Program Note: OZ - Afya ya Lowassa kwa Sasa Siyo Hoja? Will blow your mind...

Program Note: OZ - Afya ya Lowassa kwa Sasa Siyo Hoja? Will blow your mind...

''chuki zako kwa LOWASSA; MUNGU atakulipa... kujifanya wewe ndiye malaika mtakatifu hakika naomba MUNGU akulipe..

#lowassa is our hero....
 
Wewe kama nani!? Wameongea Lipumba na Slaa wamepuuzwa. Endeleeni na hoja zenu za kipuuzi tu. Na adhabu anayowapa Lowassa ni kukaa kimya.
Mmejaribu kila neno yeye anafanya yake tu. CCM mwaka huu wameliwa hela zao sana, wamefikiri wakitumia watu kama wewe mzee mwanakijiji mtakuwa na ushawishi. Ila wamesahau nadharia halisi ya nguvu ya umma.
 
Ukiona watabiri wanatabiri kwamba fulani atakufa ujue Kuna mpango wa kumuua maana mara zote wanatabiri matukio yaliyo kwisha pangwa
 
Mzee Mwanakijiji kuanzia tarehe 30 October watu ndiyo wataanza kukuelewa.

Watz tulishaamua kumchagua Lowasa.Hizo nyingine pumba tu ambazo haziwezi kuzuia mabadiliko.Mabadiliko hayawezi kuzuiwa na mkimbizi asiyepiga hata kura kwa kuandika tu uharo hapa jf
 
Last edited by a moderator:
Ukisema ccm mbele kwa mbele labda kama babaako ni Kinana, ila kama sio, basi ujue utakuwa ni mbumbumbu kupindukia
 
Hakika Mzeemwanakijiji anawapa homa, mkiona post zake tu mnaweweseka na kupanic! Maneno yake mwiba kwenye makalio yenu. Mkimuona mnatetemeka kama mgombea wenu, mnajinyea nyea hovyo. Mwanakijiji, endelea kuwashika pabaya. #HapaKaziTu

Uharo mwingine huu!
 
MMM pressure inapanda, pressure inashuka, afya ya Lowassa siyo hoja kwa sasa, hoja ni system overhaul
 
Back
Top Bottom