Progress: Mume hanifikishi kisawasawa

Progress: Mume hanifikishi kisawasawa

Sasa dadaa!!! Katika wale mafirauni 50, ikitokea yule uliempa kipaumbele akaperform below hata ya hubby wako, utarudi tena PM na ku'select the next 1...??? Ikitokea na next 1 ndo walewale utarudi tena ku'select the next 1 au uta'peak randomly???

Halafu jambo lingine tena... Unafikiri hao utakaorusha nao roho wamesharushana roho na wangapi kabla yako??? Unaamini kuwa unaweza kumpata mwanamke mwenye heshima zake ambae yupo tayari kumgegeda mke wa mtu???

Swali la mwisho: Ikitokea kati ya wale unawapa vipaumbele miongoni mwao akadondokea hubby wako wako itakuaje mkikutana??? Mbaya zaidi ameshakutanguliza katika kitanda cha uzinifu, anapofungua mlango unakuta ni mumeo, itakuaje hapo???

Ushauri wangu; Jikongoje tu na mumeo kuna siku atarudia ktk performance za ujana wake!!! Trust me, hakuna mwanaume anayejua kua hakufikishi then akawa'comfortable tu! He is working on it, u have to be patient...!!! Maisha ni safari, leo kwake kesho kwako, muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio... Fikiria kuhusu watoto wako watahisije ikiwa wanagundua kuwa mama yao anajaza wanaume 'yutong na anakula kichwa kimoja baada ya kingine, what a shame!!!! Infact hata ukipata dushelele ya dhahabu raha yake itaishia palepale akishakojoa tu majuto yake yatabaki kama kovu ktk nafsi mpaka siku ya kuhukumiwa na Mungu!!!
 
khaaa watu walishapm kuomba mechi
hapa watu watamloga jamaa ashindwe wale mzigo
 
sadly sioni actual feedback ya progress

nahisi umewahi sana kuleta update

Pia kwenye haya mambo ya mahusiano, naamini kabisa kwamba it takes two..... nyege ni kunyegezana; kama humnyegezi, basi hanyegeki

jitahidini sana akina dada type yako kujifunza kwamba sex is for two, si sawa na piza delivery au kukata kucha

I have had experience where the most beautiful woman i know failed to make my sex drive (which is too much) excited!!! na mbaya zaidi hmkiwa kwenye ndoa, wengi we take ndoa as a responsibility only and not as a relationship and love affair as well

Pole sana but take it from me, he might have responded to you, but he has the same feelings kama wewe and decided to keep his cards to his chest

IT IS COMPLICATED
 
sadly sioni actual feedback ya progress

nahisi umewahi sana kuleta update

Pia kwenye haya mambo ya mahusiano, naamini kabisa kwamba it takes two..... nyege ni kunyegezana; kama humnyegezi, basi hanyegeki

jitahidini sana akina dada type yako kujifunza kwamba sex is for two, si sawa na piza delivery au kukata kucha

I have had experience where the most beautiful woman i know failed to make my sex drive (which is too much) excited!!! na mbaya zaidi hmkiwa kwenye ndoa, wengi we take ndoa as a responsibility only and not as a relationship and love affair as well

Pole sana but take it from me, he might have responded to you, but he has the same feelings kama wewe and decided to keep his cards to his chest

IT IS COMPLICATED
mbn umetumia nguvu nyingi sana TIMING unafikr anakusikiliza?we subiri utasikia
 
Last edited by a moderator:
Samahani lakini wewe ni mke wa katibu nataka kujua
 
duh! kwa mtindo huu wengine tutaoa kweli? yataka moyo kuingia katika haya maisha.
 
Dah, mambo ya ndoa magumu sana! Binafsi nilikua naamini kuwa ngono ni sehemu ndogo sana ktk mambo ya kifamilia, kumbe ngono ni 95% ya mambo ya kifamilia,

"Eeeh Mungu niepushie janga hili"

mkuu kwenye ndoa watu hawapaswi kufanya ngono ,,,, ukiona ndoa imefikia mnafanya ngono na siyo mapenzi basi ujue hapo ndiyo kushnehi a.k.a hamna kitu.
 
Kwanza ajiulize wako wangapi?? tafakari maana hali ni mbaya zaidi kuliko maelezo watu walishajichokea tangu zaidi na kwa sasa wanavuta tu siku


very true kabisa ,hlf mwanamke mwenyewe waruwaru hivi!!!!!!!!!!
 
We dada kwa hakika una matatizo zaidi. Yaani unajaribu kuwa na suluhu ingine bila kutoa mda wa suluhu ya kwanza kushughulikiwa. Kwa mtazamo wangu sidhani kama mumeo ana matatizo ila wewe ndo mwenye matatizo> Kwenye thread ya kwanza nilisema na hii ntasema tena japo hutaki kutueleza status yako kama we ni mama wa nyumbani au na we ni mfanyakazi. Inaonekana una energy nyingi sana ambazo una zi channel kwenye ngono kuliko kwenye vitu positive.
Ndoa sio ngono tu kila siku. Angalia kwa makini dada. Utamletea mumeo magonjwa na watoto wa nje kwa n.......ge zako zinazokusumbua.
Una dini kweli wewe? Padri wako au Sheikh wako sijui anakufundishaga vipi?
 
unajua kama ulivosema kwenye kale kasredi kako ka kwanza kuwa nyonga imebaki pale pale ila wowowo imeongezeka,,.. sasa basi ujue kipele G kimehama na mara nyingi kile kipele kikihama kwa sababu ya unene wa makalio huwa kinahamia 0713 hivo usishangae akashindwa pia kukufikisha DSM itabidi unitafute mm ili nikuonyeshe hicho kipele ambacho sio tu kitakufikisha DSM bali hata ukitaka kigamboni utafika tu, karibu sanaa<<<.
 
una matatizo si bure,it might be pepo la ngono i guess
 
Hili ni tangazo la biashara atatupanga wote kila mtu kwa wakati wake, tusubiri.
 
Back
Top Bottom