangalia huo ukuta, utajikuta huoni ukuta bali unaona mawazoni yako, chanamoto zako mipango yako madeni yako nk nk nk
aya yote ndio takataka zilizojaa kwenye ubongo, Kwahiyo zinacompress mind na kuifanya ishindwe kufanya kazi sawasawa


Unachotakiwa kufanya uwapo kwenye breathing au empty meditation ni kufocus tu kwenye kile ukifanyacho kwa Wakati huo kila kinachojaribu kuja kwenye mind unakifukuza na kurudi kwenye concentration yako ni kazi ngumu mno kutaka kuistation mind kwenye kitu kimoja kwa Wakati mmoja but with serious practice utaona mabadiliko. ...ukiiweza hatua hii ya kwanza nijulishe tuendelee
ASANTE
Nami ni abilia wako
 
Back
Top Bottom