Program Note: Operesheni Zinduka - 5 Oktoba 12

Program Note: Operesheni Zinduka - 5 Oktoba 12

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,097
Reaction score
43,309
Program Note:

1. Kundi letu la OZ (Operesheni Zinduka) kwenye Whatsap tayari limeshajaa (watu zaidi ya 100) ndani ya masaa 24! Na kuna wengine wengi ambao bado hawajaingia - tulifanya kwa first come basis). Kama haupo humo ndani tunaangalia utaratibu mwingine. Kuna wengine tunawachomoa humo kwa sababu wanaleta lugha za matusi na wanashindwa kujibu hoja hivyo tunawatimua tu. Hoja hujibiwa kwa hoja - simple as that.


2. Operesheni Zinduka 5 inaendelea kesho na mada moto moto ya kuvunjilia mbali mojawapo ya hoja dhaifu zinazotolewa katika kudai "mabadiliko" ati wanataka (wale waliomkubali Lowassa na mambo yake yote) kuiondoa CCM madarakani ili kuonesha kuwa "Tanzania ni yetu sote". Usikose mada hiyo moto moto. Nipe dakika 10 hivi nitakupa masaa yako 24!

3. Kama kawaida nimeshangaa watu wengine ambao tayari wamemkubali Lowassa na wameshaamua kumpigia nao pia wanaingia OZ... kule ni kwa wale ambao hawajafanya maamuzi tu wanataka kubadilishana mawazo. Tunawakaribisha lakini kama hutazingatia hilo la 1 tutakutimua tu. Siku 14 hatuna wa kumpa maonyo.

MMM
 
Hivi nani kakuloga?? Uko ok? Baada ya chokochoko hii yote unayoeneza mwisho wake unautabiri vipi? Kati ya wapiga kura mil 24 ni wangapi wenye whatsapp au eti wakaelezee ambao hawana na wawasikize
 
Itafika hadi 100 ila hakuna ataekusikia
 
Hivi wewe mwanakijiji una family?? AU family yako ni hizi social networks? mwanamume gani ueleweki unanganngania kama luba,khaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi nani kakuloga?? Uko ok? Baada ya chokochoko hii yote unayoeneza mwisho wake unautabiri vipi? Kati ya wapiga kura mil 24 ni wangapi wenye whatsapp au eti wakaelezee ambao hawana na wawasikize
Muulize Lowassa, KWANINI alisema pale Jangwani nendeni kwenye Mtandao MKASOME SERA ZAKE DHAIFU, wangapi Tanzania wana uwezo wa kusoma sera dhaifu za UKAWA kwenye mtandao?
 
TANZANIA NIYETU SOTE nikweli lakini SI KWAKUMPELEKA MWIZI,FISADI IKULU NEVER, Lowassa na ikulu sawa na SHETANI NA MSIKITI
 
  • Thanks
Reactions: ZU
Usife moyo mwanakijiji tunazifuatilia sana story hizi za OZ. Boss wangu kaniulizia leo kua mbona siku ya pili hajaona story ya OZ nimemwambia asubiri kesho jumatatu zitaendelea
 
We jamaa si utulie wewe uko Marekani lakini kelele nyingi! Hivi wewe jamaa? dah basi tu
 
Musoma tushamaliza...

Piga soga hadi uchoke, hatubadiliki...
 
  • Thanks
Reactions: tim
Musoma tushamaliza...

Piga soga hadi uchoke, hatubadiliki...

teh teh teh .... Asante sana Bukanga

wapiga kura wapo site on the ground MMM yeye yupo WhatsApp kama Admin Wa zinduka group of gossip.... all the best Mzee MwanaMajungu
 
Last edited by a moderator:
unafki, uoga, undumilakuwili, ubinafsi. Utawamaliza. Poleni sana. Kila siku ntaendelea kuwakumbuasha kizazi chenu kinapita. Kizazi cha kushangilia familia chache zikoitafuna nchi huku mnawapigia makofi. Hiki kzazi ni kingine na kitaleta heshima tanzania. Poleni sana.
 
  • Thanks
Reactions: tim
Kila siku wafuatiliaji wa hizi hekaya wanazidi kupungua.
 
Hivi ninyi kina Mwanakijiji mpo ground kweli au?

Endeleeni na porojo...

Mimi niko Musoma na leo nimeshuhudia, huu mziki Slaa asingeuweza...

Endeleeni kutunga mashairi humu, na tudanganyeni mnavotaka kuwa mko kwenye system...

Na Lowasa tumempa cheti cha ushujaa kuongoza mabadiliko 2015...
 
Back
Top Bottom