Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Wanabodi,

Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers".

"Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu chochote kinachoonekana kwa macho kumhusu Mungu, bali ni powers zake tuu za mambo Mungu anayoyafanya ndizo zinazoonekana.

Chochote mtu atakachokiona kuhusu Mungu iwe ni kwenye mawazo, kwenye maneno, kwenye matendo, kwenye mahubiri, kwenye ndoto, kwenye unabii, kupitia Roho Mtakatifu au kupitia Malaika wake, it's just the manifestation of God's power kwa sababu God is a spirit of power ambazo zinafanya mambo mazuri, doing good.

Shetani pia ni power ya evil spirits inayofanya maovu, yale maumbo yote ya shetani yanayoelezewa kuonekana mara hivi mara vile pia ni just a manifestation of that evil powers kujionyesha katika umbo lolote, hivyo shetani anaweza kuji manifest katika umbo lolote na kufanya jambo lolote hata jema kama kuponyesha kimuijiza ili kuwaaminisha watu kuwa ni kazi ya Mungu.

Powers ndio kila kitu. Watu wote wenye nguvu ni powers, spiritual powers kwa watu wa imani, political powers kwa wanasiasa, economical powers kwa matajiri, social powers kwa wenye vipaji mbalimbali. Everything thing is about powers na mafanikio yoyote katika kila kitu ni jinsi watu wanavyo master hizi powers.

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni power ambayo ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo zikiwa zimejificha bila kujijua kuwa wanazo hizo nguvu.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza! kwa sababu uwepo wa nguvu hizi has nothing to do with religion but has everything to do with being.

Na sio binadamu tuu ndio wenye nguvu hizi bali ni viumbe wote wana hizi special powers kwa kiwango chao na maisha ya viumbe hawa na powers za viumbe wengine ni kubwa kuliko za binadamu, mfano mbwa, paka, panya etc.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", "Powers of Light", nguvu za Mwanga, na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za Shetani" powers of the darkness, nguvu za giza, evil spirits etc.

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hivyo hata usipotumia jina la Mungu au jina la Yesu na ukatumia neno jingine lolote lenye powers vibrations kuzifungulia nguvu hizi zilizo ndani yako, nguvu hizo hufunguka, ndio maana watu wa dini zote hutumia.

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.
  1. Apportation - Materialization, disappearance, or teleportation of an object.
  2. Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things.
  3. Automatic writing - Writing produced without conscious thought.
  4. Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.
  5. Bilocation or multilocation - Being in multiple places at the same time.
  6. Clairaudience - receiving messages in thought form from another frequency or realm. It is considered a form of channeling.
  7. Clairvoyance, second sight - Perception outside the known human senses.
  8. Death-warning - A vision of a living person prior to his or her death.
  9. Divination - Gaining insight into a situation via a ritual.
  10. Dowsing - Ability to locate objects.
  11. Energy medicine - Healing by channeling a form of energy.
  12. Faith healing - Diagnosing and curing disease using religious devotion.
  13. Mediumship or channeling & Communicating with spirits.
  14. Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
  15. Psychic surgery - Removal of diseased body tissue via an incision that heals immediately afterwards.
  16. Psychokinesis or telekinesis - The ability to manipulate matter by the power of thought.
  17. Psychometry or psychoscopy - Obtaining information about a person or object.
  18. Pyrokinesis - Manipulation of fire.
  19. Remote viewing - Gathering of information at a distance.
  20. Retrocognition - Perception of past events.
  21. Scrying - Use of an item to view events at a distance or in the future.
  22. Telepathy - Transfer of thoughts or emotions.
  23. Transvection - Bodily levitation or flying.
Psychic Powers- ni nguvu za kufanya miujiza ambazo wengi wanazo bila kujitambua!, swali ni jee wewe unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!,
NB. Hili ni muhimu sana kuzingatia, mzingi mkuu wa mada hii ni kujitambua, self awareness, kwa vile nimesema Mungu ni Nguvu za kutenda mema, God is Powers of Lightness, na Shetani ni nguvu za kutenda maovu, is powers of darkness, the dividing line between hizi powers ni very thin.

Shetani is very clever, ni imposter, ana penda kuji disguise as Mungu, hivyo kuna mambo mengi ikiwemo miujiza ya uponyaji inayofanyika kwenye dunia hii, huku watu wakidhani ni kazi ya Mungu, kumbe sio kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani. Hivyo be very careful.

Karibu tujadiliane!.

Paskali

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua zikiwemo nguvu za giza na kila aina ya uchawi, ili ujue na kujitenga nao

  1. World Religions
  2. Traditions
  3. Mysteries
  4. What's New?
  5. About
  6. Abuse
  7. Books
  8. Bibliography
  9. Contact
  10. Credits
  11. Copyrights
  12. Donate
  13. Downloads
  14. FAQ
  15. Links
  16. Map
  17. Press
  18. Privacy
  19. Search
  20. Top Level
  21. Terms of Service
  22. Translate
  23. Standards
  24. Unicode
  25. Volunteer
  26. Wishlist
  27. Catalog
  28. African
  29. Age of Reason
  30. Alchemy
  31. Americana
  32. Ancient Near East
  33. Astrology
  34. Asia
  35. Atlantis
  36. Australia
  37. Basque
  38. Baha'i
  39. Bible
  40. Book of Shadows
  41. Buddhism
  42. Celtic
  43. Christianity
  44. Classics
  45. Comparative
  46. Confucianism
  47. DNA
  48. Earth Mysteries
  49. Egyptian
  50. England
  51. Esoteric/Occult
  52. Evil
  53. Fortean
  54. Freemasonry
  55. Gothic
  56. Gnosticism
  57. Grimoires
  58. Hinduism
  59. I Ching
  60. Islam
  61. Icelandic
  62. Jainism
  63. Journals
  64. Judaism
  65. Legends/Sagas
  66. Legendary Creatures
  67. LGBT
  68. Miscellaneous
  69. Mormonism
  70. Mysticism
  71. Native American
  72. Necronomicon
  73. New Thought
  74. Neopaganism/Wicca
  75. Nostradamus
  76. Oahspe
  77. Pacific
  78. Paleolithic
  79. Parapsychology
  80. Philosophy
  81. Piri Re'is Map
  82. Prophecy
  83. Roma
  84. Sacred Books of the East
  85. Sacred Sexuality
  86. Shakespeare
  87. Shamanism
  88. Shinto
  89. Symbolism
  90. Sikhism
  91. Sub Rosa
  92. Swedenborg
  93. Tantra
  94. Taoism
  95. Tarot
  96. Thelema
  97. Theosophy
  98. Time
  99. Tolkien
  100. UFOs
  101. Utopia
  102. Women
  103. Wisdom of the East
  104. Zoroastrianism
Paskali, nashkuru kw mjadala huu ulivoanza, huenda pia ndo somo lenyewe lilivohitajitokeza. inaelekea tupo wengi tunalipenda. you're a public figure na huenda una address ambayo hutajali tukiitumia kukupata. naona tuko wengi, turushie au tufanyeje kukupata privately? telepathically huenda tumekupata - tenda miujiza ...au?
 
Naomba kujua kuna post ulisema pale kisutu secondary kuna temple la monks je bado lipo hapo?na hawa monks wana uwezo wa kumtibia mtu?
Yes na sio moja, yako several!. Hawa monks, japo they are very powerful, lakini hawatibu kwasababu uwezo wa kujitibia unao, uko ndani yako, wanachokifanya wao ni kuku convert wewe ujitibu mwenyewe na kuzuia usiugue tena. Wana nyoa vipara "shaven heads" wana vaa vitambaa vya Orange.

Wanachofanya waganga na waganguzi ni kuzifungulia powers zako za uponyaji huku wakijifanya ni wao ili uwarudie!.
P
 
Yes na sio moja, yako several!. Hawa monks, japo they are very powerful, lakini hawatibu kwasababu uwezo wa kujitibia unao, uko ndani yako, wanachokifanya wao ni kuku convert wewe ujitibu mwenyewe na kuzuia usiugue tena. Wana nyoa vipara "shaven heads" wana vaa vitambaa vya Orange.

Wanachofanya waganga na waganguzi ni kuzifungulia powers zako za uponyaji huku wakijifanya ni wao ili uwarudie!.
P
HIzo temple zingine kwa dsm ziko wapi?
Samahani kwa maswali😊
 
Yes na sio moja, yako several!. Hawa monks, japo they are very powerful, lakini hawatibu kwasababu uwezo wa kujitibia unao, uko ndani yako, wanachokifanya wao ni kuku convert wewe ujitibu mwenyewe na kuzuia usiugue tena. Wana nyoa vipara "shaven heads" wana vaa vitambaa vya Orange.

Wanachofanya waganga na waganguzi ni kuzifungulia powers zako za uponyaji huku wakijifanya ni wao ili uwarudie!.
P
Niliwahi kwenda kwa mganga akanifusha kwa sufuria la maji ya moto yenye mchanganyiko wa majani, lakini kuanzia pale nikaaza kuumwa kweli kweli nikawa nahisi vitu vinatembea mwilini kama radi!

Hii inaweza kuwa ni nini?
 
Kunakitu nimejifunza nanilikiuwa sikitambui juzi kati tarehe 23.05.2023 nilikuwa nafungulia vifaranga vyangu vyenye kama miezi kadhaa ila kuna kifaranga mmoja nikamtazama nafsini nikasema huyu haponi atakufa kilichotokea hayakupita masaa matatu yule kifaranga akabebwa na mwewe ukawa mwisho wake

Wakuu embue niwekeni sawa kuhusu hiyo power inaitwaje naninaweza vipi kuitumia
ASANTENI
 
Alafu kuna nyingine huwa nikikaa naweza kuimba wimbo fulani na nilazma uwo wimbo ninao uimba niusiki
Aisee!! nimeamini hichi kitu
 
Mimi mara nyingi inanitokea hii Kwa mfano nikiwa nimelala mtu akiingia chumbani najua kama Kuna mtu na nikishtuka kweli Kuna mtu unakuta ameingia na ya pili nikiwa natembea mtu akiwa ananiangalia bila mm kumuona nikigeuka basi unakuta kweli alikua ananiangalia unakuta anaangalia pembeni kama ananikwepa je na mm pia na nguvu ndani yangu au na je zinaitwaje kama ni nguvu eti bro pasco mayala
 
Hata Mimi Pananishinda Sana Hiki Kipengele Eti Unakufa Alafu Unaamkia Mwili Mwingine,Sasa Hapa Waafrika Tukifa Tuaamkia Mwili Wa Kiafrika Na Wazungu The Same Sio
Hii iko hivi:

Kila Roho ina makusudi ya kuwapo hapa Duniani!

Roho fulani inaweza kuwa na Mission ya Muda Mrefu ktk kuikamilisha!

Roho iyo ya namna hiyo inaweza kuchakaza miili zaidi ya Mmoja...na hii ni Substitution method ambayo Roho moja yenye mpango wa muda Mfupi lakini iko kwenye mwili wenye umri mdogo na afya pia unakuwa substituted na long time missioned Soul....

Hiyo siyo re incanation but rather a substitution!

Kuhusu Psychic..

Ni kwamba kila Mwanadamu ana Misuli inaitwa Psychic muscles...

Misuli hii iko na nerve zake connected ..

Misuli hii ukiifanyia mazoezi na ukiihusisha vizuri na Nerve zake basi unaweza kuibua nguvu za ajabu...!
 
Pasco kuna kitabu niliwahi kukisoma zamani na kujaribu kupractise nikawa naona kama inakuwa kweli.ni vitu vya kawaida ila ni rahisi kutokuvifanya kwa kujisahau
Inahitajika kuupa ubongo chakula chake kikuu ambacho ni oxygen then utaongeza thinking capacity against mambo yanayokuzunguka.
Namna ya kulala,Kujenga imani,kupata utulivu wa rangi na fresh flowers vyote hufungua milango ya nguvu hizi
Pia kutoa kiasi ya ulichonacho kws wahitaji hukuongezea,hii niliijaribu nikiwa chuo na ika-work out siku hiyo hiyo.kwa kifupi huwezi kupata zaidi kama hutumii(refer Bill Gates)
Mtu anayepractise njia hizi ile kumtazama tumgonjwa anaweza kujua kama atapona au la..bila kujali muonekano wake wa nje
Hakika nilifikia mahali nikasema ukiacha bible that was my second favourite book...
I wish ungetutajia jina ya hicho kitabu na mwandishi wake
 
Hapo kusema shetani hakuumbwa na mungu unakosea Tena unapotosha

Labda nikupe elimu moja

mungu anazo nguvu zote za mwanga na Giza na asili ya nguvu zote zinatoka kwa mungu
Na shetan ni moja ya viumbe vilivoumbwa na mungu ni miongon mwa majini

IKO HIVI
wanadam ote wamepewa nguvu Ila nguvu zao zinatofautiana hii tunaiita nyota kitaalam
Inategemea na Kila mtu na nyota yake
Na wapo wanadam Wana nguvu nyingi na uwezo mkubwa kuwazid hata majini

Kwaiyo hizo ni nguvu zilizojificha ktk mwili wa binadam

Mfano wapo watu wanaweza wakawaza jambo alafu baadae likatokea

Au mtu anaweza kukwambia jaman Kim naondoka alafu baadae likatokea tukio hatak baada ya yeye kuondoka

Hizi ni nguvu za Siri ambazo wanadam wanazo na zinatofautiana baina ya Kila mtu kutokana na nyota ya mtu

Wapo watu ambao Wana nguvu za kiroho Zaid mfano mtu anaeza akaota jambo alafu likatokea hivo hivo ni Kama manabiii na watu wema

Na wapo watu Wana nguvu za kuona vitu vibaya usku visivooneoana kwa macho ya kawaida

Kwa kifupi
Kila mwanadam anayo nguvu ktk mwili wake
Lengo la nguvu hizi sio zitumike vibaya hapana lengo ni kumlinda mwanadam mwenyewe ijapo Kuna wengine huzitumia vibaya

Na ndo Mana walimu wanaogopa kuwafunza watu jinsi ya kuamsha nguvu hizi Mana wanahofia watakuja kuleta madhara kwa wengine

Na miongon mwa elimu ambazo zimekatazwa kujifunza ni hizo sababu matokeo yake mwanadam akijifunza atahitaj kufanya practice ( kujalibu)
Huku kujalibu huku ndiko huleta mazara Mana ikitokea mtu akakukwaza kidogo utataka umnyooshe kupitia nguvu zako

Kidin hailuhusiw na ni makosa kujifunza hayo ikiwemo, ramri, uchawi, meditation
Hayo yote ni mambo ya nguvu za Giza

Meditation
Hiki ni kitu ambacho watu hukiona Cha kawaida lakn ni jambo BAYA Sana mtu akizama humo huenda akawa mbaya Zaid lakn ni kitu ambacho kinahitaj utulivu wa Hali ya juu wasio na nguvu ya kutuliza akili hata wafanye meditation MWAKA haitoleta chochote lakn wako binadam ambao ubongo wao uko na nguvu ya kukusanya mambo na kuyaeka pamoja hao wakigusa tu week bas huona mabadiliko

SO NDUGU ZANGU SIWASHAULi KUJIFUNZA HAYO SJUI KUIBUA NGUVU ZA SILI NI MAMBO MABAYA AMBAYO YAMEKATAZWA LIZIKA NA ULICHONACHO BAS
 
Hapo kusema shetani hakuumbwa na mungu unakosea Tena unapotosha

Labda nikupe elimu moja

mungu anazo nguvu zote za mwanga na Giza na asili ya nguvu zote zinatoka kwa mungu
Na shetan ni moja ya viumbe vilivoumbwa na mungu ni miongon mwa majini

IKO HIVI
wanadam ote wamepewa nguvu Ila nguvu zao zinatofautiana hii tunaiita nyota kitaalam
Inategemea na Kila mtu na nyota yake
Na wapo wanadam Wana nguvu nyingi na uwezo mkubwa kuwazid hata majini

Kwaiyo hizo ni nguvu zilizojificha ktk mwili wa binadam

Mfano wapo watu wanaweza wakawaza jambo alafu baadae likatokea

Au mtu anaweza kukwambia jaman Kim naondoka alafu baadae likatokea tukio hatak baada ya yeye kuondoka

Hizi ni nguvu za Siri ambazo wanadam wanazo na zinatofautiana baina ya Kila mtu kutokana na nyota ya mtu

Wapo watu ambao Wana nguvu za kiroho Zaid mfano mtu anaeza akaota jambo alafu likatokea hivo hivo ni Kama manabiii na watu wema

Na wapo watu Wana nguvu za kuona vitu vibaya usku visivooneoana kwa macho ya kawaida

Kwa kifupi
Kila mwanadam anayo nguvu ktk mwili wake
Lengo la nguvu hizi sio zitumike vibaya hapana lengo ni kumlinda mwanadam mwenyewe ijapo Kuna wengine huzitumia vibaya

Na ndo Mana walimu wanaogopa kuwafunza watu jinsi ya kuamsha nguvu hizi Mana wanahofia watakuja kuleta madhara kwa wengine

Na miongon mwa elimu ambazo zimekatazwa kujifunza ni hizo sababu matokeo yake mwanadam akijifunza atahitaj kufanya practice ( kujalibu)
Huku kujalibu huku ndiko huleta mazara Mana ikitokea mtu akakukwaza kidogo utataka umnyooshe kupitia nguvu zako

Kidin hailuhusiw na ni makosa kujifunza hayo ikiwemo, ramri, uchawi, meditation
Hayo yote ni mambo ya nguvu za Giza

Meditation
Hiki ni kitu ambacho watu hukiona Cha kawaida lakn ni jambo BAYA Sana mtu akizama humo huenda akawa mbaya Zaid lakn ni kitu ambacho kinahitaj utulivu wa Hali ya juu wasio na nguvu ya kutuliza akili hata wafanye meditation MWAKA haitoleta chochote lakn wako binadam ambao ubongo wao uko na nguvu ya kukusanya mambo na kuyaeka pamoja hao wakigusa tu week bas huona mabadiliko

SO NDUGU ZANGU SIWASHAULi KUJIFUNZA HAYO SJUI KUIBUA NGUVU ZA SILI NI MAMBO MABAYA AMBAYO YAMEKATAZWA LIZIKA NA ULICHONACHO BAS

Mkuu Mungu hakumuumba Shetani.

Chukulia mf. Huu Jeshi limempa mafunzo ya kijeshi The Mona katika misingi ya kulitumikia taifa, baada ya mafunzo ya muda mrefu na kuhitimu, The Mona akaamua kuhasi jeshi na taifa kwa ajili ya kuyataka madaraka ya nchi kinyume na sheria za nchi (mapinduzi) je hapa jeshi litakuwa limemtengeneza muasi The Mona? Hapana kwa nini? Lilimtengeneza The Mona kama mwanajeshi mzalendo.

Hivyo Mungu hakumuumba shetani, alimuumba Malaika kisha malaika akaasi, kwa hiyo mwanzo Mungu hakumuumba Malaika mkaidi (shetani) alimuumba malaika mtiifu ( Lucifer).

Ukiiweka kwa mtazamo huo utaona ni jinsi gani Mungu hakumuumba shetani.
 
Hapo kusema shetani hakuumbwa na mungu unakosea Tena unapotosha

Labda nikupe elimu moja

mungu anazo nguvu zote za mwanga na Giza na asili ya nguvu zote zinatoka kwa mungu
Na shetan ni moja ya viumbe vilivoumbwa na mungu ni miongon mwa majini

IKO HIVI
wanadam ote wamepewa nguvu Ila nguvu zao zinatofautiana hii tunaiita nyota kitaalam
Inategemea na Kila mtu na nyota yake
Na wapo wanadam Wana nguvu nyingi na uwezo mkubwa kuwazid hata majini

Kwaiyo hizo ni nguvu zilizojificha ktk mwili wa binadam

Mfano wapo watu wanaweza wakawaza jambo alafu baadae likatokea

Au mtu anaweza kukwambia jaman Kim naondoka alafu baadae likatokea tukio hatak baada ya yeye kuondoka

Hizi ni nguvu za Siri ambazo wanadam wanazo na zinatofautiana baina ya Kila mtu kutokana na nyota ya mtu

Wapo watu ambao Wana nguvu za kiroho Zaid mfano mtu anaeza akaota jambo alafu likatokea hivo hivo ni Kama manabiii na watu wema

Na wapo watu Wana nguvu za kuona vitu vibaya usku visivooneoana kwa macho ya kawaida

Kwa kifupi
Kila mwanadam anayo nguvu ktk mwili wake
Lengo la nguvu hizi sio zitumike vibaya hapana lengo ni kumlinda mwanadam mwenyewe ijapo Kuna wengine huzitumia vibaya

Na ndo Mana walimu wanaogopa kuwafunza watu jinsi ya kuamsha nguvu hizi Mana wanahofia watakuja kuleta madhara kwa wengine

Na miongon mwa elimu ambazo zimekatazwa kujifunza ni hizo sababu matokeo yake mwanadam akijifunza atahitaj kufanya practice ( kujalibu)
Huku kujalibu huku ndiko huleta mazara Mana ikitokea mtu akakukwaza kidogo utataka umnyooshe kupitia nguvu zako

Kidin hailuhusiw na ni makosa kujifunza hayo ikiwemo, ramri, uchawi, meditation
Hayo yote ni mambo ya nguvu za Giza

Meditation
Hiki ni kitu ambacho watu hukiona Cha kawaida lakn ni jambo BAYA Sana mtu akizama humo huenda akawa mbaya Zaid lakn ni kitu ambacho kinahitaj utulivu wa Hali ya juu wasio na nguvu ya kutuliza akili hata wafanye meditation MWAKA haitoleta chochote lakn wako binadam ambao ubongo wao uko na nguvu ya kukusanya mambo na kuyaeka pamoja hao wakigusa tu week bas huona mabadiliko

SO NDUGU ZANGU SIWASHAULi KUJIFUNZA HAYO SJUI KUIBUA NGUVU ZA SILI NI MAMBO MABAYA AMBAYO YAMEKATAZWA LIZIKA NA ULICHONACHO BAS
Same sh!t just different day
 
Back
Top Bottom