Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

Mkuu sijawahi kukuita si m-Tanzania na wala sijawahi kuhoji uraia wako kwani hata mimi nimeshatuhumiwa uraia wangu kwa kuwa tu nauliza maswali ya msingi kuhusu huu uhasama kati ya Tanzania na Rwanda. Ndugu yangu nchi ya Israel inafanya biashara ya silaha na nchi nyingi sana duniani. Nadhani hata sisi tunanunua baadhi ya vifaa kutoka Israel. Kuuzia silaha nchi haina maana Israel inahusika kupepea moshi wa mgogoro huu. Umesema mwenyewe kuwa suala ni wakimbizi wa ki-uchumi kutoka Eritrea na Sudan kupewa hifadhi Uganda in exchange of arms/military aid. Mbona huisemi China ambayo inauza silaha kwa nchi zote za maziwa makuu? Mbona huwasemi wa-Faransa, wa-Ingereza, wa-Afrika ya Kusini ambao wote ni wauza silaha wakuu duniani? Mbona huwasemi wa-Tanzania wenzako (mnawaita mafisadi) ambao ndio wauza silaha wakuu katika uwanda huu wa Afrika ya Mashariki, Kati na Kusini? Hivi unafikiri hizo silaha zinatumiwa na majeshi ya nchi hizi na hayo makundi yote ya waasi zinatoka na kupitia wapi? Fanya uchunguzi ujue major arms brokers ni nani ndio uje kujua huu mchezo ni mkubwa kuliko watu wanavyofikiria. Vita mbaya muungwana.

Ndugu yangu, ukisoma zile topic mbili , utaona analyze yangu juu yaa Israel na nchi jirani, hasa hasa kuhusu maji ya Nil. Tanzania haijawahi kua kibaraka ya Israel hasa hasa kuhusu Israel-Palestine, lakini majirani vibaraka tupu.
 
Uganda waliingia makubaliano na Israel wamepewa fedha pamoja na siraha kwa ajili Uganda ikubali kuwachukua wakimbizi wa kiafrica wanaoishi Israel.. Usitishike kwa hizo drones ni makubaliano ya takribani watu 50,000
 
I agree mkuu. Mwl Nyerere alichemka sana kuvunja uhusiano na Israel. Kila nikiona JKT nakumbuka IDF na mambo mengine mengi ya kibbutzem, irrigation and all that good stuff. Nyerere sided with the terrorists, sasa tunaona.
hao unawaita terrorist ndo walikua mstari wa mbele kuzisaidia nchi za frontlinestate kupambana na makaburi wa afrika kusini na kufanikia kuzikomboa nchi za kusini mwa afrika,nyerere alivunja uhusiano na waisrael sababu waisraeli wakiwapa silaha serikali ya makaburi ili kuwaua waafrika,kagame nae na watusi wake NI MAKABURU TU,KABURU NI KABURU.
 
sina uhakika na hili, kama uganda wanapata hizo silaha toka israel, kwanini na sisi watz tusifanye dili tupate silaha toka hukohuko israel au toka mataifa mengine kama china na kwingine, kwani kupata silaha ni jambo la kutisha sana? kama wenzetu wakipata silaha toka israel, sisi pia tunaweza kupata silaha toka ufaransa, china etc, na nchi huru kama ugana na tz kufanya makubaliano ya kupata silaha si jambo la ajabu. tungekuwa na hela hata sisi leo hii tunatakiwa kununua tank mpya na nyingi, ndege za vita mpya na nyingi, silaha lazima tuwe tunanunua. lakini sidhani kama tz ipo kwenye hali ya hatari ya kutumia mipesa kununua silaha kwasasa hivi, kwasababu bado sijaona threat yeyote ile toka nje. rwanda haitakuwa na sababu yeyote kkupigana na tz, uganda haitakuwa na sababu yeyote kupigana na tz, kenya vilevile, malawi hawatakuwa na sababu. jua kwamba, hata kama nchi yeyote majirani iwe rwanda au malawi ikiishambulia tz, its just a matter of weeks or months hata kama watakalia maeneo yetu, tutajioganise na kuwaondoa wote. wala tusitishwe. hata hizi hali ya hewa kati yetu na wenzetu wa east africa ni hali ya hewa ya kupita tu, nchi na nchi kupigana si kitu rahisi. hata nchi za nje zikiona tunaelekea kupigana kweli zitakuja kutupatanisha tu kwasababu wanajua tutasababisha madhara makubwa. china haiwezi kukubali hata siku moja maslahi yake tz yapotee, hata marekani na uingereza.

kuna watu wanasema malawi iko supported na uingereza kwasababu kampuni inayotafuta mafuta na gesi nyasa ni ya waingereza, wamesahau kuwa mojawapo ya makampuni yaliyogundua gesi mtwara ni ya waingereza, hivyo waingereza wagawe silaha malawi ili kuiipiga tz ambayo hukuhuko wanataka kuvuna gas watakuwa na akili kweli? tz tungekuwa hatuna maslahi yeyote na uingereza wangeshawasapoti malawi mda, lakini uingereza imewekeza sana tz pia imegundua gas.

way forward kwa watz kwa leo hii ni kujizatiti katika miundo mbinu ya reli, bandari na kielimu mashule na vyuo vikuu watoto wetu wasome, tuwe na wasomi wengi ili wa serve kwenye secta za mafuta na gas, na tuwe na ushindani kwenye east africa community au sadc. tukiendelea kupoteza muda kujadili vita na rwanda au wivu na ushindani wa jadi na kenya, wenzetu hawana muda huo wanapiga kazi, sisi porojo tusiziendekeze.

Nimependa thread yako kwa sababu iko neutral reality reflection. Nchi kununua silaha sio dhambi au maandalizi ya kumpiga jirani. Kununua silaha marekani, israel au kokote kule sioni kama kuna tatzo katika hili. Hakuna uwezekano wa Tanzanía kuingia ktk vita na majirani zake isipokuwa kuna upepo wa kutokueldwana kath yetu na Rwanda na Malawi. Hii ni normal situation kutofautiana ktk international diplomçy.
 
I agree mkuu. Mwl Nyerere alichemka sana kuvunja uhusiano na Israel. Kila nikiona JKT nakumbuka IDF na mambo mengine mengi ya kibbutzem, irrigation and all that good stuff. Nyerere sided with the terrorists, sasa tunaona.
goodstuff when and where?...kambarage alivunja uhusiano kwa kujali utu wa mwafrika,
 
acha woga, hujui jeshi linafanyaje kazi, ni zaidi ya unavyolijua. tulia, everything is under control
 
goodstuff when and where?...kambarage alivunja uhusiano kwa kujali utu wa mwafrika,

Elunguta the mutual and reciprocal respect between Tanzania and Israel, training of our people civilian and military, irrigation problems (that would have most likely eradicated dependence on food imports), the National Service is largely an Israeli invention (even the uniform is IDF). Na mambo mengine mengi mazuri. Mwl Nyerere kujali utu wa mwa-Afrika na kuvunja uhusiano na Israeli wapi na wapi?
 
hao unawaita terrorist ndo walikua mstari wa mbele kuzisaidia nchi za frontlinestate kupambana na makaburi wa afrika kusini na kufanikia kuzikomboa nchi za kusini mwa afrika,nyerere alivunja uhusiano na waisrael sababu waisraeli wakiwapa silaha serikali ya makaburi ili kuwaua waafrika,kagame nae na watusi wake NI MAKABURU TU,KABURU NI KABURU.

Israel and South Africa cooperation was on high level military weaponry advancement particularly on the Jericho II missile system. Lakini kama ni hivyo mbona hamuwachukii wa-Marekani au wa-Ingereza, wa-Jerumani, wa-Holanzi and other European states ambao waliwiibeba National Party SA wazi wazi? Tusiwe na double standards na kuficha chuki dhidi ya wayahudi kwa visingizio kama hivi.
 
......Believe me (correct me if am wrong) , in 2 or 3 years, when Tanzania decides, the peace we use to hear in Rwanda (maybe in Uganda also) will disappear . How ? Because those countries have their proper enemy in the region (you understand what i want to say) , a small help of Tanzania will destabilize these countries. So ? The answer is simple, investors will go out, yes they will go out...........
 
......Believe me (correct me if am wrong) , in 2 or 3 years, when Tanzania decides, the peace we use to hear in Rwanda (maybe in Uganda also) will disappear . How ? Because those countries have their proper enemy in the region (you understand what i want to say) , a small help of Tanzania will destabilize these countries. So ? The answer is simple, investors will go out, yes they will go out...........

You are right. Maybe big brother Kenya will help them, I don't know .
 
intelligence surveillance,au hujui hata polisi hutumia surveillance drone,askari wa wanyamapori hutumia survellance drone kupambana na majangiri,
uganda hawana ubavu wa kumiliki armed drone,unaela bei ya kombora moja la hellfire linalotumika kwenye drone za israel?TOO EXPENSIVE.
Surveillance ninayozungumza ni hatari sana kwa Usalama wa Tanganyika. If Israel chooses to offer Uganda Military drone technology, please go and tell your CCM's people to wake up. Don't try to justfy any more BS, time is running out, go Lumumba right now
 
This should not be allowed here. You can disagree with him in a civilized way. Does it need a thousand years for people like you to get civilized?
Tengeneza site yako then usiruhusu haya mshamba wewe.
 
one of the best analysis ever kwenye media za Bongo!

Kudos Youandme
 
Last edited by a moderator:
ndo maana nakwambia hujui jinsi jeshi linafanya kazi yake. hatuwezi kuweka kila kitu wazi. ila we lala usingizi mnono
 
south sudan ndugu yangu wana mafuta, na sudan kaskazini si unajua ni maadui zao ktk ugombea mafuta na ndio wanaopitisha bomba la mafuta?Kagame na museveni si unajua ndio mabepari wapaya weusi ....akina JK ni mafisadi wapya...Wanaiba ndani...Uhuru anajua bomba y amafuta na reli ni msaada kwake kwani hata yeye ataunganisha Mombasa na Ziwa Victoria na mikoa ya magharibi kirahisi sana..pia anajua Kenya wana chain ya supermarkets ambzo tayari zipo kule reli itawasaidia sana kupeleka bidhaa za viwanda, supermarkets etc south sudan,rwanda, kongo burundi etc.Kenya ndiyo inaviwanda vingo so far ukanda huu.....

Jk na wenzie waendelee jiibia wenyewe tuu km wezi wazee wanaoiba nyumbani ili waichomwe mwishowe nyumba inabaki masikini.
 
Back
Top Bottom