Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

Wanao sababisha haya ni walevi km nyie
Hasa wewe na Nyakageni ambao mnatumia muda mwiiingi kupika pombe za kienyeji na kulewa mchana kutwa!
We unajua taifa linahitaji wachapa kazi halafu wewe na hao wenzako wana wapikia hayo mataptap!
Si ndio sababu nchi inekwenda mrama!
Mi nilikuwa nashauri serikali kwa hawa wapika pombe za moshi ! Wakikamatwa wanatakiwa wafungwe maisha!
Mnfnsssssssssss!

Ukimaliza kunya uje andika kitu hapa......tena nyi ewenye constipation mna shida sana...kwani haina tofuauti na....


Kauli Hizo hutolewa na wakuu wa wilaya zinazozalisha wala mizizi kila mwaka.
 
Nyau ni nyau tu! Hata ukimvisha ngozi ya sungura!
We unafahamu maana ya TERRORIST! ??
Au unaropoka tu kwa sababu umeshakula hicho kimpumu cha mia hamsini!
We ukitaka kujua ni nani terrorist muangalie nyerere na dr slaa! Yule wa kwanza aliua wengi mno na huyu anaetaka kuja anampango wa kumalizia kabisa na wapambe wake kina Nyakageni! Na wewe!
Na sisi tuko stand by! 2015 hapiti kibwengo yyt yule!

weka clear..ni Kwamba hujui na unataka nikufundishe au unataka assume different meaning ?Sasa km km unahisi unajua maana yake ya nini sasa unapoteza muda kubadili watu..Terrorism ni TRADE MARK ya Islam wewe kimeo wengine wanakopa tuu.

Nyerere au Dr.Slaa angekuwa Gaidi kwa kiasi cha CCM kuwaelewa basi wangekuwa wamaona dili....otherwise mataifa yangekuwa yameona hayo.

Upo ktk Business ya kuchamba au ndio ktk ya zoezi zima la kunya....nayo ni sunnah..keep them up.
 
weka clear..ni Kwamba hujui na unataka nikufundishe au unataka assume different meaning ?Sasa km km unahisi unajua maana yake ya nini sasa unapoteza muda kubadili watu..Terrorism ni TRADE MARK ya Islam wewe kimeo wengine wanakopa tuu.

Nyerere au Dr.Slaa angekuwa Gaidi kwa kiasi cha CCM kuwaelewa basi wangekuwa wamaona dili....otherwise mataifa yangekuwa yameona hayo.

Upo ktk Business ya kuchamba au ndio ktk ya zoezi zima la kunya....nayo ni sunnah..keep them up.

Kwa mtu mwenye fahamu chache kama zako inataka jitihada za ziada kukuelewesha ! Lkn ntajaribu:-

Maana ya ugaidi sio kuripua tu!
Bali ni kuwafanya watu kuishi maisha ya uoga na hofu kila mara kwa kiingereza wanaita (terrorized)!!
Sasa ntakupa mifano hai hapa chini!
Sijui wewe ni mtoto wa umri gani lkn kwa wale watu wazima km mimi watakumbuka maisha yalivyokuwa wakati wa :-
1.uhujumu uchumi .
2.mikingamo.
3.sera za vijiji vya ujamaa!.
Nyakati zote hizo watu walifungwa bila kupitia mahkama na watu waliuwawa bila huruma!!

Leo tuna mikutano ya cdm! Ukikaa pale saa yyt unaweza ripuka ukafa!
Halafu wanasema ccm! Yaani ujinga wa kizamaani! Cdm wanaamua kutafu sympathy hata kwa kuua!
Sasa km hawa viongozi wawili sio magaidi ni nani??
Naomba usome mara nne hivi kabla hujajibu ili upate kuelewa kitu gani naongelea hapa!
 
Afu tukishaondoa mfumo kristo tunaweka mfumo gani? Wewe akili yako huwa inanishangaza sana. Waislamu walio rafiki zangu sijaona mwenye akili hii. Sijui ni malezi na makuzi yamekuathiri?
Nikisema najivunia nchi yangu kwa sasa ntakuwa nadanganya!
Kuna nuksi moja ndio inayoyachafua mazingira yangu ya nchi niipendayo ! TZ!
Na uchafu huo ni MFUMO KRISTO!!!
Baaaaaas! Ukiondolewa huu mfumo! Mi ntajitangaza dunia nzima kuwa" I AM A PROUD TANZANIAN" na wimbo wa taifa ntauimba mpaka chooni!
Lkn kwa sasa nadhani tufanye mambo fasta kuuondoa huu MFUMO KRISTO KABLA HAUJA HARIBU HALI YA HEWA ZAIDI HAPA TZ!!.
 
Afu tukishaondoa mfumo kristo tunaweka mfumo gani? Wewe akili yako huwa inanishangaza sana. Waislamu walio rafiki zangu sijaona mwenye akili hii. Sijui ni malezi na makuzi yamekuathiri?

Wala mi sishangai wewe kutokuona akili hii!
shangazi haya maji marefu! Kujaribu kujadili na wewe masuala kama haya ni kupoteza muda! We rudi kule kwa wavaa shanga na rusha roho!
Huku inataka uwe na uwezo wa kiwango flani cha kufikiri!
And unfortunately wewe si miongoni mwa wenye uwezo huo!
Samahani kwa kutokujibu swali lako! Manake umeuliza kama katoto ka nursery!
Have a nice day! Changu!
 
Hahaha. Imani yako ndio inakufundisha kuita wanawake usiowajua machangu? Mi huwa naogopa kubishana na wewe nisije nikaonekana nina akili kama yako.

Haya bwana. Huyo mungu umuaminiye na kumfuata, akubariki uingiapo na utokako. Na kama kuna lolote la kheri na lifanikiwe.

Have a nice day too brother
Wala mi sishangai wewe kutokuona akili hii!
shangazi haya maji marefu! Kujaribu kujadili na wewe masuala kama haya ni kupoteza muda! We rudi kule kwa wavaa shanga na rusha roho!
Huku inataka uwe na uwezo wa kiwango flani cha kufikiri!
And unfortunately wewe si miongoni mwa wenye uwezo huo!
Samahani kwa kutokujibu swali lako! Manake umeuliza kama katoto ka nursery!
Have a nice day! Changu!
 
Hahaha. Imani yako ndio inakufundisha kuita wanawake usiowajua machangu? Mi huwa naogopa kubishana na wewe nisije nikaonekana nina akili kama yako.

Haya bwana. Huyo mungu umuaminiye na kumfuata, akubariki uingiapo na utokako. Na kama kuna lolote la kheri na lifanikiwe.

Have a nice day too brother

When you start the war of word's you need to finish it sun shine!
Mi sijakuanza! Wewe kwa kukosa kwako busara umenifuata mwenyewe!
Na mimi sina tabia ya kubishana na kina dada! And I think hii ni mara ya pili unatoa pua katikati ya mapishi!
Sasa we nisubiri kule kwenye jokes na mambo ya uswailini! Huku kwenye imani yangu usije kabisaaa!
Utasababisha niseme maneno mabovu kuhusu kina dada na mimi sipendi!
Waache wale wagalatia wenye viburi wapambane na mimi!

You are just like my little sisters friend!

Chill out! Leave this game alone!
You might get hurt!

No hard feeling alright?
 
Pole na hongera sana kwa habari ndefu. Umeandika vizuri ila umechanganya vitu vingi kwa mpigo na hivyo inawawia vigumu wasomaje wavivu kuelewa unataka kusema nini.

All in all watu hawajakutendea haki kukutukana wakati vingi ya vitu ulivyoviandika ni pointi. Watanzania tujifunze kuipenda nchi yetu.

Umempa ushauri wenye mbolea! Anaweza kukua akiutumia. Hastahili kubezwa, kakandamiza. Tatizo tu uandishi. Somo kama Hilo ange edit, prone down and improve. Readership is earned, you must work hard for it.
 
Umempa ushauri wenye mbolea! Anaweza kukua akiutumia. Hastahili kubezwa, kakandamiza. Tatizo tu uandishi. Somo kama Hilo ange edit, prone down and improve. Readership is earned, you must work hard for it.
ahsante, ushauri umefika na nitautumikia very soon.
cc: Baba Kiki
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtu mwenye fahamu chache kama zako inataka jitihada za ziada kukuelewesha ! Lkn ntajaribu:-

Maana ya ugaidi sio kuripua tu!
Bali ni kuwafanya watu kuishi maisha ya uoga na hofu kila mara kwa kiingereza wanaita (terrorized)!!
Sasa ntakupa mifano hai hapa chini!
Sijui wewe ni mtoto wa umri gani lkn kwa wale watu wazima km mimi watakumbuka maisha yalivyokuwa wakati wa :-
1.uhujumu uchumi .
2.mikingamo.
3.sera za vijiji vya ujamaa!.
Nyakati zote hizo watu walifungwa bila kupitia mahkama na watu waliuwawa bila huruma!!

Leo tuna mikutano ya cdm! Ukikaa pale saa yyt unaweza ripuka ukafa!
Halafu wanasema ccm! Yaani ujinga wa kizamaani! Cdm wanaamua kutafu sympathy hata kwa kuua!
Sasa km hawa viongozi wawili sio magaidi ni nani??
Naomba usome mara nne hivi kabla hujajibu ili upate kuelewa kitu gani naongelea hapa!

Nani akasema ugaidi ni kulipua..?...endelea taja fani yako acha jibaraguza....
 
Nani akasema ugaidi ni kulipua..?...endelea taja fani yako acha jibaraguza....

Teh teh teh teh! Wewe kweli.mbulula!
We si ulikuwa unawaita magaidi woote kuwa ni walipuaji na unasema uislamu unafundisha kujilipua kwa ajili ya virgins 72! Au sio wewe?
Basi wakati unayasema hapa huenda ukawa uko goooongo vibaya sana! Kiasi cha kusahau ulichoandika!

Sasa kama hujalewa hebu tusaidie maana ya UGAIDI unavyo ifahamu wewe Nicholas!

Tunasubiri jibu hapa! Fasta fasta.!
Cc Tayeb Ritz
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh! Wewe kweli.mbulula!
We si ulikuwa unawaita magaidi woote kuwa ni walipuaji na unasema uislamu unafundisha kujilipua kwa ajili ya virgins 72! Au sio wewe?
Basi wakati unayasema hapa huenda ukawa uko goooongo vibaya sana! Kiasi cha kusahau ulichoandika!

Sasa kama hujalewa hebu tusaidie maana ya UGAIDI unavyo ifahamu wewe Nicholas!

Tunasubiri jibu hapa! Fasta fasta.!
Cc Tayeb Ritz

Siwezi jibu obvious hapa..kamuulize mrithi wa John Mpiga ramli.....yupo migmigo nyumba no haijuliknai na wengi ila wewe unaijua.Johna Mpiga Ramli katangaulia mbele za Iblis..kabla ya kusogelea haki.

Au kaulize Dictionary, mwalimu wako au google si upo tk internet?Ukishajua huhitaji tuletea hapa.Ila changia ulichokuwa unataka changia.Wengine wanajua wewe tuu ndio shida.
 
Siwezi jibu obvious hapa..kamuulize mrithi wa John Mpiga ramli.....yupo migmigo nyumba no haijuliknai na wengi ila wewe unaijua.Johna Mpiga Ramli katangaulia mbele za Iblis..kabla ya kusogelea haki.

Au kaulize Dictionary, mwalimu wako au google si upo tk internet?Ukishajua huhitaji tuletea hapa.Ila changia ulichokuwa unataka changia.Wengine wanajua wewe tuu ndio shida.

Kijana! Jaribu kuelewa swali!
Nimesema nini maana ya gaidi au ugaidi KWA MTAZAMO WAKO WEWE! sio dictionary au Google or giggles! !

Mbona unakuwa mgumu kuelewa namna hii!
Sinilikwambia huko nyuma! Ya kuwa huwezi kujenga hoja zenye maana kama hujaelewa swali! Sasa tazama utumbo unaoandika hapo juu!
Yaani kupata jitoto kama wewe !
mama Nicholas kapata hasara kubwa!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Kijana! Jaribu kuelewa swali!
Nimesema nini maana ya gaidi au ugaidi KWA MTAZAMO WAKO WEWE! sio dictionary au Google or giggles! !

Mbona unakuwa mgumu kuelewa namna hii!
Sinilikwambia huko nyuma! Ya kuwa huwezi kujenga hoja zenye maana kama hujaelewa swali! Sasa tazama utumbo unaoandika hapo juu!
Yaani kupata jitoto kama wewe !
mama Nicholas kapata hasara kubwa!
Teh teh teh teh!


Dr Kahtaan.

Keep preaching to those who have amnesia with the hope that one day they will open one eye!...


Ahsanta.
 

Dr Kahtaan.

Keep preaching to those who have amnesia with the hope that one day they will open one eye!...


Ahsanta.

Al.akhiy gombesugu wallah watu hawa ni mashaka makubwa!

Yaani utafikiri unaongea na punda!
Killa ukimwambia "nenda kushoto !! Ye aenda upande wa kulia!!

Mi natamani turudishe ile khabari ya khamsa wa ishirin dhiraa!
Labda kidogo watanyooka!
Manake kuna punda wengine bila bakora hawezi kwenda.

Shukran mwalimu wangu! Ntajitahidi kadri Muumba atakavyo niwezesha!
Because some of those amnesia is chronic one! And you need a doble dosage to try to treat it!

Shukran.
 
Last edited by a moderator:
Unaweza hata kuwaza mambo usiyoyapenda kuhusu kina dada? Yaani nakushangaa mimi na inasababisha utamani kusema maneno mabovu kuhusu kina dada. Na hapo hapo unadhani hii ina connection na imani yako! Inawezekana ikawa ni personality yako aisee. Katika maneno machache niliyowahi kusikia akikaririwa mtume sijasikia maneno mabovu juu ya wanawake. Infact wanaonishawishi kuingia kwenye dini ya uislamu wanajaribu kunionyesha kama mwanamke anathaminiwa mno kwenye imani hii na kuna makaripio makali juu ya kutendea ubaya wanawake. Pengine hao ni waislamu tafauti na wewe.

Haya bwana, sina vita na udini wako.
When you start the war of word's you need to finish it sun shine!
Mi sijakuanza! Wewe kwa kukosa kwako busara umenifuata mwenyewe!
Na mimi sina tabia ya kubishana na kina dada! And I think hii ni mara ya pili unatoa pua katikati ya mapishi!
Sasa we nisubiri kule kwenye jokes na mambo ya uswailini! Huku kwenye imani yangu usije kabisaaa!
Utasababisha niseme maneno mabovu kuhusu kina dada na mimi sipendi!
Waache wale wagalatia wenye viburi wapambane na mimi!

You are just like my little sisters friend!

Chill out! Leave this game alone!
You might get hurt!

No hard feeling alright?
 
Unaweza hata kuwaza mambo usiyoyapenda kuhusu kina dada? Yaani nakushangaa mimi na inasababisha utamani kusema maneno mabovu kuhusu kina dada. Na hapo hapo unadhani hii ina connection na imani yako! Inawezekana ikawa ni personality yako aisee. Katika maneno machache niliyowahi kusikia akikaririwa mtume sijasikia maneno mabovu juu ya wanawake. Infact wanaonishawishi kuingia kwenye dini ya uislamu wanajaribu kunionyesha kama mwanamke anathaminiwa mno kwenye imani hii na kuna makaripio makali juu ya kutendea ubaya wanawake. Pengine hao ni waislamu tafauti na wewe.

Haya bwana, sina vita na udini wako.

Unajua we shangazi mi sikuelewi kabisa!
Wachilia.mbali dini! Kwa mila tu za KITANZANIA wanamme wanapoongea mambo basi si kawaida ya mwanamke kuingia ktkt akaanza kushambualia watu na madevu yao! HUU UNAITWA NI UKOSEFU WA ADAMU NA NIDHAMU MBOVU! Na mimi sina budi lzm nikufunze nidhamu ya kuongea!

We changia hoja sio kunivamia mimi na comments zako za kejeli! We unafahamu athari walio ipata wauslamu na wanao endelea kupata waislamu kuhusu huu MFUMO KRISTO?? au unadhani wakati wote ni JOKES TU! Watu wamepoteza maisha yao. Watoto wabebakizwa yatima. Kina mama wamekuwa wajane kwa sababu ya Mfumo huu.

Halafu unakuja hapa bila point yyt unasema" na huyu nae sijui anataka ukiondolewa huu mfumo kristo uwekwe mfumo gani"" mnfnsssssssssss!

We kama mzee wako angetwangwa risasi ya moyo kwa kujaribu kutetea haki zake we ungekuja na viswali vyako vya kitoto hapa??

Tatizo la hili jukwaa bahati mbaya ni kuwa kila.mtu bila kujali upeo wake wa elimu anaweza kuandika utumbo wwt humu na hii ndio sababu ya watu kuleta dharau kwenye vitu vinavyo vuruga jamii na kutoa roho za wanyonge!

Lbd nikuulize swali dogo tu!

UNAPOSKIA "MFUMO KRISTO" hivi kwa upeo wako wewe unaelewa nini hasa??
Kama huwezi kujibu nakuomba tafadhali tusiendelee na huu mdahalo manake as ia say before wewe ktk hii jamii ya kitz nakuona kama rafiki wa mdogo wangu wa kike! Na staki nikuchafue zaidi kutokana na kejeli zako.
 
Unajua we shangazi mi sikuelewi kabisa!
Wachilia.mbali dini! Kwa mila tu za KITANZANIA wanamme wanapoongea mambo basi si kawaida ya mwanamke kuingia ktkt akaanza kushambualia watu na madevu yao! HUU UNAITWA NI UKOSEFU WA ADAMU NA NIDHAMU MBOVU! Na mimi sina budi lzm nikufunze nidhamu ya kuongea!

We changia hoja sio kunivamia mimi na comments zako za kejeli! We unafahamu athari walio ipata wauslamu na wanao endelea kupata waislamu kuhusu huu MFUMO KRISTO?? au unadhani wakati wote ni JOKES TU! Watu wamepoteza maisha yao. Watoto wabebakizwa yatima. Kina mama wamekuwa wajane kwa sababu ya Mfumo huu.

Halafu unakuja hapa bila point yyt unasema" na huyu nae sijui anataka ukiondolewa huu mfumo kristo uwekwe mfumo gani"" mnfnsssssssssss!

We kama mzee wako angetwangwa risasi ya moyo kwa kujaribu kutetea haki zake we ungekuja na viswali vyako vya kitoto hapa??

Tatizo la hili jukwaa bahati mbaya ni kuwa kila.mtu bila kujali upeo wake wa elimu anaweza kuandika utumbo wwt humu na hii ndio sababu ya watu kuleta dharau kwenye vitu vinavyo vuruga jamii na kutoa roho za wanyonge!

Lbd nikuulize swali dogo tu!

UNAPOSKIA "MFUMO KRISTO" hivi kwa upeo wako wewe unaelewa nini hasa??
Kama huwezi kujibu nakuomba tafadhali tusiendelee na huu mdahalo manake as ia say before wewe ktk hii jamii ya kitz nakuona kama rafiki wa mdogo wangu wa kike! Na staki nikuchafue zaidi kutokana na kejeli zako.
Dr. kahtaan,

Nasoma bayana zako jinsi unavyotoa darsa hapa JF.

Dr. kahtaan, ni ngumu kuwa mpole ukiwa na nguvu na shujaa kama wewe.

Crucifixion or Cruci-fiction ~ Ahmed Deedat
 
Last edited by a moderator:
Dr. kahtaan,

Nasoma bayana zako jinsi unavyotoa darsa hapa JF.

Dr. kahtaan, ni ngumu kuwa mpole ukiwa na nguvu na shujaa kama wewe.

Crucifixion or Cruci-fiction ~ Ahmed Deedat


Teh teh teh teh! Maneno yako msumari kaka!
Al habib Ritz kuna msemo unasema " ukimnyamazia mjinga asemapo maneno ya kijinga, basi mjinga ni wewe!
Sasa hapa tunajaribu kuwa fahamisha hawa wagalatia kuwa SISI SIO WAJINGA!

Wajaribu kwa wafuasi wa chadema huenda wakafanikiwa!

Thats all brother.

Asubuhi njema ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
are you sure that you are proud to be a Tanzanian?i realy doubt perhaps you are from Masaki,Oysterbay or may be your father or mother is a Minister or a leader in the govt of MAGAMBA,to be honest am proud to be a human being and as long am living but am not proud to be a Tanzanian.But nitakuwa proud to be a Tanzanian kama viongozi wetu watabadilika na kuacha kujijali wenyewe baada ya kujali wananchi.M4C.
 
Back
Top Bottom