Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Wajinga ndo wanaoliwa
CcWajinga ndo wanaoliwa
Huyu dogo alikua anasoma o-levelLord baden power memorial ipo Bagamoyo ni ya Kipingu ,saiv nae kawa nabii aiseKatika mitandao ya kijamii hasa mtandao wa Instagram kumekuwa na kijana mdogo anayejiita nabii shillah, na amekuwa akitangaza kanisa lake mara kwa mara huku akijinasibu hadi kuwapa hela waumini kila jumapili,
Lakini kwa lifestyle ya huyu kijana nimwkuwa na mashaka mara kwa mara kama kweli anapaswa kujiita nabii au anacheza na Dini za watu
View attachment 789480View attachment 789481View attachment 789482
Mdogo mdogo naanza kumuunga mkono kagame kuwabana hawa watu, wanaoleta usanii na imani za watu
hii sura mbona inaelekeana kama ya mtoto wa mtukufu namaanisha Bash boy!


Huyu dogo alikua anasoma o-levelLord baden power memorial ipo Bagamoyo ni ya Kipingu ,saiv nae kawa nabii aise



Unataka Nabii awe Na mapembe?Katika mitandao ya kijamii hasa mtandao wa Instagram kumekuwa na kijana mdogo anayejiita nabii shillah, na amekuwa akitangaza kanisa lake mara kwa mara huku akijinasibu hadi kuwapa hela waumini kila jumapili,
Lakini kwa lifestyle ya huyu kijana nimwkuwa na mashaka mara kwa mara kama kweli anapaswa kujiita nabii au anacheza na Dini za watu
View attachment 789480View attachment 789481View attachment 789482
Mdogo mdogo naanza kumuunga mkono kagame kuwabana hawa watu, wanaoleta usanii na imani za watu
Hearsays ni mbaya sana, mimi sio muumini wake, Ila najua alitangaza kwenye mitandao kuwa anahamia viwanja vya Sabasaba? Na hao waliopigwa hela wamepigwaje?Huyu kijana aliweka kambi Geza kigamboni akawa anatoa mahubiri yake pale. Juzi kati kasepa kabisa maeneo na inasemekana amekula mshiko mrefu wa waumini wake. Ni kijana muhuni tu anashibia matatizo ya watu.
Demiss una uhakika kuwa ni tapeli? Wewe alikutapeli nini na alikutapeli?Mtu wa kwanza toka singida tapeli
Hahaha msaidizi wake kaja kuokoa jahaziDemiss una uhakika kuwa ni tapeli? Wewe alikutapeli nini na alikutapeli?
Mimi Wala simjui huyo mtu zaidi ya kumuona kwenye mitandao, ndio maana nataka mnithibitishie Bila Shaka utapeli wakeHahaha msaidizi wake kaja kuokoa jahazi