Hepatis B
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 207
- 166
Nonsense kama kidogo huyu ni tapeli hana loloteKwa kweli this is nonsense.Mtu gani anatanguliza kushindwa wakati anatafuta solution...uasherati at work
Nonsense kama kidogo huyu ni tapeli hana loloteKwa kweli this is nonsense.Mtu gani anatanguliza kushindwa wakati anatafuta solution...uasherati at work
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!
Wapendwa,
kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.
Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.
Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."
Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi
Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho
Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!
Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!
nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!
Wapendwa,
kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.
Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.
Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."
Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi
Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho
Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!
Umeanza kama kipaanga ukamalizia kama kilaza
Hakuna cha zali la mentali wala nini, hapo hakuna mwanamke kabisa. Kwanza unaweza kukuta ni dume linacheza na akili za watu kwa uongo uongo.
Kwani wanajamii wana nini cha ajabu na hao wanaume wa mtaani au kwa sababu wanaingia kwenye mitandao ndiyo value yao inapanda???
Nawaponda na wote walioku PM hawana akili kabisa, huwezi kuPM mtu usiye mjua kwa story ambayo huna uhakika nayo kama ni kweli au uongo!
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!
Wapendwa,
kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.
Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.
Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."
Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi
Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho
Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!