Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

Dont worry kijana. Wakati wewe unagonga viloba vijana wapo macho wanalinda mipaka ya nchi. Siasa za kimataifa usipozijua zitakuumiza kichwa. Unajua juzi kwenye miaka 50 ya jkt walikuwepo maafisa usalama na balozi wa Israel hapa Tz. Unajua walikuja kwa nini?. Sirudii kutaja kwa nini rais wa US ma rais wa China walikuwepo hivi karibuni hapa Tz. Narudia dont worry just play your part and it can be done!.
 
Dont worry kijana. Wakati wewe unagonga viloba vijana wapo macho wanalinda mipaka ya nchi. Siasa za kimataifa usipozijua zitakuumiza kichwa. Unajua juzi kwenye miaka 50 ya jkt walikuwepo maafisa usalama na balozi wa Israel hapa Tz. Unajua walikuja kwa nini?. Sirudii kutaja kwa nini rais wa US ma rais wa China walikuwepo hivi karibuni hapa Tz. Narudia dont worry just play your part and it can be done!.

Ndio Israel alikuwa mgeni rasmi.
Message received.
 
sina uhakika na hili, kama uganda wanapata hizo silaha toka israel, kwanini na sisi watz tusifanye dili tupate silaha toka hukohuko israel au toka mataifa mengine kama china na kwingine, kwani kupata silaha ni jambo la kutisha sana? kama wenzetu wakipata silaha toka israel, sisi pia tunaweza kupata silaha toka ufaransa, china etc, na nchi huru kama ugana na tz kufanya makubaliano ya kupata silaha si jambo la ajabu. tungekuwa na hela hata sisi leo hii tunatakiwa kununua tank mpya na nyingi, ndege za vita mpya na nyingi, silaha lazima tuwe tunanunua. lakini sidhani kama tz ipo kwenye hali ya hatari ya kutumia mipesa kununua silaha kwasasa hivi, kwasababu bado sijaona threat yeyote ile toka nje. rwanda haitakuwa na sababu yeyote kkupigana na tz, uganda haitakuwa na sababu yeyote kupigana na tz, kenya vilevile, malawi hawatakuwa na sababu. jua kwamba, hata kama nchi yeyote majirani iwe rwanda au malawi ikiishambulia tz, its just a matter of weeks or months hata kama watakalia maeneo yetu, tutajioganise na kuwaondoa wote. wala tusitishwe. hata hizi hali ya hewa kati yetu na wenzetu wa east africa ni hali ya hewa ya kupita tu, nchi na nchi kupigana si kitu rahisi. hata nchi za nje zikiona tunaelekea kupigana kweli zitakuja kutupatanisha tu kwasababu wanajua tutasababisha madhara makubwa. china haiwezi kukubali hata siku moja maslahi yake tz yapotee, hata marekani na uingereza.

kuna watu wanasema malawi iko supported na uingereza kwasababu kampuni inayotafuta mafuta na gesi nyasa ni ya waingereza, wamesahau kuwa mojawapo ya makampuni yaliyogundua gesi mtwara ni ya waingereza, hivyo waingereza wagawe silaha malawi ili kuiipiga tz ambayo hukuhuko wanataka kuvuna gas watakuwa na akili kweli? tz tungekuwa hatuna maslahi yeyote na uingereza wangeshawasapoti malawi mda, lakini uingereza imewekeza sana tz pia imegundua gas.

way forward kwa watz kwa leo hii ni kujizatiti katika miundo mbinu ya reli, bandari na kielimu mashule na vyuo vikuu watoto wetu wasome, tuwe na wasomi wengi ili wa serve kwenye secta za mafuta na gas, na tuwe na ushindani kwenye east africa community au sadc. tukiendelea kupoteza muda kujadili vita na rwanda au wivu na ushindani wa jadi na kenya, wenzetu hawana muda huo wanapiga kazi, sisi porojo tusiziendekeze.
 
Mbona silaha za kawaida sana hizo,au umetishwa na drone?
Drone sio lazima iwe armed drone,hizo nadhani ni surveillance drone.
Armed drone ni too expensive hata wao israel hawazigawi kwa kuogopa pia kuibiwa technology.
Surveillance for what? Don't be CCM to underestimate Uganda - Israel military corroboration.
 
sina uhakika na hili, kama uganda wanapata hizo silaha toka israel, kwanini na sisi watz tusifanye dili tupate silaha toka hukohuko israel au toka mataifa mengine kama china na kwingine, kwani kupata silaha ni jambo la kutisha sana? kama wenzetu wakipata silaha toka israel, sisi pia tunaweza kupata silaha toka ufaransa, china etc, na nchi huru kama ugana na tz kufanya makubaliano ya kupata silaha si jambo la ajabu. tungekuwa na hela hata sisi leo hii tunatakiwa kununua tank mpya na nyingi, ndege za vita mpya na nyingi, silaha lazima tuwe tunanunua. lakini sidhani kama tz ipo kwenye hali ya hatari ya kutumia mipesa kununua silaha kwasasa hivi, kwasababu bado sijaona threat yeyote ile toka nje. rwanda haitakuwa na sababu yeyote kkupigana na tz, uganda haitakuwa na sababu yeyote kupigana na tz, kenya vilevile, malawi hawatakuwa na sababu. jua kwamba, hata kama nchi yeyote majirani iwe rwanda au malawi ikiishambulia tz, its just a matter of weeks or months hata kama watakalia maeneo yetu, tutajioganise na kuwaondoa wote. wala tusitishwe. hata hizi hali ya hewa kati yetu na wenzetu wa east africa ni hali ya hewa ya kupita tu, nchi na nchi kupigana si kitu rahisi. hata nchi za nje zikiona tunaelekea kupigana kweli zitakuja kutupatanisha tu kwasababu wanajua tutasababisha madhara makubwa. china haiwezi kukubali hata siku moja maslahi yake tz yapotee, hata marekani na uingereza.

kuna watu wanasema malawi iko supported na uingereza kwasababu kampuni inayotafuta mafuta na gesi nyasa ni ya waingereza, wamesahau kuwa mojawapo ya makampuni yaliyogundua gesi mtwara ni ya waingereza, hivyo waingereza wagawe silaha malawi ili kuiipiga tz ambayo hukuhuko wanataka kuvuna gas watakuwa na akili kweli? tz tungekuwa hatuna maslahi yeyote na uingereza wangeshawasapoti malawi mda, lakini uingereza imewekeza sana tz pia imegundua gas.

way forward kwa watz kwa leo hii ni kujizatiti katika miundo mbinu ya reli, bandari na kielimu mashule na vyuo vikuu watoto wetu wasome, tuwe na wasomi wengi ili wa serve kwenye secta za mafuta na gas, na tuwe na ushindani kwenye east africa community au sadc. tukiendelea kupoteza muda kujadili vita na rwanda au wivu na ushindani wa jadi na kenya, wenzetu hawana muda huo wanapiga kazi, sisi porojo tusiziendekeze.

Umesema ukweli tupu.
Sitaki, siombi vita baina ya Tz na majirani, nasema tuu, to deal na hao majirani kama partner and not like brother and sister.
Ndugu, hiyo EAC ni waste of time. Hivyo hivyo, siogopi silaha ya Israel, nataka Watanzania wajue vipi hao majirani wanaanza kuji prepare, nataka Watanzania wajue siasa chafu ya wajirani, siasa chavu ya Israel, nataka Watanzania wasipuuze siasa ya Israel hapa in the region, wapo tayari Somalia, South SUdan, etc.
 
Aise, nimeanza kuogopa sasa, hivi Israel iwape silaha Uganda halafu eti Marekani awe kinyume na wao? Haingi akilini kabisa, kama wanataka kufanya biashara ya silaha na waanze kutucheka labda ila kama ni ushindi wa kivita, sioni namna gani Marekani, Uingereza wawe kinyume na hilo taifa "teule" cause yajulikana hao ni marafiki wakubwa! But Israel ina maslahi gani na hawa Tutsi na Buganda? bado kizunguzungu kwangu.......!
 
HUYO OFISA WA UGANDA ANAYETOA MAELEZO HAPO KWENYE POST ANAITWA NANI VILE?????
naitwa DISMAS NKUNDA...
mnajua kuwa NKUNDA ni kifupi cha jina NKUNDABATWALE????? hawa ni WATUTSI pure na wameenea katika rank zote za jeshi la uganda.
uzuri wa hii movie ni kwamba idadi kuuuuuubwa sana ya waganda wako tayari kuingia vitani dhidi ya MUSEVEN. ZAIDI YA THELUTHI MBILI YA WAGANDA hawataki kumsikia wala kumuona mseven(kwa vigezo vya kikabila) na yeyote atakayeanzisha vita dhidi ya huyu haramia basi ana uhakika wa kupata suport toka kwa mamilioni ya waganda.
hizi chuki za majirani zetu dhidi ya tanzania ni kitu ambacho mwenye akili yeyote alikuwa anakiona tangu UHURU.
na chuki zao zinasababishwa na WIVU kutokana na aina ya mipaka kijiografia tuliyonayo, ardhi yenye rutuba, malia asili na mtindo wa maisha tunaoishi watanzania ambao sio rahisina huwezi kuukuta kokote katika hili eneo letu
 
kwanini Tanzania haina uhusiano wa kibalozi/kidiplomasia na Israeli lakini ina uhusiano huo na Palestina?
 
Hapa kuna harufu ya huu mzozo kusingiziwa Israel. Anti-semites ni wazuri sana kuhusisha kilo lililo baya na hili taifa. Ts ts ts.
 
Hapa kuna harufu ya huu mzozo kusingiziwa Israel. Anti-semites ni wazuri sana kuhusisha kilo lililo baya na hili taifa. Ts ts ts.

Mlinitukana kama mimi siyo Mtanzania, mkaendelea paka kuniita mbwa, sasa unasema mimi ANTI-SEMITES!! Bring facts , dear my friend . 🙂
 
Kwani wakati tunampiga Idi Amin alikuwa anasaidiwa na nani vile?.......................!
 
kwanini Tanzania haina uhusiano wa kibalozi/kidiplomasia na Israeli lakini ina uhusiano huo na Palestina?
Mkuu,
Uhusiano na Israel ulikuwepo na baba wa taifa (Nyerere) ndie aliyeuvunja.
 
Mlinitukana kama mimi siyo Mtanzania, mkaendelea paka kuniita mbwa, sasa unasema mimi ANTI-SEMITES!! Bring facts , dear my friend . 🙂

Mkuu sijawahi kukuita si m-Tanzania na wala sijawahi kuhoji uraia wako kwani hata mimi nimeshatuhumiwa uraia wangu kwa kuwa tu nauliza maswali ya msingi kuhusu huu uhasama kati ya Tanzania na Rwanda. Ndugu yangu nchi ya Israel inafanya biashara ya silaha na nchi nyingi sana duniani. Nadhani hata sisi tunanunua baadhi ya vifaa kutoka Israel. Kuuzia silaha nchi haina maana Israel inahusika kupepea moshi wa mgogoro huu. Umesema mwenyewe kuwa suala ni wakimbizi wa ki-uchumi kutoka Eritrea na Sudan kupewa hifadhi Uganda in exchange of arms/military aid. Mbona huisemi China ambayo inauza silaha kwa nchi zote za maziwa makuu? Mbona huwasemi wa-Faransa, wa-Ingereza, wa-Afrika ya Kusini ambao wote ni wauza silaha wakuu duniani? Mbona huwasemi wa-Tanzania wenzako (mnawaita mafisadi) ambao ndio wauza silaha wakuu katika uwanda huu wa Afrika ya Mashariki, Kati na Kusini? Hivi unafikiri hizo silaha zinatumiwa na majeshi ya nchi hizi na hayo makundi yote ya waasi zinatoka na kupitia wapi? Fanya uchunguzi ujue major arms brokers ni nani ndio uje kujua huu mchezo ni mkubwa kuliko watu wanavyofikiria. Vita mbaya muungwana.
 
Surveillance for what? Don't be CCM to underestimate Uganda - Israel military corroboration.
intelligence surveillance,au hujui hata polisi hutumia surveillance drone,askari wa wanyamapori hutumia survellance drone kupambana na majangiri,

uganda hawana ubavu wa kumiliki armed drone,unaela bei ya kombora moja la hellfire linalotumika kwenye drone za israel?TOO EXPENSIVE.
 
Hayo ni moja ya makosa makubwa aliyoyafanya Mzee wetu hayati Julius K. Nyerere

I agree mkuu. Mwl Nyerere alichemka sana kuvunja uhusiano na Israel. Kila nikiona JKT nakumbuka IDF na mambo mengine mengi ya kibbutzem, irrigation and all that good stuff. Nyerere sided with the terrorists, sasa tunaona.
 
Tanzania kuna ubalozi wa Israel vilevile chanzo cha JKT ni msaada kutoka kwa Israel. Kuwapo kwao kwenye madhimisho ya JKT ni sawasawa na kuwepo kwa wachina kwenye reli ya Tazara.
 
Back
Top Bottom