and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Mwenye kujua Protocol ya Makamu wa Rais Mteule,
1. Ulinzi?
2. Msafara [Idadi ya Magari]
3.
1. Ulinzi?
2. Msafara [Idadi ya Magari]
3.
Acha umbeya tafuta hela weweMwenye kujua Protocol ya Makamu wa Rais Mteule,
1. Ulinzi?
2. Msafara [Idadi ya Magari]
3.
Unamzungumzia Nani? Hajathibitishwa na Nani?Marekebisho, Mtu anakuwa mteule pale anapokuwa amechaguliwa au kupitishwa ila Bado hajathibitishwa ila kwa mazingira yake unayemuita mteule Bado. Kwa sasa ni mgombea mwenza wa Urais kupitia CCM
Marekebisho, Mtu anakuwa mteule pale anapokuwa amechaguliwa au kupitishwa ila Bado hajathibitishwa ila kwa mazingira yake unayemuita mteule Bado. Kwa sasa ni mgombea mwenza wa Urais kupitia CCM
Watu Wengi Wana Kiu Na Nyadhifa
Na Dovutwa yumo?Sheria Ya TISS imeanisha Kuwalinda Viongozi wanaogombea nafasi ya Urais
Mimi nataka kujua tu ameshaanza kulipwa mshahara wa makamu wa rais na marupurupu yake maana ameshaanza kazi na misafara yake imeshiba kabisa..!Mwenye kujua Protocol ya Makamu wa Rais Mteule,
1. Ulinzi?
2. Msafara [Idadi ya Magari]
3.
SanaIna maana ameshapita ila wapiga kura wanachezeshwa shere tu.