Hana ukweli wowote, kwenye main response yake kuna sehemu kasema
"Kikwete alipopitishwa na kuwa mgombea wa Urais mimi nilikuwa miongoni mwa watu ambao tulimuunga mkono kwa sababu mbalimbali. Ya kwangu ilikuwa ni sababu ya kisiasa zaidi. Kwamba, alionekana kupendwa na kukubaliwa na wananchi wengi sana."
akiwa anamaanisha kwamba, alimuunga mkono kikwete kwa kufuata mkumbo wa kupendwa na kukubaliwa na wananchi wengi. alafu kuna sehemu ingine tena kasema "Sivutwi na hotuba hewa, au na mivuto ya umaarufu wa watu. Sipimi watu kwa kuangalia nani anaungwa mkono zaidi au nani haungwi mkono. Ninapima watu kwa fikra zao na mambo wanayoyasimamia lakini kwa jinsi gani wanaongozwa na kanuni (principle oriented) kuliko wanaoongozwa na matukio (events-oriented). Watu wanaoongozwa na matukio huitikia matukio yanapotokea; wanaoongozwa na fikra huitikia hata wakati kuko kimya! "
Akiwa in principal anamaanisha kwamba hafuati mkumbo, sasa whichi is which? mjanja mjanja huyu mtu.