Project za ki-innovation zinazoshindaga hazinaga hela

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,961
Unakuta shindano labda wanafund $10000 or wateva.

Haya mashindano ya miradi huwa yanafanyikaga..mim mwanzoni kichuo chuo nilikua nashiriki..mara total.mara US embassy mara nini

Sasa unakuta walioshinda miradi yao ni ya ajabu ajabu, haiko practical.

Unakuta et sjui matofali ya makopo ya plastic mara sijui takataka mara sijui nini

Yaan miradi sijui app gan ya vijana...yaani miradi ya hovyo hovyo inashindaga ambayo washindi baada ya kushinda ukienda angalia mwaka m1 baadae unakuta mradi sio sustainable..

Sasa unajiuliza hawa wanao judge kufanya uchambuzi na kutoa washindi huwa wanajua nini wanafanya?

Au ndo wapo kisiasa zaidi...

Watu wanaopiga pesa na kuwa na impact moja kwa moja kwenye jamii ni watu wenye miradi ya kawaida kabisaaa...yaani sio hata ya kutumia akili nyiingi

Sasa nasemaje wazungu watambue huku ni africa..sio wana judge mazingira ya kwao wanaleta huku..huku miradi iko mingi ya kawaida na watu wanapiga pesa

Mim toka nimeamua kuto complicate mambo na kuwaza saaana eti cha kufanya na kufanya vilivyopo na kuviboresha na cha msingi ni kuangalia uhitaji katika jamii yako na kufuata misingi ya biashara mambo yamekua rahisi sanaaaa

Wakuu..anzieni sokoni...soko linahitaj nini peleka ....usi complicate saaana sijui nini nini

Uzi tayari....uandishi wa ki daslam huu..wale wajuaj wapite hivi
 
Nikishaona mtu anajigamba mara startup mara innovator tayari najua atakuwa mtu wa blah blah nyingi with zero impact.

Na siyo Tanzania wala Afrika tu, dunia nzima hata huko Silicone Valley, startup nyingi sana ni kama utapeli kwasababu kiuhalisia hazitengenezi pesa, it's all a facade.

Wanachowauzia wawekezaji ni illusion na ndo kinachopandisha market share zao. Karibia zote hazina matumizi ya moja kwa moja kwenye jamii, na the most crucial point is, hazina sustainability.

Hata Facebook model of business haipo sustainable kabisa ndio maana wao wanahangaika kununua apps na services nyingine. Social media app haina practical applications kwenye jamii zaidi ya kukutanisha watu, na kwasababu hiyo zinapitwa na wakati. Baada ya muda, watu wanakimbilia social media app nyingine.
 
Nikishaona mtu anajigamba mara startup mara innovator tayari najua atakuwa mtu wa blah blah nyingi with zero impact.
Na siyo Tanzania wala Afrika tu, dunia nzima hata huko Silicone Valley, startup nyingi sana ni kama utapeli kwasababu kiuhalisia hazitengenezi pesa, it's all a facade.
Wanachowauzia wawekezaji ni illusion na ndo kinachopandisha market share zao. Karibia zote hazina matumizi ya moja kwa moja kwenye jamii, na the most crucial point is, hazina sustainability.
Hata Facebook model of business haipo sustainable kabisa ndio maana wao wanahangaika kununua apps na services nyingine. Social media app haina practical applications kwenye jamii zaidi ya kukutanisha watu, na kwasababu hiyo zinapitwa na wakati. Baada ya muda, watu wanakimbilia social media app nyingine.
Apo umenena
 
Nikishaona mtu anajigamba mara startup mara innovator tayari najua atakuwa mtu wa blah blah nyingi with zero impact.
Na siyo Tanzania wala Afrika tu, dunia nzima hata huko Silicone Valley, startup nyingi sana ni kama utapeli kwasababu kiuhalisia hazitengenezi pesa, it's all a facade.
Wanachowauzia wawekezaji ni illusion na ndo kinachopandisha market share zao. Karibia zote hazina matumizi ya moja kwa moja kwenye jamii, na the most crucial point is, hazina sustainability.
Hata Facebook model of business haipo sustainable kabisa ndio maana wao wanahangaika kununua apps na services nyingine. Social media app haina practical applications kwenye jamii zaidi ya kukutanisha watu, na kwasababu hiyo zinapitwa na wakati. Baada ya muda, watu wanakimbilia social media app nyingine.
Umeandika nini aisee
 
Back
Top Bottom