Kwa hoja zako zilivyo unaonekana hujui ushindani. Maana hoja zako naona ni kuiponda PSPF maana thread zako zinajionyesha.
Huo ni ushamba.
Umejiunga JF tarehe 1 Dec. 2016. Umeanzisha thread tano (5) tatu kati ya hizo zinahusu PSPF.
Mbili kati ya hizo unafanya comparison PSPF vs LAPF. Ni kichekesho kulinganisha The giant (PSPF)yenye wanachama takribani Laki nne na ushee almost tano na kibushuti (LAPF) chenye wanachama ambao hawajafika hata Laki na ishirini. Ni sawa na kulinganisha RANGE ROVER VOGUE na Kibajaji.
Na declare interest, Mimi ni mwanachama wa PSPF na naijua vizuri sana PSPF. Kama kuna mapungufu ni yale ambayo yanapatikana katika kila taasisi. Ambayo ndo hutoa fursa ya kufanya improvement.
PSPF don't take serious watu wa namna hii. Ila kwa mtazamo wangu huyu atakuwa ni miongoni mwa wafanyakazi wa LAPF amabye ndie atakayekuwa anaaminiwa kuendesha hizi propaganda za mtandaoni, bahati mbaya ana akili za KIBASHITE.
Wanachama wenu tuko pamoja nanyi na tunawahakikishia kuwasapoti kwa namna yoyote ile.
Sasa kwa kuwa huyu jamaa anawafanyia hivi wala PSPF msihangaike nae/nao.
Mimi binafsi ntaanza kuja na Data zinazoihusu LAPF namna wanavyowalaghai waajiriwa wapya kwa ahadi ya huduma wasizokuwa nazo. Mfano mkopo wa nyumba za makazi LAPF husema wanatoa, ila mwanachama akienda humwambia aende WATUMISHI HOUSING COMPANY (WHC).