Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Hata mm nliona hivyohii sura mbona inaelekeana kama ya mtoto wa mtukufu namaanisha Bash boy!
Hata mm nliona hivyohii sura mbona inaelekeana kama ya mtoto wa mtukufu namaanisha Bash boy!
Yanafurahisha kama uchaguz wa 2020Nilisikiliza historia yake kwenye kituo fulani cha redio. Anadai aliwahi kumfufua mwanafunzi mwenzake alikuwa amekufa. Aliulizwa kuhusu maisha yake jinsi yasivyoendana na cheo alichojipa akabaki anawaya waya tu, biashara zake ni madini.
Kiufupi ni mpiga pesa tu kama wapiga pesa wengine. Anawaokota mang'ombe ng'ombe anawapiga pesa tu. Siku za mwisho hizi tutashuhudia mengi.
YAJAYO YANASIKITISHA NA KUTISHA
So ni tapeli au maana simuelewi elewiMimi Wala simjui huyo mtu zaidi ya kumuona kwenye mitandao, ndio maana nataka mnithibitishie Bila Shaka utapeli wake
Nani ana fitinaPenye rizki hapakosi fitina.
Mtu ambaye wewe hunuelewi ni tapeli?So ni tapeli au maana simuelewi elewi
Naona nabii anakula bata ipasavyo
,aje kufanya mzaha kwetu kama hajacharazwa bakora mpaka akimbie kusikojulikanaSubiri povu.Wakristo hivi mbona mko hivi mara mnanyweshwa Ditto, kuvuliwa chupi, kuunguzwa Moto (Kibwetere), wengine wanaahidi kufufua lkn wapi hafufuki wanapiga mipesa yao hao manabii na wachungaji wanaishi maisha ya kifahari waumini mateso kila uchao.
Shule mlienda kufanya nini maana tumebakia kuvaa TAI na SUTI tu licha ya kuwa na elimu..... Tizinduke bado hatujachelewa!!!!
Yeye katapelije pesa?Tapeli kwani mpaka akutapeli wewe mwenyewe...
Mfano Wale wanaotuma msg za mpesa uwatumie si matapeli?
kaka hujui hili si tatizo la wakristo ni letu sote, unasahamu manabii wanaojiita ustadhi na inamaana hujui ni waislam wangapi wameingia huko? HILI LA WOTE MKUUWakristo hivi mbona mko hivi mara mnanyweshwa Ditto, kuvuliwa chupi, kuunguzwa Moto (Kibwetere), wengine wanaahidi kufufua lkn wapi hafufuki wanapiga mipesa yao hao manabii na wachungaji wanaishi maisha ya kifahari waumini mateso kila uchao.
Shule mlienda kufanya nini maana tumebakia kuvaa TAI na SUTI tu licha ya kuwa na elimu..... Tizinduke bado hatujachelewa!!!!