Projekti ya Geoff!!!!UPDATES

Thanks JS for this updates,

jamani tunawashukuru wote kwa huu ushirikiano wa hali na mali

siku ndo zinayoyoma tupo kwneye maandalizi ya safari sasa,

bado milango ipo wazi kwa ambao bado watapenda kumchangia mwenzetu!

.....the boy is counting 11 days now! Kaizer, hiyo safari itabidi mipango ikamilike mapema sana mkuu.......!
 
yaah!....
nipo in the full fact mood!
NO MORE TRIPS,NO MORE MILAAS,NO MORE NO MORE NO MORE's

nilikuwa na serious meeting na management ya waajiri wangu just ten mins back...!

AHSANTENI SANA MARAFIKI!
BIG-UP BARBARITA,NL,CARMEL,X-PIN,JS,ZD,BHT,PJ,EDSON,GEORGIEPORGIE,FIDEL,KAIZER,ASKOFU,MJ1,FL1,MSINDIMA,PRETTA,SIPO,NGULI,INVISIBLE,MAXENCE,DARK CITY,MASANILO,BELINDAJACOB,BABA ENOCK.....!

big-up JF MEMBERS!...
support mliyonionyesha sijawahi hata kuifikiria

finally they have released you!!!
 
.....he!he!he! hapa kazi ipo....come 13/02.....ngoja nimalizie....tukipwe mwalivenyo tuhele naveeee.....!
At least kuna kitu kinaendelea hapa. The pillar was confused. Mara hii malijendi wa kisiasa na wataalamu wa matusi ya kidini wameliteka jukwaa? Lolz! Mpaka pingu ya mwandishi mbobevu ikaingia kwenye jukwaa lisilo na ubaguzi wa dini, taaluma, jinsia, elimu, kabila nk. Nafurahi kuwaona bado mpo live. Biggie ze pillar luvz you all guyz. Narudi chemba kuendelea na......... Hey! Stuka! AM WATCHING! Tuonane kwenye wow! Wow! Wow! MAKAMBAKO!
 
At least kuna kitu kinaendelea hapa. The pillar was confused. Mara hii malijendi wa kisiasa na wataalamu wa matusi ya kidini wameliteka jukwaa? Lolz! Mpaka pingu ya mwandishi mbobevu ikaingia kwenye jukwaa lisilo na ubaguzi wa dini, taaluma, jinsia, elimu, kabila nk. Nafurahi kuwaona bado mpo live. Biggie ze pillar luvz you all guyz. Narudi chemba kuendelea na......... Hey! Stuka! AM WATCHING! Tuonane kwenye wow! Wow! Wow! MAKAMBAKO!
hahahahaa!.......:D:D
at laaast!....
 
At least kuna kitu kinaendelea hapa. The pillar was confused. Mara hii malijendi wa kisiasa na wataalamu wa matusi ya kidini wameliteka jukwaa? Lolz! Mpaka pingu ya mwandishi mbobevu ikaingia kwenye jukwaa lisilo na ubaguzi wa dini, taaluma, jinsia, elimu, kabila nk. Nafurahi kuwaona bado mpo live. Biggie ze pillar luvz you all guyz. Narudi chemba kuendelea na......... Hey! Stuka! AM WATCHING! Tuonane kwenye wow! Wow! Wow! MAKAMBAKO!
naona umeachiwa! lol!
 
At least kuna kitu kinaendelea hapa. The pillar was confused. Mara hii malijendi wa kisiasa na wataalamu wa matusi ya kidini wameliteka jukwaa? Lolz! Mpaka pingu ya mwandishi mbobevu ikaingia kwenye jukwaa lisilo na ubaguzi wa dini, taaluma, jinsia, elimu, kabila nk. Nafurahi kuwaona bado mpo live. Biggie ze pillar luvz you all guyz. Narudi chemba kuendelea na......... Hey! Stuka! AM WATCHING! Tuonane kwenye wow! Wow! Wow! MAKAMBAKO!

umejizuia weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ikashindikana!!!!!!! at least we knw u r watching!!!!
 
eeeh maana walikung'ang'ania atiii sijui walikuwa na ajenda ya siri (walitaka wakupe kabinti kao?)
hehehehe!...nitaenda nako wapi?..lol!labda wakinipa nidumishe mila na kuyeya:D
 
At least kuna kitu kinaendelea hapa. The pillar was confused. Mara hii malijendi wa kisiasa na wataalamu wa matusi ya kidini wameliteka jukwaa? Lolz! Mpaka pingu ya mwandishi mbobevu ikaingia kwenye jukwaa lisilo na ubaguzi wa dini, taaluma, jinsia, elimu, kabila nk. Nafurahi kuwaona bado mpo live. Biggie ze pillar luvz you all guyz. Narudi chemba kuendelea na......... Hey! Stuka! AM WATCHING! Tuonane kwenye wow! Wow! Wow! MAKAMBAKO!

...he!he!he!he!he!he!....ukitaka iondoe kny favorites JF.......!
 
kuna pledge ya pakajimmy hapa!nakuona js NAOMBA UNIPIGIE...!bwana harusi nimefulia,lol:D
 
he! kwani alishikwa(shikiliwa/shikiwa) wapi? au na yeye kakutwa na pingu?:confused::rolleyes:

hahaaaa pingu za jerry sio za police!!!!!!!!!!! (angalau sas tumepata matumizi mengine ya pingu)
B hukujua Iribini ameshikiliwa???? (sio na police thou)
 
hahaaaa pingu za jerry sio za police!!!!!!!!!!! (angalau sas tumepata matumizi mengine ya pingu)
B hukujua Iribini ameshikiliwa???? (sio na police thou)

Nein! na nani/nini....lol..i hope it was gor good? :D
 
Back
Top Bottom