Progress: Mume hanifikishi kisawasawa

Progress: Mume hanifikishi kisawasawa

Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

Umeamua kuzini wewe zini tu, kama hakufikishi kileleni hapa ndio pa kuja kuyaanika?tena ukisisitiza kuzini nje ya ndoa yako?unaiangamiza ndoa yako mwenyewe tena kwa mikono yako miwili
 
wiki ya neema kila la heri bi mkubwa......eeeeehhhh waliokuPM wanaombea isifanikiwe iwe zali la mintali lol

Hakuna cha zali la mentali wala nini, hapo hakuna mwanamke kabisa. Kwanza unaweza kukuta ni dume linacheza na akili za watu kwa uongo uongo.

Kwani wanajamii wana nini cha ajabu na hao wanaume wa mtaani au kwa sababu wanaingia kwenye mitandao ndiyo value yao inapanda???

Nawaponda na wote walioku PM hawana akili kabisa, huwezi kuPM mtu usiye mjua kwa story ambayo huna uhakika nayo kama ni kweli au uongo!
 
Mungu wangu niepushe nisije kuoa malaya,kwa maana murder kesi itanihusu.Narudia tena wewe binti unachokitafuta utakipata.Ni wazi umemchoka huyo jamaa.Muache kistaarabu mtoto wa mwanamke mwenzio apumue, halafu wew endelea na maisha yako unayoyataka.Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.Time will tell.Pambav

Sheikh wangu huyo ni malaya typical,humu ana hunt mafisi maji, tuna uhakika gani kuwa mwanaume huyo hamfikishi au saizi atamfikisha???

Hizo ni longolongo za kuhalalisha uzandiki.
 
Usikute hana hata ndoa ni gia tu ya kutafuta washirika wa kunywa nae dawa
 
Haya madhara ya wanawake wa kileo eti wasomi.Nimeanza kuona huruma kwa wanaume juu ya uchaguzi wa mke mbona mnayo kazi. Mwanamke umepania kugongwa nje kisa badiliko la mmeo tena kwa kisa ambacho hata hukijui kwa hiyo ndoa yako imegeuka ligi?
mwe mwanamke huna sifa za kuwa huna hadhi ya kuolewa kwa maana hukidhi vigezo vya kuwa mke kabisa.Huna busara huna subira,hauna uturivu katika kutafuta sulution za matatizo yako ya ndoa.
Kama utaendelea na utoto/ujinga ulioudhihirisha kwenye threads zako hizi mbili i swear ndoa itakushinda.
Achana na mawazo ya kufirigiswa bila kujari mwezio kapatwa na nn hadi kufikia underperforming situation aliyonayo sasa.
 
Relax dada

Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!
 
Katika hao 50 kuna anaeitwa Paw? Manake kama nae hashibi nyumbani usikute hasemi. Kudusa kwa watu sio tabia njema!
 
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

tatua tatizo na mume wako vyema that is sychological mind by the way nenda kacheat kama unavyopenda lakini nakuakikishia chini ya mbingu na Mungu wangu wa yakobo na isaka kitakachokupata... Utatamani kuiangalia dunia mara mbili jitume katika maombi.
 
Now this looks like a fabricated story to me...
 
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

ww sio mke wa mtu jamani,huthamini ndoa yako kabisa eti nitawapa first priority waliopm unaona fahari kupokea hizo pm eeeh mi nasubiria mwisho wako mwanamke mpu..mba...vu ww.
 
Ha ha ha!ww ni mwanaume wa aina yake! I wonder watu hawajui ku apreciate vtu vizuri! Thank God I kno u r my precious metal to adore! Natamani nikubebe, to tell the world how valuable u r! U have a lot kujivunia,, I don't want to loose u! As sichoki kukuwaza!! Kichaa msomi bwana maakili mengiiiiiii!!! U r great! Thank u jamani! Nakupenda
 
aisee jf sio mchezo. mdada wa watu kashambuliwa mpaka nimemuonea huruma.
 
mambo ya kufanya mapenzi yanamambo ya kusubiria mwezi ujao ndiyo uanze kumridhisha mwenzako ?
kwanini asikugeuze hapo hapo na ilikuwa weekend akushughulikie vya kutosha?

hapa nahisi unaagenda ya siri kutaka kuwapanga wanaume wa jf ukimwaminisha kila mmoja kuwa yeye ndiyo aliyechaguliwa.

Dah, mambo ya ndoa magumu sana! Binafsi nilikua naamini kuwa ngono ni sehemu ndogo sana ktk mambo ya kifamilia, kumbe ngono ni 95% ya mambo ya kifamilia,

"Eeeh Mungu niepushie janga hili"
 
Back
Top Bottom