Prophet Daniel Daniel Shillah ni nani hasa...?

Prophet Daniel Daniel Shillah ni nani hasa...?

Wanajifanya matajiri wa kiroho kumbe ni matajiri wa hela kwenye ndoo, majaba, beseni na mapipa!
Na ndio wanapokwepa kodi, sababu hela hazipiti kwenye miamala, ila TRA wamewastukia..
Matapeli wakubwa..
 
Leo kaweka video Instagram anagawa hela kanisa nzima,watu wanamsujudia miguuni halafu anawapa hela,aisee umaskini kitu kibaya sana.
Siwaelewi hata waenda kusali kwake kama huwa wanajielewa
 
Ni katapeli fulani...Hivi ni kweli watu wanaenda kusali kwake?hahaha
 
Must be a dope dealer disguising himself as Bible School Boy. He ain't rich by most standards though if he can't afford the latest Range Rover Vogue or BMW X5.
 
Huyu Nabii anadai anaweza pia kukutabiria kifo anadai...
 
Duh ana biashara nyingi sana na amemaliza form six mwaka 2015. Sijui imekaaje hii???
 
Back
Top Bottom