Progress: Mume hanifikishi kisawasawa

Progress: Mume hanifikishi kisawasawa

Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

una lolote kama uliziki kanunue mashine ya umeme,
 
Mhhhh! Chezeya JF weye!!! Vidume M**o mkononi duh!!!!



Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!


Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!
 
Last edited by a moderator:
nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

jaman bebii... unajua laptop yangu ilikolapsi kipindi kile... pliz natuma PM yangu sasa hivi, naomba anikonside...
 
Umeanza kama kipaanga ukamalizia kama kilaza
 
mmmh! jamani amini musiamini mi niliwahi kukutana na mwanamke mmoja wa jf nikakimbia mbio usijiroge hawa wote ni wahuni tu hakuna mwenye mapenzi hapa nitaka kutafuta mchumba cos ninaokutananao hawafikii vigezo vyangu nikakutana na dada mmoja akaniambia ni mwalimu ile siku ya kwanza tu kukutanae aliniambia nikutane nae bar moja hivi huko kinondoni nilionananae lakini alikuwa anapokea simu za wanaume kila mara alafu ukimwangalia sura yake imekaa kiujanjaujanja hivi haelekei hata kidogo kuwa ni mwalimu nilishtuka aliponiambia jina alilotumia jf,dah full mwizi nilikimbia mbio sikuangalia nyuma tena
 
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

shetani kashakutawala rudi kwa yesu upesi!!!!!
 
Huna lolote mzinzi wewe. Subiri unachokipanda utakivuna muda si mrefu.
 
Mzee wa Rula Nimependa post hii sn!

Hakuna cha zali la mentali wala nini, hapo hakuna mwanamke kabisa. Kwanza unaweza kukuta ni dume linacheza na akili za watu kwa uongo uongo.

Kwani wanajamii wana nini cha ajabu na hao wanaume wa mtaani au kwa sababu wanaingia kwenye mitandao ndiyo value yao inapanda???

Nawaponda na wote walioku PM hawana akili kabisa, huwezi kuPM mtu usiye mjua kwa story ambayo huna uhakika nayo kama ni kweli au uongo!
 
Last edited by a moderator:
Uwenda madada zetu wanaojiuza,wanatumia mbinu mbadala ya kuwapata wanaume. KIMBOKA siku hizi hakuna wateja.
 
Business oriented!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please!

Wapendwa,

kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume hanifikishi kisawasawa'. Kwa kweli nasema ahsante sana kwa wote mliochangia bila kujali aina ya mchango wenu kwani kila mtu ana upeo wake wa kufikiri, na kikubwa kila mtu ana uhuru wake wa kuchangia anachoamini.

Kwanza kabisa niwatoe wasiwasi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine walidhani labda ni story ya kutunga...hapana ndugu zangu ni kitu cha kweli toka moyoni mwangu kabisa. Kwa kweli nilipata ushauri mwingi wa aina tofauti tofauti, na miongoni mwao wengi walinitaka niongee na hubby (Mr. wangu) kwanza kabla ya kufikiria chochote. Nami nikaona ni kitu ambacho kina elements za busara ndani yake..........ilibidi weekend hii nikae nae na kumuelezea kinagaubaga (A to Z) of my concern.

Kwa kweli alikuwa mtulivu na kunisikiliza malalamiko yangu yote kama ambavyo niliombea ushauri kwenye ile thread yangu. Kwanza alishituka sana, nadhani hakutegemea kama ningeongea nae hivi vitu.....lakini kadri tulivyokuwa tunaongea,".......he was slightly getting used to the subject............."

Nilipomaliza akanambia "nimekusikia mama watoto, mimi sina tatizo lolote kazini, sina nyumba ndogo na wala sijakuchoka mke wangu....ila umefanya jambo la maana kuniambia". Alichofanya akaniahidi tu kwamba hali itakuwa "kawaida" kuanzia wiki hii. Sasa ndio nasubiria na wiki imeshaanza. Yaani kwa ahadi hiyo, imebidi leo niende simple shopping ya mambo fulani ya kunogesha mechi kwani kuna wengine walisema huenda rangi ya "chachandu" imemkifu na ushauri mwingi uhusuyo malavidavi

Sasa kuanzia leo nategemea kuendelea kuiona anga katika uhalisia wake kama ilivyokuwa awali.....lakini kama atashindwa kunithibitishia alichoniahidi katika mwezi huu.......nadhani citakuja tena kwenye huu uwanja na mada nyingine ila ni ku-choose wa kurusha nae roho

Katika uzi wangu wa kwanza nilisema ningempa Mr wangu miezi 6, lakini zaidi ya watu 50 walini PM wakitaka mchezo....anyway nadhani kama nitaamua kurusha roho na wa humu ndani....nitatoa priority kwa wale walioni-pm in the first thread. Samahani kama nawakwaza baadhi ya watu kwa hizi threads zangu mbili lakini naomba mnielewe hali niliyonayo.........!

risasi ya mwisho ndio yenye shabaha mama.kitu inch 7 non stop medali ya fore play, salting ndio balaaa
 
Tatizo lako ni la kisaikolojia na hii inatokana na kuanza kufanya mapenzi kabla ya kuolewa. Mwanmke/Mwanamme anayefanya tendo la ndoa kabla ya kuolewa au kuoa hatakaa afikishwe anapodhani anatakiwa kufika. Unakipimo akilini mwako ambacho kimeshawekwa na wanaume kadhaa wa kadha kwahiyo hutakaa ufikishwe. UKO KWENYE LAANA
 
...........Najua utakapoanza kufanya huo mchezo mchafu na wana-JF walioku-pm wengi wetu tutakuwa na kazi ngumu sana hapa ya kuwaelekeza hao wakware wapi wanaweza kupata tiba za gono, kaswende, pangusa n.k. Hata kama ni umalaya huo too much, kwahiyo katika hao 50 walioku-pm unataka wote ungonoke nao?. Nakushauri kabla hujafikia uamuzi huo kawaone wachungaji wajaribu kukuombea hilo pepo likutoke.
 
Nenda ukafanyiwe maombi! Maana unakoelekea ni kubaya sana.
 
Back
Top Bottom