abdul sykes

Pre-Islamic Arabia (Arabic: شبه الجزيرة العربية قبل الإسلام‎) is the Arabian Peninsula prior to the emergence of Islam in 610 CE.
Some of the settled communities developed into distinctive civilizations. Information about these communities is limited and has been pieced together from archaeological evidence, accounts written outside of Arabia, and Arab oral traditions which were later recorded by Islamic historians. Among the most prominent civilizations were the Thamud civilization, which arose around 3000 BCE and lasted to around 300 CE, and the Dilmun civilization, which arose around the end of the fourth millennium and lasted to around 600 CE. Additionally, from the beginning of the first millennium BCE, Southern Arabia was the home to a number of kingdoms such as the Sabaeans, and Eastern Arabia was inhabited by Semitic speakers who presumably migrated from the southwest, such as the so-called Samad population. A few nodal points were controlled by Iranian Parthian and Sassanian colonists.
Pre-Islamic religions in Arabia included Arabian indigenous polytheistic beliefs, ancient Semitic religions (religions predating the Abrahamic religions which themselves likewise originated among the ancient Semitic-speaking peoples), various forms of Christianity, Judaism, Manichaeism, and Zoroastrianism.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Kitabu cha Abdul Sykes katika PDF

    Ndugu zangu, Kitabu cha Abdul Sykes hicho hapo chini kwa atakae kukisoma. KInapatikana Hard Copy Ibn Hazm Media Centre katika maduka yake ya vitabu Msikiti wa Mtoro, Manyema (Kariakoo), Mtambani (Kinondoni) na Kichangani (Magomeni) bei Shs: 10,000.00...
  2. Mohamed Said

    Historia ya Bi. Titi Katika Kitabu cha Abdul Sykes

    HISTORIA YA BI. TITI KATIKA KITABU CHA ABDUL SYKES 1955 Mikutano ya TANU ya siku za mwanzo ilikuwa ikifanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja mbele ya Princess Hotel. Kwenye jukwaa lililojengwa kwa miti walikuwa wakikaa wale viongozi wa mstari wa mbele ndani ya TANU - Nyerere rais wa TANU...
  3. Mohamed Said

    Soko la Kariakoo na harakati za TANU

    SOKO LA KARIAKOO NA HARAKATI ZA TANU Hii makala nimemwandikia ndugu yangu Kheri Chomba mwenyeji wa Kariakoo kumfariji kuwa asihuzunike pale inapotokea watu wakatucheza shere kwa kujifanya kuwa wao wanaujua mji kutushinda sisi wenyewe. "Kheri siku moja katika miaka ya 1970s soko jipya...
  4. Mohamed Said

    TANU na Sanduku la fedha la Abdul Sykes

    TANU NA SANDUKU LA FEDHA LA ABDUL SYKES 1950s Katika moja ya mijadala ya historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika niliwaahidi wasomaji wangu kuwapa historia ya sanduku la fedha la Abdul Sykes. Nikasahau kwa muda. Leo msomaji wangu mmoja kaniandikia kunikumbusha nitimize ahadi...
  5. Mohamed Said

    Zumari: Maziko ya Abdul Sykes 13 oktoba 1968

    Naeleza mazishi yalivyokuwa kuanzia dakika ya 7. Labda unaweza kujifunza kitu kitokana na historia hii ambayo kwa hakika ni historia ya watu wa Dar-es-Salaam na utamaduni wao na vipi historia hii ni sehemu muhimu sana katika historia kubwa ya Tanganyika.
  6. Mohamed Said

    Mkutano wa siri kati ya Abdul Sykes na Jomo Kenyatta, Nairobi, 1950

    TUJIKUMBUSHE ILI TUJUE NA TUSISAHAU KUTOKA MAKTABA: MKUTANO WA SIRI KATI YA ABDUL SYKES NA JOMO KENYATTA NAIROBI 1950 Siku moja katika mazungumzo na Ahmed Rashad Ali akanambia kuwa mwaka wa 1950 yeye akiwa Nairobi wakati wa mashindano ya Gossage Cup Abdul Sykes alifika Nairobi na akawa anakaa...
  7. Mohamed Said

    Hamu mpya ya kumfahamu Abdul Sykes na historia ya TANU

    HAMU MPYA YA KUMFAHAMU ABDUL SYKES NA HISTORIA YA TANU Kumekuwa na mwamko mpya wa kushangaza kuhusu historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika. Juma lililopita tukielekea Nyerere Day nimekuwa nikihojiwa na televisheni takriban kila baada ya siku na wakati mwingine siku zikifukuzana mfululizo...
  8. Mohamed Said

    Abdul Sykes anamkabidhi Julius Nyerere chama cha TANU 1954

    ABDULWAHID KLEIST SYKES ANAMKABIDHI JULIUS KAMBARAGE NYERERE CHAMA CHA TANU 1954 ''Chama cha TANU kama vuguvugu la siasa kilikuwa katika fikra za Abdulwahid kwa miaka mingi na alijitahidi sana kufanya bidii kuona kuwa TANU inaundwa. Chama ambacho kitawaunganisha wananchi wote bila ya kujali...
  9. Mohamed Said

    Uchaguzi wa rais wa TAA Abdul Sykes dhidi ya Julius Nyerere 1953

    UCHAGUZI WA RAIS WA TAA: ABDUL SYKES NA JULIUS NYERERE UKUMBI WA ARNAUTOGLO 1953 Kumekuwa na mwamko mpya wa kutaka kuijua historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Wadau wengine wa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wamenitembelea kwa nia ya kujua vipi Julius Nyerere alichaguliwa kuwa...
  10. Mohamed Said

    Nyumba aliyoishi Baba wa Taifa baada ya kuacha kazi ya Ualimu 1955

    ALIPOISHI BABA WA TAIFA BAADA YA KUACHA KAZI YA UALIMU 1955 Hapo ilipo nyumba hii ilikuwapo nyumba ya kawaida ingawa kwa wakati ule nyumba hiyo ilikuwa nyumba ya kuvutia pia. Nyumba hiyo ilikuwa na duka la mwenye nyumba hiyo na barazani palikuwa na barza maarufu ya wazee wa mjini maarufu...
  11. Mohamed Said

    Wazee wana usemi "chini kunakwenda watu"

    WAZEE WANA USEMI "CHINI KUNAKWENDA WATU" Picha hizo mbili hapo chini hazihitaji maelezo mengi ni picha za Abdul Sykes na Julius Nyerere na wake zao. Picha ya Abdul Sykes imepigwa Government House katika Garden Party ya Gavana Edward Twining na mkewe Mrs. Twining miaka ya 1950 wakati akiwa...
  12. Mohamed Said

    Historia ya mapendekezo ya Katiba ya Gavana Edward Twining 1950 (sehemu ya 2)

    Dr. Kyaruzi alikusudia kuandika kitabu kueleza historia ya maisha yake katika siasa za Tanganyika wakati wa ukoloni na kueleza juhudi zake katika kuchangia fikra katika Constitutional Development Committee akishirikiana na Hamza Mwapachu na Dr. Luciano Tsere. Kamati hii yao waliipa jina la...
  13. Mohamed Said

    Mama yake Nyerere nyumbani kwa Abdul Sykes 1950s

    Hii makala niliiandika siku kama ya leo mwaka jana. Leo niko hapa najibu maswali kuhusu Abdul Sykes. Ndugu zangu hebu someni hayo makala hapo chini: TAHARUKI YA BI. MUGAYA NYANG'OMBE NA WANA TANU: NANI KAMLISHA NYERERE SUMU KUMUUA? Ningependa kuchangia moja katika niyajuayo ya Bi. Nyang'ombe...
  14. Mohamed Said

    Nini kilimfanya Benjamin Mkapa ashindwe kuchapa Taazia ya muasisi wa TANU Abdul Sykes katika magazeti ya chama?

    KWA NINI BENJAMIN MKAPA ALISHINDWA KUCHAPA TAAZIA YA ABDUL SYKES KATIKA THE NATIONALIST BRENDON GRIMSHAW AKACHAPA "OBITUARY" YA ABDUL SYKES KATIKA SUNDAY NEWS (TANGANYIKA STANDARD)? Mgogoro wa EAMWS nimeueleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes. Vyombo vilivyohusika katika mgogoro ule...
Back
Top Bottom